Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,036
- 132,810
Mkuu Bopwe, sijajichokea, bali niko bize na mambo mengine. Nihamie kwa Shein nikafanye nini? . Baada ya ule uchaguzi wa marudio wa Zanzibar ulikuwa huru na wa haki, na baada ya lile tangazo la fyoko fyoko, kule sasa ni swari, heshima, adabu, ngoma iko huku kwa wenzetu wenye kiu ya damu! .Wacha wee hata Pasco kajichokea vyake...naona kahamia kwa sheni unguja
Kuhusu mada iliyo mezani, wahariri wako huru kuitumia independence of editorial waliyonayo kutumia angel yoyote, source yoyote na picha yoyote as long as is the best, the truth na from reliable source hata kama imetuma ripota wake na mpigapicha wake lakini asitumie story yake wala picha yake na badala yake kutumia picha za ikulu, the most trusted source !.
Pasco