bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
or the vice versa is true!!!!!!
Kuna jamaa mmoja alisikika akilalamika mbele ya wenzake;
Nanukuu,
''Mke wangu toka tumefunga ndoa amebadilika na kuwa mtu wa kununa na kujifungia ndani kila wakati hasa pale ndugu zangu wanapokuja kunisalimia kwangu. Ukizingatia kuwa mimi ndo kaka mkubwa katika familia yetu na wazazi wetu wote (Baba na Mama) wameshafariki, kwahiyo nimebaki kuwa msaada mkubwa kwao."
Mwisho wa kunukuu.
SWALI: Hivi ni kwa nini kwenye ndoa nyingi akina mama huwa wanagombana au kushindwa kukubaliana na uwepo wa ndugu wa mume nyumbani tofauti na akina baba? Ikitokea tu ndugu wa mume wamekuja nyumbani, basi mama hubadilika tabia, yaani ule uwajibikaji wa kila siku unapotea ghafla na kutwa nzima ananuna nuna tu!tafadhali naomba nisisitize, sio akina mama wote
(nimesema kesi nyingi hapa utakuta ni akina Mama Vs ndugu wa mume na sio Baba Vs ndugu wa mke!!!!)!!!!!!!!!!!!!
Samahani dada zangu, siwapondi ila naelezea hisia zangu!!!!!
Kuna jamaa mmoja alisikika akilalamika mbele ya wenzake;
Nanukuu,
''Mke wangu toka tumefunga ndoa amebadilika na kuwa mtu wa kununa na kujifungia ndani kila wakati hasa pale ndugu zangu wanapokuja kunisalimia kwangu. Ukizingatia kuwa mimi ndo kaka mkubwa katika familia yetu na wazazi wetu wote (Baba na Mama) wameshafariki, kwahiyo nimebaki kuwa msaada mkubwa kwao."
Mwisho wa kunukuu.
SWALI: Hivi ni kwa nini kwenye ndoa nyingi akina mama huwa wanagombana au kushindwa kukubaliana na uwepo wa ndugu wa mume nyumbani tofauti na akina baba? Ikitokea tu ndugu wa mume wamekuja nyumbani, basi mama hubadilika tabia, yaani ule uwajibikaji wa kila siku unapotea ghafla na kutwa nzima ananuna nuna tu!tafadhali naomba nisisitize, sio akina mama wote
(nimesema kesi nyingi hapa utakuta ni akina Mama Vs ndugu wa mume na sio Baba Vs ndugu wa mke!!!!)!!!!!!!!!!!!!
Samahani dada zangu, siwapondi ila naelezea hisia zangu!!!!!