Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Kwa taarifa wako wachaga ni kabila teule na lililobarikiwa na muumba, ata mulipige vita vipi litasimama imara daima, tumewaajiri sana mjini na vijijini. Mahotel, mabar, masupamaketi, mabenk, mashule, migodi, makampuni ya usafiri na usafirishaji nk vyote hvyo 90% vinamilikiwa na kabila teule.Safari hii hakuna kwenda Moshi Christmas. kuda dadeki mbona watapata tabu sana.