Jambazi ‘kinda’ afunga mtaa

Sipati picha kama hii ingekuwa Dar. Wanaume wa Dar wangekuwa bado wamejificha uvunguni mwa viwanda vyao!
 
ikifika januari hali itakuwa tete haswa pale tanesco watakapopandisha umeme na kufanya hata vinyozi waanze kukosa wanyolewaji,wizi utaongezeka sana
Huo ndo ukweli mchungu
 
Huyo dogo nae yani katumia risasi alafu anachukua arobaini tu? anapaswa kutumbuliwa!
aisee umenuchekesha kweli... Lakini huwezi jua jinsi hali ya maisha ilivyokuwa ngumu huenda hayo ndo yalikuwa mauzo ya siku nzima... Hayo yanakuwa makadirio kama ya mtungi mmoja wa gesi
 
Kijana alithibitiwa na wananchi halaf baadaye akawaponyoka na kuchomoa silaha kwenye begi,,,,,! Sasa nasema wote mliokuwepo hapo ni pumbavu,,,,,,,,!
 
taarifa za kipolisi zina utata sana.

.. walikuta shati na begi moja... na ilipigwa risasi moja...


je waliokota ganda la risasi ? na je bunduki gani ilitumika?

polisi waongeze uchunguzi ktk mifumo ya DNA na alama za vidole, maana kupitia hilo shati na huo mkoba, kwa nchi zilizoendelea ni rahisi kumpata mhalifu
Mkuu..database ipoo?
 
ac
Hivyo vitoto itakuwa ndio vinavyofundishwa ugaidi. Ila mabosi wao wanafaidika na wizi wao, vyenyewe vinaambiwa "tunampigania Allah"sijui Mungu gani anayeshawishi waumini wawe majambazi ili kumlinda huyo Allah! Ni ajabu sana.
ACHA UCHOCHEZI WA KIIMANI WEWE!
 
Sasa wanaume wa Dar wamepata kisingizio
Hatimaye na Wasukuma wa Mwanza wameonyeshwa kutikiswa na "Panya Road",hiyo mitaa wanakaa Wakurya wengi sana,yaani nao walikimbia?Kweli hiki kizazi cha watu waoga sana hiki

Haya mambo huanza hivihivi;watoto wanamilikishwa silaha na wanaanza kuingia mitaani;na inakuwa ngumu kumkamata na kumshuku,sababu ya utoto wake.

Hata hapo Nyakato ukisoma maelezo,walishindwa kumkamata sbb ya "bumbuwazi";Hii ndio mbinu aliitumia Foday Saybana Sankoh kule Siera Leone,alitanguliza watoto mbele,aliwafunza kupiga na kuuwa bila kutishia.

Ilikuwa mpaka ujue huyu ni mtoto muasi,basi ameshauwa watu kumi au 20.Si jambo la kupuuzia,vyombo vya usalama vianze kuchunguza mazingira ya "mafunzo" ya hawa watoto...Ni hatari sana sana kwa usalama wa nchi.
nilishawahi kusema hapa kuwa siku akitokea mjinga akawa tengeneza hawa watoto wa mitaani mwanza almaarufu kama watoto wa wakoma ni balaa tupu,nilikuwa na vuta picha ya siera leone ilivyokuwa wale watoto walikuwa wanajua kuuwa tu sio kingine
 
Makamu was Rais kasema tuwe wavumilivu kwa ugumu wa maisha, ni kipindi cha mpito kunyoosha nchi. Changamoto za ujambazi nazo zitaisha tu kunyoosha nchi kukiisha.

KADA
Hivi kipindi cha mpito ni cha miaka mingapi?
 
Hahaa nakumbuka Arusha miaka ya 1990 na hadi elfu mbili kama na 5 hivi, Ila wakati ni ukuta huwezi amini kama Arusha kwa sasa inetulia make ndo ulukuwa mji hatari kabisa, Wizi ulikuwa unafanyika mchana kweupe
 
Back
Top Bottom