Jambo hili halifai na watanzania tulipinge!!

Jambo hili halifai na watanzania tulipinge!!

unaambiwa kuna maagizo hata kwenye zabuni , ukiitwa Shirima au Urassa hupati kazi ! haya ni mambo ya kishamba ambayo nchi hii haijawahi kuwa nayo
Toka zamani akina mazengo mbele ya hao akina shirima walibaguliwa hivyox2 ktk elimu na ajira za mashirika ya umma.
 
Safari hii hakuna kwenda Moshi Christmas. kuda dadeki mbona watapata tabu sana.
December kuanzia tarehe 19 kakae Msata au Korogwe ukashuhudie mwenyewe.
Hii ni desturi waliyojiwekea na wanabana matumizi kwa ajili ya tukio hili.
 
Wahehe walirevolt dhidi ya wakoloni wa kijerumani,..that's fair enough.cha kushangaza zaidi ni Wachaga kurevolt dhidi ya Tanzania huru, wakiwa chini ya uongozi wa Mangi Mbowe wa Hai...just joking..hahaa.
 
Revolt! Wachaga Revolt i am your Mangi Mbowe of Hai.kwi!..kwi!..kwiiii!.
African-tribal-49627.gif
 
Nadhani unataka kusikia wachagga tu au vipi?
Umetamka hapa Kuna mawaziri na wakurugenzi wachaga, ndio nikakuagiza uwataje. Kama huwezi kuwataja ni muda sasa wa kwenda kumpikia mmeo na wanao, saa sita imefika tayari acha porojo
 
Umetamka hapa Kuna mawaziri na wakurugenzi wachaga, ndio nikakuagiza uwataje. Kama huwezi kuwataja ni muda sasa wa kwenda kumpikia mmeo na wanao, saa sita imefika tayari acha porojo
Kwa hiyo naibu katibu mkuu wa wizara ya madini Dr. Juliana Pallangyo ni mngoni sio?
 
Back
Top Bottom