Bahati yangu
Member
- Sep 30, 2013
- 30
- 7
- Thread starter
- #41
ulizembea ndio maana ukaibiwa. zidisha ufundi kitandani mumeo atarudi
Dhamira ya usaliti hata uwe na PHD ya kitandani ataiba tu,Mungu atupe nguvu wanawake
ulizembea ndio maana ukaibiwa. zidisha ufundi kitandani mumeo atarudi
nashukuru kama umeliona hilo mkuu.
Nalog off
Hivi ni lini mtaapreciate hata kwa kiasi kidogo mnayofanyiwa,na kufanya jambo moja tu Upendo maana upendo wa kweli hauna usaliti ndani yake,na siyo kutoa visingizio kuwa umesahaulika.
hawana hata maana, bila wao nafikiri ulimwengu ungekuwa na furaha sana.
wanawake wanatimiza wajbu wao..?deleted thread
Mwanamke alikuwa bussy sana for nothing .. Alimsahau mumewe .
Wanaume hawa...........
Kwa hiyo na mwanaume akiwa busy akashindwa kumtimizia mkewe? Ama ndo mkuki kwa nguruwe?
Umeona eee!yaani ni nyie tu mna hisia kupita viumbe vyote maana,hata kuheshimu utu wa mtu kwenu halipo achilia mbali utu wenu
Hiyo mezea umenikumbusha wimbo wetu mmoja wa kingoni....unaambiwa hata ukiona mezea...na hata usikie wew mezea.....
cc Fixed Point... moto2012... snowhite
Dada mmoja amemfumania mume wake akifanya mapenzi na mtoto wa kaka yake(kaka wa mke),mke amechanganyikiwa,akaenda kuomba ushauri,akaambiwa ajitahidi atatue hilo tatizo maana,huku kwenye jamii tayari kumejaa matatizo lukuki akiruhusu na hilo la mume wake kuja huku,hana mchango wa kujenga jamii ambayo inaanzwa na yeye kwenye ndoa yake.Hivi mpaka lini wanaume mtasababisha majanga ndani ya familia zenu,kila siku wanawake ni vilio tu?
hahahahaha sister we ungemezea?
Hiyo mezea umenikumbusha wimbo wetu mmoja wa kingoni....unaambiwa hata ukiona mezea...na hata usikie wew mezea.....
cc Fixed Point... moto2012... snowhite
Tumefanya nini?
soma post vizuri uielewe....Kwa hiyo mwanamke asipotimiza wajibu unalala na mtoto wa kaka yake? Nae huyo mtoto asipotimiza wajibu utalala na wanao ama?
Unasupport upupuu. Mi ndo maana nikiona mke wa mtu ana affair wala siulizi. Watajiju!
Hiyo mezea umenikumbusha wimbo wetu mmoja wa kingoni....unaambiwa hata ukiona mezea...na hata usikie wew mezea.....
cc Fixed Point... moto2012... snowhite
hawana hata maana, bila wao nafikiri ulimwengu ungekuwa na furaha sana.
Dhamira ya usaliti hata uwe na PHD ya kitandani ataiba tu,Mungu atupe nguvu wanawake
wanaimba hivi: KI;mezea,mezea....... WO;mezea,mezea eeeh mezea.......nimfarjk kukuona mngon hum.,ushankumbusha nyumban