Jamani wanaume

Jamani wanaume

Jamani ndugu zangu wana jamvi mbona tunakuwa kama wanywa gongo na viloba vya konyagi! mtu anaomba ushauri kejeli, masihala kibao lini mtu ataomba ushauri ukampa? sio kila anayekuja katunga au anajifurahisha mpeni ushauri kama huna better ukae kimya!

back to topic:
1. Kama amefunga ndoa ya kidini amfuate mkuu wao wa kiimani anaweza kumsaidia kulingana na imani yake
2. Kama amefunga ndoa ya bomani atafute watu ambao mme wake anawaheshimu wawakutanishe na mme wake kwa ushauri ili siku nyingine hata kama anafanya ajiandae kwa kukabiriana na aibu.
3.kama hawajafunga ndoa/hawana ndoa basi aite watu wa pande zote mbili kwao mme na kwao mke wanao waheshimu ila wazazi wa huyo binti aliyemega kitumbua chake ni muhimu wawepo ili wawaonye na kuwashauri hao waovu wataogopa next time!
4. Afanye yote hayo kama anamhitaji mme mwenyewe kama hamhitaji ndio sehemu ya kuchoropokea namaanisha kama anaona mme mwenyewe hua hana umhimu naye ampige chini.
5. kama yeye ndio anamhitaji mme kuliko mme anavyo mhitaji basi wazungumze wao kama wao amsamehe maana ni hitaji lake akilikosa ataumia zaidi! hapo haijalishi walifungandoa au la wala haijalishi wana dini au la!
 
Huyu binti amrudishe kwao.......kuhusu mmewe hapo ni pagumu....aamue mwenyewe kumwacha au amsamehe ndoa iendelee.....
 
Dada mmoja amemfumania mume wake akifanya mapenzi na mtoto wa kaka yake(kaka wa mke),mke amechanganyikiwa,akaenda kuomba ushauri,akaambiwa ajitahidi atatue hilo tatizo maana,huku kwenye jamii tayari kumejaa matatizo lukuki akiruhusu na hilo la mume wake kuja huku,hana mchango wa kujenga jamii ambayo inaanzwa na yeye kwenye ndoa yake.Hivi mpaka lini wanaume mtasababisha majanga ndani ya familia zenu,kila siku wanawake ni vilio tu?
Bahati yangu
===>Mh na wewe mpaka mtoto wa kaka yake analiwa K.... wewe ulikuwa wapi?au ndio kujifanya u bize wa maisha?
 
Last edited by a moderator:
Dada mmoja amemfumania mume wake akifanya mapenzi na mtoto wa kaka yake(kaka wa mke),mke amechanganyikiwa,akaenda kuomba ushauri,akaambiwa ajitahidi atatue hilo tatizo maana,huku kwenye jamii tayari kumejaa matatizo lukuki akiruhusu na hilo la mume wake kuja huku,hana mchango wa kujenga jamii ambayo inaanzwa na yeye kwenye ndoa yake.Hivi mpaka lini wanaume mtasababisha majanga ndani ya familia zenu,kila siku wanawake ni vilio tu?

Hapa hakuna kulaumu upande mmoja tu, mbona na wanawake pia wanawaliwa na shemeji zao lakini sisi hatusemi, uvumilivu na ukimwa wetu kisiwe chanzo cha ninyi wanawake kujiona watakatifu. Jiangalie upya
 
ulizembea ndio maana ukaibiwa. zidisha ufundi kitandani mumeo atarudi
 
Mwanamke alikuwa bussy sana for nothing .. Alimsahau mumewe .
 
watoe wap jema??me nawazaga maybe wangepunguzwa nanliyuu zao mana ndo znawatia kiburi na jeur...tungemaliza vilio vyote

kumbe na we umeona my dia........mie nchoka akili na mwili kabisaa
 
Mwanamke alikuwa bussy sana for nothing .. Alimsahau mumewe .

Hivi ni lini mtaapreciate hata kwa kiasi kidogo mnayofanyiwa,na kufanya jambo moja tu Upendo maana upendo wa kweli hauna usaliti ndani yake,na siyo kutoa visingizio kuwa umesahaulika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom