Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
hahahahahahah unafaidi kuliko mmiliki
Kama hujawahi kuiba usiibe maana utanogewa...kama ushawahi iba basi wajua nini namaanisha hapa.
hahahahahahah unafaidi kuliko mmiliki
Kama hujawahi kuiba usiibe maana utanogewa...kama ushawahi iba basi wajua nini namaanisha hapa.
Blaki Womani nimesema asisome mtu hapo kwenye mabano isipokuwa sweetlady tuu Erickb52 kashapotea aise na asivyojua hata kuogelea atakuwa kashachukuliwa na maji ya ziwa
Kama hujawahi kuiba usiibe maana utanogewa...kama ushawahi iba basi wajua nini namaanisha hapa.
Vin Diesel habari yako bana
uko salama kabisa aise
Mkuu...hivi wa kuwapenda wameisha mpaka uje nyumbani kwangu?
Vin Diesel habari yako bana
uko salama kabisa aise
Nipo kamanda...wanasemaje hungumalwa...
Mkuu Vin Diesel si unajua mti wenye matunda ndio unaopopolewa na mawe
Halafu nimesema asisome mtu mwingine zaidi ya sweetlady sasa wewe umetoka wapi kusoma
hiyo itakuwa for your own risk na kama umesoma ni bahati mbaya aise
Mr Rocky sijasoma bana maandishi yamegeuka juu chini.....inawezekana aise charminglady fanya mchakato wa kupata waokoaji Erickb52 alizoea kuogelea mto ngarenaroBlaki Womani nimesema asisome mtu hapo kwenye mabano isipokuwa sweetlady tuu Erickb52 kashapotea aise na asivyojua hata kuogelea atakuwa kashachukuliwa na maji ya ziwa
Alifikiri yale maji ni kama ya mto Themi wa hapa arusha
Nipo kamanda...wanasemaje hungumalwa...
Hungumalwa wazima kabisa Vin Diesel
huku tunajiandaa na kilimo karibu msimu wa mvua unaanza
mahindi na pamba na mtama na uwele kidogo siku zinaenda aise
Hukuja tena Hungumalwa bana japo uliahidi kuja kuchukua mtama na mahindi kidogo
Siioni tena hiyo comment...kweli haikuwa yangu
BAKi womani itabidi aise maana kama alizoea kuogelea kwenye vidimbwi vya mto ngarenaro halafu kaenda kukutana na maji ya ziwani itabidi tutafute waokoaji charminglady fanya mchakato aise na Judgment huko mumuokoe Erickb52Mr Rocky sijasoma bana maandishi yamegeuka juu chini.....inawezekana aise charminglady fanya mchakato wa kupata waokoaji Erickb52 alizoea kuogelea mto ngarenaro
Siioni tena hiyo comment...kweli haikuwa yangu
@blaki womani itabidi aise maana kama alizoea kuogelea kwenye vidimbwi vya mto ngarenaro halafu kaenda kukutana na maji ya ziwani itabidi tutafute waokoaji charminglady fanya mchakato aise na Judgment huko mumuokoe Erickb52Mr Rocky sijasoma bana maandishi yamegeuka juu chini.....inawezekana aise charminglady fanya mchakato wa kupata waokoaji Erickb52 alizoea kuogelea mto ngarenaro
nafikiri uliona nyota nyota haikuwa imeandikwa kwa ajili yako Vin Diesel ngoja aje mwenyewe aisome sweetlady
BAKi womani itabidi aise maana kama alizoea kuogelea kwenye vidimbwi vya mto ngarenaro halafu kaenda kukutana na maji ya ziwani itabidi tutafute waokoaji charminglady fanya mchakato aise na Judgment huko mumuokoe
@Erickb52
Hungumalwa wazima kabisa Vin Diesel
huku tunajiandaa na kilimo karibu msimu wa mvua unaanza
mahindi na pamba na mtama na uwele kidogo siku zinaenda aise
Hukuja tena Hungumalwa bana japo uliahidi kuja kuchukua mtama na mahindi kidogo
Tuombe uzima weekend hii naweza kufika huko mkuu...si wajua tena safari ya huko lazima mtu ujiandae kweli kweli
samaki washamfanya kitoweo Mwita Maranya okoa jahazi
Tuombe uzima weekend hii naweza kufika huko mkuu...si wajua tena safari ya huko lazima mtu ujiandae kweli kweli
Halafu uje bana binti wa mjumbe anaolewa wiki hii bana kwa hiyo hapa Hungumalwa ni sherehe sherehe tupu bana kuna pombe za kienyeji tupu huku hakuna cha ndovu wala sijui castle lite wala gordons wala jack daniel Vin Diesel
Hongera Arushaone
naomba anunuliwe roshoro
Huyu ni wa kule unga limited!
Blaki Womani hapo kwenye mabano ya Mr Rocky amesema "ananipenda" plz mwambie nampenda pia afu uache umbea! Mjumbe hauwawi hivyo mwambie na Vin Diesel aache majungu manake sio mtaji....yamemponza mwenzie Bishanga mpaka sasa hivi anaiona jf chungu!
Halafu uje bana binti wa mjumbe anaolewa wiki hii bana kwa hiyo hapa Hungumalwa ni sherehe sherehe tupu bana kuna pombe za kienyeji tupu huku hakuna cha ndovu wala sijui castle lite wala gordons wala jack daniel Vin Diesel
Mkuu Vin Diesel si unajua mti wenye matunda ndio unaopopolewa na mawe
Halafu nimesema asisome mtu mwingine zaidi ya sweetlady sasa wewe umetoka wapi kusoma
hiyo itakuwa for your own risk na kama umesoma ni bahati mbaya aise
Aisee Arusha one namkubali sana hata mm kanigongea like za maana mpaka nilishangaa mwenyewe..
Tatizo la most of us ambao hatutoi like sio kwamba tunapenda kutotoa like, ni kwasababu tunatumia simu muda mwingi...mf kama mm ninakitu kama wmwezi sijatumia pc .
Ila Arusha one you owe my like..
Blaki Womani hapo kwenye mabano ya Mr Rocky amesema "ananipenda" plz mwambie nampenda pia afu uache umbea! Mjumbe hauwawi hivyo mwambie na Vin Diesel aache majungu manake sio mtaji....yamemponza mwenzie Bishanga mpaka sasa hivi anaiona jf chungu!
Erickb52 mekumiss pia shemeji langu la ukwee kwenye mabano (Mwaaaaah)
Arushaone wewe ndelea kupumzika manake hakunaga kama wewe.......namtuma cacico aje kukupepea kwa raha zako!
Shukrani za kipekee na za dhati zimfikie Invisible popote alipo! Be blessed mkuu lol!