Jamani wanaume

Jamani wanaume

Kumbe sister pia mngoni? Usengwile...🙄🙄

Yap mim mngoni ila wa dot com...yani kilugha chetu najua kidogo sana....yani maneno machache sana.....na wew ni wa uko...?
 
Last edited by a moderator:
yaah ni kweli ndio maana wamejaa kwenye makanisa na majumba ya maombi kutafuta relief. wanawake wengi wanastress za maisha hasa walioolewa.

ni kweli kabisa bt stress za wanawake huishia kweny kulia! lakin stress za wanaume huishia kweny kifo na ndio mana wanaume weng waliooa hufa kwa stres na kuacha wajane wengi!!!
 
wanawake wanalia na hasira zao zinaisha lakin wanaume hugugumia moyon na hatimaye hufa kimyakimya!
 
mwondoshe ndugu yako afu take it iyz yan fanya kama hakuna kitu kilichotokea uwe mkarimu kwa mumeo tena mwonyeshe upendo zaid! hiyo ni adhabu kubwa sana kisaikologia na itamtesa sana
 
Anatimiza wajibu wake? Na kwa nini ukae na watoto wa ndugu zako wakati unamuona na kuhisi kuwa mumeo ni kicheche? Tena watoto wa siku hizi, hawa wanaovunja ndoa za dada zao na mama zao ndio ataheshimu ya shangazi? Usiku jamaa alimfuma na kajamaa sasa ili kuzima soo binti ikabidi awape wote wawili, si hakiishi hicho kikojoleo?

Nyalotsi
Sasa wewe unavyoona the way to deal na mume mmbovu na mpuuzi ni kukataa kuishi na ndugu!!!??? Duh this type of mentality is exactly why these men ..................... :tape:

Bahati Yangu

Mwanaume aliyediriki kumvua nguo your own niece, ni ushauri gani hapo anaotaka!???The usual BS ,ndio wanaume walivyo , ndoa ni ngumu and blah blah blah ama??? ..............urgh
 
mbna kamfano kma kastory ka Mzee wa akudo hapo mwisho mwisho
 
Dada mmoja amemfumania mume wake akifanya mapenzi na mtoto wa kaka yake(kaka wa mke),mke amechanganyikiwa,akaenda kuomba ushauri,akaambiwa ajitahidi atatue hilo tatizo maana,huku kwenye jamii tayari kumejaa matatizo lukuki akiruhusu na hilo la mume wake kuja huku,hana mchango wa kujenga jamii ambayo inaanzwa na yeye kwenye ndoa yake.Hivi mpaka lini wanaume mtasababisha majanga ndani ya familia zenu,kila siku wanawake ni vilio tu?

sasa mbona hilo tatizo ni dogo,hatari ni kama amemtia mimba hapo ndio kimbembe lakini kufumania tuu aaah hiyo ishu ndogo,alafu pia inategemea na kabila kuna makabila mengine ni ruksa kuoa mtu na dada yake au na mdogo wake.
 
Mpaka jamaa anatoka nje ya ndoa yake, means something is wrong! na si unajua simba akikosa nyama huwa anakula majani! so ni kweli waangalie shida ni nn wamalize matatizo yao wenyewe na sio kusumbua watu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom