Jambo la kushangaza katika magazeti ya leo

Jambo la kushangaza katika magazeti ya leo

MUGASHA THE HERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
327
Reaction score
205
Ukifanya utafiti kwenye magazeti ya leo kwenye ukurasa wa mbele juu ya habari picha kutoka jijini

Mwanza kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Magufuli kuna jambo limeniacha hoi....Jana waandishi wa habari walikuwepo na walikuwa na vibali vya Ikulu,lakini picha ya mkutano wa Rais iliyotumika na magazeti yote yaliyotengeneza habari picha kuhusu mkutano wa jana,ni picha moja tu na imepigwa na mpiga picha wa ikulu.

Magazeti ya leo hayana picha tofauti za tukio la mkutano wa Raisi jana
jijini Mwanza,picha ni ya aina moja,angle moja
kwenye magazeti karibu yote!
Swali.
1
.Je kwa sasa Ikulu ndiyo inayoamua picha ipi itokee kwenye magazeti kwenye mikutano ya Rais?
2.Je picha zilizopigwa na wapiga picha wa magazeti kwa nini hazikutumika mpaka wahahriri wakaamua kutumia picha iliyopigwa na mpiga picha wa Ikulu?
3.Wapiga picha wa magazeti mengine hawakuwepo uwanjani,je
picha zao hazikuwa na ubora?kwa nini wahariri watumie picha moja toka kwa mpiga picha wa Ikulu huku wapiga picha wao walikuwa uwanjani?

N.B.Nunua ama pitia magazeti yote yaliyoipa kipaumbele habari ya mkutano wa Mh Rais uone hizo picha zilizotumika.

By Dotto Bulendu
 
Hata ikuchukua miaka mia siku CCM ikiondoka basi hatua muhimu ni kukivunja chama hicho ili kibaki chama historia kilichotokana na TANU na kudai uhuru. Lakini hakifit ndani ya siasa za sasa za kidemocrasia hivyo kifutwe ili maendeleo ya uchumi na democrasia yapatikane
 
Ukifanya utafiti kwenye
magazeti ya leo kwenye
ukurasa wa mbele juu ya
habari picha kutoka jijini
Mwanza kwenye mkutano
wa hadhara wa Rais
Magufuli kuna jambo
limeniacha hoi.
Jana waandishi wa habari
walikuwepo na walikuwa
na vibali vya Ikulu,lakini
picha ya mkutano wa Rais
iliyotumika na magazeti
yote yaliyotengeneza
habari picha kuhusu
mkutano wa jana,ni picha
moja tu na imepigwa na
mpiga picha wa ikulu.
Magazeti ya leo hayana
picha tofauti za tukio la
mkutano wa Raisi jana
jijini Mwanza,picha ni ya
aina moja,angle moja
kwenye magazeti karibu
yote!
Swali.
1.Je kwa sasa Ikulu ndiyo
inayoamua picha ipi
itokee kwenye magazeti
kwenye mikutano ya Rais?
2.Je picha zilizopigwa na
wapiga picha wa magazeti
kwa nini hazikutumika
mpaka wahahriri
wakaamua kutumia picha
iliyopigwa na mpiga picha
wa Ikulu?
3.Wapiga picha wa
magazeti mengine
hawakuwepo uwanjani,je
picha zao hazikuwa na
ubora?kwa nini wahariri
watumie picha moja toka
kwa mpiga picha wa Ikulu
huku wapiga picha wao
walikuwa uwanjani?
N.B.Nunua ama pitia
magazeti yote yaliyoipa
kipaumbele habari ya
mkutano wa Mh Rais uone
hizo picha zilizotumika.

By Dotto Bulendu
Mkuu piga picha zako na usambaze, information is power!
 
Wacha watu waendelee kushangilia na kuunga mkono kila linalofanywa na Ofisi kuu. Mambo yanaharibika kidogo kidogo na watu wananyamaza wana ona "halinihusu" ila kuna siku litakuhusu na hakuna tena wa kukusemea kwani wamekwisha.
 
