Jambo hili halifai na watanzania tulipinge!!

Jambo hili halifai na watanzania tulipinge!!

unaambiwa kuna maagizo hata kwenye zabuni , ukiitwa Shirima au Urassa hupati kazi ! haya ni mambo ya kishamba ambayo nchi hii haijawahi kuwa nayo
That's very true

Tumuomba Mungu wetu aliepushe Taifa katika utengano usio na maslahi na Taifa hili
 
Huu ni ukweli mtupu, mimi sio mchaga ila sipendi ushamba wa ukabila. Kuna mama mmoja mchaga alikuwa anaongoza TEA vizuri tu, ameondolewa na nafasi yale kupewa aliyekuwa chini yake kosa lake ni kabila lake
 
Wanaoisoma namba na waisome CCM kinasonga mbele.
tumblr_oeoh3nLzRW1rchkzlo1_400.gif
 
Safari hii hakuna kwenda Moshi Christmas. kuda dadeki mbona watapata tabu sana.
 
Jimbo la Moshi likirudi nimeandaa fungu la Beach party,nina imani na kazi anayoifanya Anna Mughwira ambae ninaamini atakuwa raisi wa pili mwanamke katika jamhuri hii.
 
Back
Top Bottom