eeeeehhh wifi umbeya suna...... Mr Rocky nini kinaendelea hapa sweetlady amenituma nikwambie anakupenda sijui upendo upi ule wa agape au ule mwingine kama wa Vin Diesel na nitonye..... ruttashobolwa loya wa chit chat toa mwongozo tafazali
Hahahaha unalo bibie lol.....unaita mpaka maloya khaaa!
Mie wala sina neno wifi langu......si unajua niliapa kuwa mwaminifu toka ile siku aliyonisamehe eeh? Shaka ondoa mie na nitonye mpaka kifo kitutenganishe!
Acha uongo khaaa!
Kweli aise ngoja tuombe msaada wa uokozi kwa wataalam
Uko salama lakini Blaki Womani
Halafu uje bana binti wa mjumbe anaolewa wiki hii bana kwa hiyo hapa Hungumalwa ni sherehe sherehe tupu bana kuna pombe za kienyeji tupu huku hakuna cha ndovu wala sijui castle lite wala gordons wala jack daniel Vin Diesel
Nimemiss sana wanzuki,,,ngoja nije kudumisha utamaduni
Blaki Womani hapo kwenye mabano ya Mr Rocky amesema "ananipenda" plz mwambie nampenda pia afu uache umbea! Mjumbe hauwawi hivyo mwambie na Vin Diesel aache majungu manake sio mtaji....yamemponza mwenzie Bishanga mpaka sasa hivi anaiona jf chungu!
Erickb52 mekumiss pia shemeji langu la ukwee kwenye mabano (Mwaaaaah)
Arushaone wewe ndelea kupumzika manake hakunaga kama wewe.......namtuma cacico aje kukupepea kwa raha zako!
Shukrani za kipekee na za dhati zimfikie Invisible popote alipo! Be blessed mkuu lol!
Wewe kunirusha roho ndio umeona ni mtaji sweetlady?
Kweli aise ngoja tuombe msaada wa uokozi kwa wataalam
Uko salama lakini Blaki Womani
mie nipo salam salimini......nasubiri mwaliko napendelea wanzuki Vin Diesel bado anahangover wiki 2 sasa sijui alikunywa nini
Tulilewa wote ila nashangaa mwenzangu unajiweza kuliko pampula...
Mr Rocky kuwa makini maana sweetlady alianza kunisalimia kama hivi na mwisho akahamia PM,kilichofuata ni historia.eeeeehhh wifi umbeya suna...... Mr Rocky nini kinaendelea hapa sweetlady amenituma nikwambie anakupenda sijui upendo upi ule wa agape au ule mwingine kama wa Vin Diesel na nitonye..... ruttashobolwa loya wa chit chat toa mwongozo tafazali
:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:.......Yatawashinda wewe na Blaki Womani!
sweetlady aise we unapendeka mpaka Invisible kakupa likeBlaki Womani hapo kwenye mabano ya Mr Rocky amesema "ananipenda" plz mwambie nampenda pia afu uache umbea! Mjumbe hauwawi hivyo mwambie na Vin Diesel aache majungu manake sio mtaji....yamemponza mwenzie Bishanga mpaka sasa hivi anaiona jf chungu!
Erickb52 mekumiss pia shemeji langu la ukwee kwenye mabano (Mwaaaaah)
Arushaone wewe ndelea kupumzika manake hakunaga kama wewe.......namtuma cacico aje kukupepea kwa raha zako!
Shukrani za kipekee na za dhati zimfikie Invisible popote alipo! Be blessed mkuu lol!
Blaki Womani hapo Vin Diesel wala sio ulevi anakudanganya tuu aliteguka kiuno sijui alikuwa anafanya mazoezi gani hebu mchunguzemie nipo salam salimini......nasubiri mwaliko napendelea wanzuki Vin Diesel bado anahangover wiki 2 sasa sijui alikunywa nini
Hata akisoma yanamuhuuuuu????..... Nakusalimu mwaya!
eeeeehhh wifi umbeya suna...... Mr Rocky nini kinaendelea hapa sweetlady amenituma nikwambie anakupenda sijui upendo upi ule wa agape au ule mwingine kama wa Vin Diesel na nitonye..... ruttashobolwa loya wa chit chat toa mwongozo tafazali
The secretary Mwaaaaah kwa kutumia vizuri medula oblangata yako. Arushaone hongera endelea kuwakilisha jiji langu sweetlady miss u sana shemito, salamu zangu kwa nitonye mi nawakaribisha Bishanga Smiling Saint Mentor watu8 St. Paka Mweusi YNNAH wakati ndio sasa mtu chake Judgement Yummy na mumewe Mr Rocky Madame B na mumewe ruttashobolwa waje kumpa like huyu Arushaone.
Mwisho nakuomba sweetlady umfikishie salamu Amyner mwambie nampenda sana kuliko Remmy na The secretary
Vin Diesel nahamia sasa hivi kwenye PM maana naona hapo wivu unakunyonga sweetlady kwenye mabano (mwahhaaaaaa) futa haraka Vin Diesel asione