mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
Wa mikoani mtoto mdogo.mmoja.mmemkamata akawaponyoka?mmeanza kula mrendaaaa.
Kwani wao wamepambana nae?hata makofi sijui kama walimpiga?_Lakn si umeona walivyopambana naye? Ingekuwa dsm huyo dogo angewapora pesa nyingi saana maana hata wasingejaribu kupambana naye
Mwanza watakula nini?au wamehamia Mwanza?
aisee umenuchekesha kweli... Lakini huwezi jua jinsi hali ya maisha ilivyokuwa ngumu huenda hayo ndo yalikuwa mauzo ya siku nzima... Hayo yanakuwa makadirio kama ya mtungi mmoja wa gesiHuyo dogo nae yani katumia risasi alafu anachukua arobaini tu? anapaswa kutumbuliwa!
Haha mkulu kashasema utafanyaje si ndo amir jesh mkuu na sisi tuko chin yakeUnamaanisha mwaka kesho na wewe unahamia Dodoma?
Mkuu..database ipoo?taarifa za kipolisi zina utata sana.
.. walikuta shati na begi moja... na ilipigwa risasi moja...
je waliokota ganda la risasi ? na je bunduki gani ilitumika?
polisi waongeze uchunguzi ktk mifumo ya DNA na alama za vidole, maana kupitia hilo shati na huo mkoba, kwa nchi zilizoendelea ni rahisi kumpata mhalifu
Mkuu..database ipoo?
ACHA UCHOCHEZI WA KIIMANI WEWE!Hivyo vitoto itakuwa ndio vinavyofundishwa ugaidi. Ila mabosi wao wanafaidika na wizi wao, vyenyewe vinaambiwa "tunampigania Allah"sijui Mungu gani anayeshawishi waumini wawe majambazi ili kumlinda huyo Allah! Ni ajabu sana.
Labeka mama... waeza kunipa sababu tatu kuu kwanini umenitosa??? Anza na ile mbaya zaidi...
nilishawahi kusema hapa kuwa siku akitokea mjinga akawa tengeneza hawa watoto wa mitaani mwanza almaarufu kama watoto wa wakoma ni balaa tupu,nilikuwa na vuta picha ya siera leone ilivyokuwa wale watoto walikuwa wanajua kuuwa tu sio kingineSasa wanaume wa Dar wamepata kisingizio
Hatimaye na Wasukuma wa Mwanza wameonyeshwa kutikiswa na "Panya Road",hiyo mitaa wanakaa Wakurya wengi sana,yaani nao walikimbia?Kweli hiki kizazi cha watu waoga sana hiki
Haya mambo huanza hivihivi;watoto wanamilikishwa silaha na wanaanza kuingia mitaani;na inakuwa ngumu kumkamata na kumshuku,sababu ya utoto wake.
Hata hapo Nyakato ukisoma maelezo,walishindwa kumkamata sbb ya "bumbuwazi";Hii ndio mbinu aliitumia Foday Saybana Sankoh kule Siera Leone,alitanguliza watoto mbele,aliwafunza kupiga na kuuwa bila kutishia.
Ilikuwa mpaka ujue huyu ni mtoto muasi,basi ameshauwa watu kumi au 20.Si jambo la kupuuzia,vyombo vya usalama vianze kuchunguza mazingira ya "mafunzo" ya hawa watoto...Ni hatari sana sana kwa usalama wa nchi.
Hivi kipindi cha mpito ni cha miaka mingapi?Makamu was Rais kasema tuwe wavumilivu kwa ugumu wa maisha, ni kipindi cha mpito kunyoosha nchi. Changamoto za ujambazi nazo zitaisha tu kunyoosha nchi kukiisha.
KADA
Haaahaaaahaa wamezoea kutuponda wanaume wa dar.Wakati na wao makunguru tuHuko Nyakato nako wanaishi wanaume wa Dar??