Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Nyalotsi
Sasa wewe unavyoona the way to deal na mume mmbovu na mpuuzi ni kukataa kuishi na ndugu!!!??? Duh this type of mentality is exactly why these men ..................... :tape:
Bahati Yangu
Mwanaume aliyediriki kumvua nguo your own niece, ni ushauri gani hapo anaotaka!???The usual BS ,ndio wanaume walivyo , ndoa ni ngumu and blah blah blah ama??? ..............urgh
Ndugu yangu ngoja nikwambie kitu: kuna wanaume ni vicheche yaani mke mwenyewe anajua ila anavumilia. Kwa nini amsogezee watoto wa kike? Tena wasichana wenyewe wa siku hizi wasiojua kabisa undugu? Kuna watoto siku hizi wanatamani hadi kufanya mapenzi na wajomba zao sembuse huyo mtu tu wa mbali? Lazima uendane na hali halisi ya maisha uliyonayo. Endelea kuvumilia wewe ila usijaribu akuumizie na ndugu. Watoto wa siku hizi sio wa kuwaacha na mume wa mtu.!