Jambo hili halifai na watanzania tulipinge!!

Jambo hili halifai na watanzania tulipinge!!

downloadfile.jpg

"Hii inji ni yetu sote!!!..kwi!.kwi!..kwi!
 
Jimbo la Moshi likirudi nimeandaa fungu la Beach party,nina imani na kazi anayoifanya Anna Mughwira ambae ninaamini atakuwa raisi wa pili mwanamke katika jamhuri hii.
Unahangaika sana kwenye huu Uzi,acha nafasi na wengine wachangie
 
Wacha niburudike na ngoma za asili kutoka kanda ya Ziwa teh..teh.
downloadfile-3.gif
 
Badala ya kujaribu kuaaddresses tatizo watu wanatafuta mchawi. Kama Mbowe kasema hivyo atakuwa anarepresent mawazo ya wengi tu nyuma yake. Kudharau hakutamaliza tatizo la msingi ..!!

Tatizo Bongo huwa hatumalizagi matatizo bali yanajiishia yenyewe. Viongozi wetu wanajua hilo. Ndiyo maana hata katiba ya Warioba ilipigwapigwa danadana na sasa imetiwa kapuni na hakuna wa kusema ... Hata Warioba mwenyewe kishajisahautisha kabisa ndiyo maana kwenye mkutano Ikulu hakugusia.
 
Kama mmeamua kuifuta ccm kaskazini hasa Kilimanjaro na Arusha hao mawaziri na manaibu waziri watatoka wapi?Sifa ya Waziri au naibu waziri ni uwe mbunge na kwa mfumo uliopo ni kwamba lzm utoke ccm.Huko kaskazini CCM utawatoa wapi?Kuifuta ccm kaskazini hakuwezi kuwaacha salama wachaga.Hata katika vyeo vingi utakuta wamejaa makada wa ccm na makada wenyewe tayari sio wakaskazini.Nafikiri swala la kuifuta ccm kaskazini kumeenda sambamba na kuifuta kaskazini ktk kada nyinyi za kiuongozi serikali.Najua mtu atakuambia serikali sio ya ccm,lkn mjue ccm ndio inayounda serikali so ni vigum kujaza watu nje ya kikundi chao.
 
Kama mmeamua kuifuta ccm kaskazini hasa Kilimanjaro na Arusha hao mawaziri na manaibu waziri watatoka wapi?Sifa ya Waziri au naibu waziri ni uwe mbunge na kwa mfumo uliopo ni kwamba lzm utoke ccm.Huko kaskazini CCM utawatoa wapi?Kuifuta ccm kaskazini hakuwezi kuwaacha salama wachaga.Hata katika vyeo vingi utakuta wamejaa makada wa ccm na makada wenyewe tayari sio wakaskazini.Nafikiri swala la kuifuta ccm kaskazini kumeenda sambamba na kuifuta kaskazini ktk kada nyinyi za kiuongozi serikali.Najua mtu atakuambia serikali sio ya ccm,lkn mjue ccm ndio inayounda serikali so ni vigum kujaza watu nje ya kikundi chao.
Huyu Mbowe nilikuwa namuona ana kaustaarabu fulani hivi kumbe duh, ana ukabila wa hatari aisee. Yaani kitanzi ajifunge mwenyewe lawama ya kujinyonga awatupie wengine?
 
Kuna watu bado hawaelewi kabisa ni nini ambacho kinaongelewa hapo.... siyo kuwa mchaga tu....

mfano nina rafiki yangu ambaye nimesoma naye chuo, yeye surname yake inafanana na ya kiongozi fulani wa upinzani, unyanyasaji anaofanyiwa ni hadi aibu,,, tena ana mpaka kadi ya ccm na ni mwanachama hai lakini ndo hivo tena...

Kuna watu wanaona haya mambo yapo tu sawa,,,,,
 
unaambiwa kuna maagizo hata kwenye zabuni , ukiitwa Shirima au Urassa hupati kazi ! haya ni mambo ya kishamba ambayo nchi hii haijawahi kuwa nayo
Mkuu hivi Ndugu Macha alieteuliwa juzi tu kuwa Mkuu fulani ni kabila gani?
 
Kuna watu bado hawaelewi kabisa ni nini ambacho kinaongelewa hapo.... siyo kuwa mchaga tu....

mfano nina rafiki yangu ambaye nimesoma naye chuo, yeye surname yake inafanana na ya kiongozi fulani wa upinzani, unyanyasaji anaofanyiwa ni hadi aibu,,, tena ana mpaka kadi ya ccm na ni mwanachama hai lakini ndo hivo tena...

Kuna watu wanaona haya mambo yapo tu sawa,,,,,
Kama haumtaji jina sisi tutaamini vipi kama unachosema ni kweli tupu?
 
Kama haumtaji jina sisi tutaamini vipi kama unachosema ni kweli tupu?
sipo hapa kwa ajili ya kumuaminisha mtu... ila nmejaribu tu kuunga dots.... after all sina permission ya kudisclose jina lake na hata nikilidisclose huwezi kumjua...
 
Back
Top Bottom