Ukifanya utafiti kwenye magazeti ya leo kwenye ukurasa wa mbele juu ya habari picha kutoka jijini
Mwanza kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Magufuli kuna jambo limeniacha hoi.
Jana waandishi wa habari walikuwepo na walikuwa na vibali vya Ikulu,lakini picha ya mkutano wa Rais iliyotumika na magazeti yote yaliyotengenezamhabari picha kuhusu
mkutano wa jana,ni picha moja tu na imepigwa na mpiga picha wa ikulu.
Magazeti ya leo hayana picha tofauti za tukio la mkutano wa Raisi jana
jijini Mwanza,picha ni ya aina moja,angle moja
kwenye magazeti karibu yote!
Swali.
1.Je kwa sasa Ikulu ndiyo inayoamua picha ipi itokee kwenye magazeti kwenye mikutano ya Rais?
2.Je picha zilizopigwa na wapiga picha wa magazeti kwa nini hazikutumika mpaka wahahriri wakaamua kutumia picha iliyopigwa na mpiga picha wa Ikulu?
3.Wapiga picha wa magazeti mengine hawakuwepo uwanjani,je
picha zao hazikuwa na ubora?kwa nini wahariri watumie picha moja toka kwa mpiga picha wa Ikulu huku wapiga picha wao walikuwa uwanjani?
N.B.Nunua ama pitia magazeti yote yaliyoipa kipaumbele habari ya mkutano wa Mh Rais uone hizo picha zilizotumika.

By Dotto Bulendu
Doto, tatizo ni njaa za nyinyi waandishi wa habari -bahasha, why go there? Kama kuna vitu kama hivyo vinaanza, achana na mikutano ya bwana mkubwa! Lakini njaa zenu na kudanganywa na ukuu wa wilaya, basi hamuwezi kufikiri kwa kina tena!
 
Ukifanya utafiti kwenye magazeti ya leo kwenye ukurasa wa mbele juu ya habari picha kutoka jijini
Mwanza kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Magufuli kuna jambo limeniacha hoi.
Jana waandishi wa habari walikuwepo na walikuwa na vibali vya Ikulu,lakini picha ya mkutano wa Rais iliyotumika na magazeti yote yaliyotengenezamhabari picha kuhusu
mkutano wa jana,ni picha moja tu na imepigwa na mpiga picha wa ikulu.
Magazeti ya leo hayana picha tofauti za tukio la mkutano wa Raisi jana
jijini Mwanza,picha ni ya aina moja,angle moja
kwenye magazeti karibu yote!
Swali.
1.Je kwa sasa Ikulu ndiyo inayoamua picha ipi itokee kwenye magazeti kwenye mikutano ya Rais?
2.Je picha zilizopigwa na wapiga picha wa magazeti kwa nini hazikutumika mpaka wahahriri wakaamua kutumia picha iliyopigwa na mpiga picha wa Ikulu?
3.Wapiga picha wa magazeti mengine hawakuwepo uwanjani,je
picha zao hazikuwa na ubora?kwa nini wahariri watumie picha moja toka kwa mpiga picha wa Ikulu huku wapiga picha wao walikuwa uwanjani?
N.B.Nunua ama pitia magazeti yote yaliyoipa kipaumbele habari ya mkutano wa Mh Rais uone hizo picha zilizotumika.

By Dotto Bulendu


Kwa hiyo unasemaje Dotto?????
 
Aisee yani hii nchi hadi huruma...

Yani umefanya utafiti kwenye picha za tukio la jana?

Tatizo ni kwamba ulichokuwa unakitafuta hujakiona ndio maana umehitimisha kwa kusema picha imepigwa na mtu mmoja!

Narudia tena, kama kweli wapinzani mmekosa kabisa hoja za kumkosoa Magufuli hadi mnaokoteza vijihoja vya ovyo kiasi hiki, basi kazi mnayo.

Kuna mwenzio yeye kaona atoke na ukabila, yani katika hotuba nzima ya rais yeye kaona ukabila. Basi.
 
Yaani asubuhi yote hii unaanza kuleta mada za ajabu .wanaukuta mna tabu sana
 
Back
Top Bottom