Jamani ZAIN challenge!

Jamani ZAIN challenge!

kisasangwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
292
Reaction score
56
wadau humu ndani, hebu nisaidieni....

haya mashindano ya ZAIN kwa vyuo vikuu Africa, hivi vya Tanzania ni kwamba wanafunzi wetu ni mazoea ya kudesa au kuna tatizo jingine... mbona kila wakati sisi ni wa kuangukia pua tuuu. nilikua nawaangalia wa Tumaini University jana,kwa hakika ule ukimya ulinifanya nishindwe kufikiri,

au pengine wanafunzi wa KiTZ tunafurahia uwepo wetu tu pale then tunashindwa kujibu maswali ipasavyo.
 
ha ha ha kama jana ndo Tumaini university imetia fora.....yaani nilibaki nacheka kumuona yule dada macho yakimtoka wakati wenzie wanabonyeza kitufe!! ha ha ha
 
Inaonyesha jinsi vijana wetu wasivyo na elimu dunia, clips zake zinapatikana online?
 
ha ha ha kama jana ndo Tumaini university imetia fora.....yaani nilibaki nacheka kumuona yule dada macho yakimtoka wakati wenzie wanabonyeza kitufe!! ha ha ha

hakika mi nilitamani ningekua manyaunyau nimfanye invisibo ili dunia isiendelee kuona wa Tz tukiwa kiiiimya
 
je ni kwamba we never learn from our previous makosa,? manake haya mashindano hayajaanza leo,na kila wakati tunaburuzwa. kenyan kila mara wanakimbiza mchakamchaka .wapi tunapokosea jamaniiiii. INAUMA
 
je ni kwamba we never learn from our previous makosa,? manake haya mashindano hayajaanza leo,na kila wakati tunaburuzwa. kenyan kila mara wanakimbiza mchakamchaka .wapi tunapokosea jamaniiiii. INAUMA

Sasa ndugu yangu hizo ndio ishara zinatuonesha jinsi ajira zitakavyochukuliwa na waKenya mara tutakaporithia COMMON MARKET!! Unadhani kwa kiwango hiki cha elimu wanachoonesha wanafunzi wetu wa vyuo vikuu watahimili kweli huo ushindani unaokuja? Vijana wetu wasipoangalia wataburuzwa kama wanavyoburuzwa kwenye haya mashindano!!
 
ha ha ha hommie nilitaka nisepe ila kamanda hapa chini kaniakikishia usalama

huna lolote wewe hata yule celebrity ucharwa unamkimbia.....

Back to Z mada...yeah huwa wanapewa maswali sasa sijui tatizo linkuwa wapi hapa...(sijui tumezoe Simbi/madesa)

Hata kama ni kudesea jamani ina maana vyooooooooote hujui ila kwa msaada wa desa?

afu mara nyingi desa halimsaidii kilaza kabisa tena linamchanganya tu......
 
umemrithi Kimey na yeye kachukua nafasi yako , sio mbaya
bora ujitose.....
hivi huwa hakuna marudio? mi jana nilimiss.....
BHT uchokozi hu nani kakwambia upake rangi ubao wangu? mi hapa simo kabsaa!! back to the mada yaani ungeuna jana ya Tumaini ungecheka...wakati naangalia nilikaa kimyaaa. u know wara i mean here!!
 
Ama kuna some sort of komunikeshen barrier, coz that might lead to the poor performance... am just thinking out loud
 
Mie sijawahi kuona vyuo vikuu vyetu vinatutoa kimaso maso zaidi ya vile vya Nairobi ,Nigeria,Ghana na kwingineko ina maana vyuo vyetu masomo yao ni tofauti na wenzao?
lakini Bongo mmh!
 
Ama kuna some sort of komunikeshen barrier, coz that might lead to the poor performance... am just thinking out loud
That is not the case mzee, maana Kiingereza kinachotumika sio kigumu kiviile mtu akashindwa kuelewa!! ni upeo mdogo tu wa mambo ya kidunia!!
 
Mimi nimo hapo

Back to ze madaz.

Si huwa wanapewa maswali mengi wanasoma then wanaulizwa?

ndio. ila kinachonoshangaza ni huko kushindwa kukamata walichosoma kiasi cha kukimbizwa na wapinzani wao.
ndo mana nauliza au ndo madhara ya mazoea ya kudesa na kununua mitihani kila levo
 
BHT uchokozi hu nani kakwambia upake rangi ubao wangu? mi hapa simo kabsaa!! back to the mada yaani ungeuna jana ya Tumaini ungecheka...wakati naangalia nilikaa kimyaaa. u know wara i mean here!!

hapo kwenye kibluray ndo nimepaka rangi

That is not the case mzee, maana Kiingereza kinachotumika sio kigumu kiviile mtu akashindwa kuelewa!! ni upeo mdogo tu wa mambo ya kidunia!!

Kimey 'bite you tongue' (sijui ni ki-noname hicho)...
ile wee unaona si tatizo lakini nakwambiaje lugha ni kikwazo....believe you me!!
nilimshuhudia graduate wa sheria chuo fulani alikwenda kuomba attachment kwenye law firm......jamani unaweza kulia!!! wewe unaesikiliza unatamani kuingia chini ya meza!!!!

pamoja na hayo nadhani upeo wetu bado ..tunahitaji kukaza buti zaidi am sure we can bana kwani nini!!!
 
Back
Top Bottom