Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Funguo inayofungua kila mlango ni muhimu sana ila mlango unaofunguliwa na kila funguo ni wakuupiga vita ikiwezekana kuubadili mlango huo haraka sana..
kan'tangaze, kan'tangaze...!
Haa!! Mbna kila mktaka kusafr mnapanda mtei, ngolika, hood na bado kla mktaka kusafr tena mnapanda hayo hayo???
it seems u are super hero...
yaa u are ....deep love even if i cut ur vain itatoka damu ya babu
kumbe unaogopa kushare vya babu eeeh na hupendi babu achepuke eeeh
ni wako peke yako
penzi lenu lipo juuu
Hahaaa asipaone miss neddy hapa
Mwanaume mwenye kujitambua siku hizi hagawi hovyo mpini wake. Huyo rijali ni kutoa doze ya kutosha kwa yule wake sio wale wake. Unawaza kuwa nao wengi kumbe wanakucheka na kuambiana kuwa weye ni wa kuchunwa tu. Si lolote, rijali atotoe hana hata kifaranga alicho totolesha akasingiziwa naye huyo rijali jamanii