Jamani ustaharabu kitu cha bure!

Jamani ustaharabu kitu cha bure!

nadorim

Senior Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
158
Reaction score
24
hivi kwamfano umepewa ujumbe umfikishie rafiki yako unashindwaje kumfata pembeni ukamwambia mpaka ukamwambie kwenye watu wengi kila mtu ajue mambo yake?kuna mtu ameniudhi sana leo kaagizwa aje ampe ujumbe sister kaja mwambia mbele zawatu kila mtu kasikia hadi aibu maana ujumbe wenyewe ni wa deni.Kweli haya mambo gani lakini?Si mtu umwite pembeni umwambie?sio ustaharabu huu.
 
yani kwakweli hiyo tabia lnaudhi sana.
 
hivi kwamfano umepewa ujumbe umfikishie rafiki yako unashindwaje kumfata pembeni ukamwambia mpaka ukamwambie kwenye watu wengi kila mtu ajue mambo yake?kuna mtu ameniudhi sana leo kaagizwa aje ampe ujumbe sister kaja mwambia mbele zawatu kila mtu kasikia hadi aibu maana ujumbe wenyewe ni wa deni.Kweli haya mambo gani lakini?Si mtu umwite pembeni umwambie?sio ustaharabu huu.

mkiichagua ukawa hayo yote hayatatokea!
 
hivi kwamfano umepewa ujumbe umfikishie rafiki yako unashindwaje kumfata pembeni ukamwambia mpaka ukamwambie kwenye watu wengi kila mtu ajue mambo yake?kuna mtu ameniudhi sana leo kaagizwa aje ampe ujumbe sister kaja mwambia mbele zawatu kila mtu kasikia hadi aibu maana ujumbe wenyewe ni wa deni.Kweli haya mambo gani lakini?Si mtu umwite pembeni umwambie?sio ustaharabu huu.
inawezekana sister ana tabia ya kutolipa madeni ya watu

wacha apewe za chembe tu
 
Dawa ya deni Ni kulipa. Badala ya kukasirikia mjumbe, muambie sista ajifunze kuimarisha mawasiliano na wanaomdai Ili kuepuka embarassment. Kama amekwama awasiliane kwa upole na kujieleza.
 
Ukute akikopa mgumu kulipa so kaamua kumtangaza ili aone aibu alipe deni la with.Kuna watu ukiwakopesha mbona utajuta.Dawa ya deni kulipa kama hutaki kuadhirishwa
 
Mwambie nayye alipe deni bwn alipokua anakopa alibembeleza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom