Jamani ukipenda Ua basi penda na boga lake

mbona wakati mwingine Lizzy,
waweza kuta mume anakaa na shemeji zake wengi tu,
lakini hakuna mikwaruzo wala migongano yeyote!

Mlimazunzu angalia usije suswa na ukoo mzima!!!!!!!

Bacha naona kama sikuelewi yaani bado unamaanisha ukae na hao ndugu zako hapo kwako wanakutegemea tu kila siku sory to say this ni walemavu au, hebu masihala bwana sijakataa kuwasaidia bali nawasaidia wakiwa home sio kujazana kwangu ai mbona hivyo kaka.

Mimi kwangu wanasaidika wakiwa huko huko sio ndugu wa my wife wala wangu
 
Sababu ndugu wa mke mara nyingi hawajikwezi sijui nisemaje yaani hawa nguvu sana labda sababu dada ndo kaolewa.

Sasa hawa wa mume (baadhi) wanapenda sana sijui hata nitumie neno gani, sijui mashindano, sijui kaka yao ndo kichwa nyumba aahh hata sijui

Hii nimeipenda Uda'a
 
Yes...mara nyingi anakuwa kwenye dilema...hajui afanye nini hasa! Kukwambia moja kwa moja kuwa uwepo wa ndugu zako unamkwaza na angependa waondoke/uwaondoe anashindwa! Wengine anaweza kwenda mbali zaidi kwa kutengeza 'zengwe' la kukufanya uwachukie hao wageni.

dah, kweli kazi ipo hapo!!!!!!
 
Lazima kutakuwa na tatizo si hiv hiv mtu anaweza kuchukia watu bana.
Pia mi nadhan kwa ndugu wa kuja na kuondoka, au kaja kusalimia toka kijijin kwa muda na ataondoka huyo hana shida sana, na hata kama anamatatizo ni rahis tu wala hakupi presha kabisaaa mana si unajua ni mpitaji?

TATIZO KUBWA
Ni baadhi ya wale ndugu wa mume ambao akifika hapo nyumban anataka kujifanya yeye ndo haswaaaa kila kitu anajua na kujifanya anapanga taratibu za ndani kwa khaaa!! Wa hiv ntamkomesha akija anga zangu
Eti unashida nyingine za kawaida kabisa unaweza mwambia shemej/wifi unasubiri mpaka ndugu yako mhhh!

Ila nyie wababa mjue wakat mwingine wake zenu si kwamba hawawapend ndugu zenu ila ndugu wanachangia sana, tena wanawake wengine kukwambia kila kitu anachofanya nduguyo anaona kama utaona kama hawepend ndugu zako au kuwagombanisha bora tu anyamaze, vikizid ndo hayo sasa.


sasa hapo utamkomesha vipi Uda'a,
hebu nieleze kidogo!
 
oraiti Dina,sasa unamwambiaje huyo bwana
awafukuze hao ndugu au,
kwani yawezekana wapo pale kwa mahitaji mbalimbali,
shule, ugonjwa n.k
.

Weee nae bwana unaanza kutuchanganya sasa mahitaji mbalimbali hapo inaeleweka kama ni ugonjwa hilo halina ubishi ila shule aende boarding zimejaa kibao tu siku hizi
 
Weee nae bwana unaanza kutuchanganya sasa mahitaji mbalimbali hapo inaeleweka kama ni ugonjwa hilo halina ubishi ila shule aende boarding zimejaa kibao tu siku hizi


Sio kukuchanganya Mlimazunzu,
katika hali ya kawaida kabisa hao ndugu sidhani kama ni rahisi,
kuja kwako na kulundikana bila sababu ya msingi,
kwani ninavyojua mimi wanakuja hapo wakiwa kila mtu ana sababu yake!
Na hasa ukizingatia wewe ndo kaka mkubwa , kila jicho linakutizama weye!!!na wazazi walishatangulia mbele ya haki!!!!!!!
Ndo maana nikasema kuwa yawezekana wengine wamekuja kwaajili ya,
shule, matibabu na sababu nyingine za msingi tu!!!!!!!
 
sasa hapo utamkomesha vipi Uda'a,
hebu nieleze kidogo!

Hahaha mi staki kumwaga upupu..
Kama itokea Yaani ntamfunza adabu siku akija tena hapo atakuwa kanyooka na atawaambia na wenzie huko kabla hawajaja waitapa habar yake.

Ila mi nashukuru wapo mbali na kila mtu na maisha yake. Habar zakupishana kwenye kwny korido mnasalimiana kwa mabega hakuna.
 
Hahaha mi staki kumwaga upupu..
Kama itokea Yaani ntamfunza adabu siku akija tena hapo atakuwa kanyooka na atawaambia na wenzie huko kabla hawajaja waitapa habar yake.

Ila mi nashukuru wapo mbali na kila mtu na maisha yake. Habar zakupishana kwenye kwny korido mnasalimiana kwa mabega hakuna.

kwahiyo uda'a kiukweli kabisa,
najaribu kukusoma hapa,
ule uwepo wa shemeji/wifi nyumbani kwako huupendi kabisa!,
kwako ni kero au sio?
 
Sio kukuchanganya Mlimazunzu,
katika hali ya kawaida kabisa hao ndugu sidhani kama ni rahisi,
kuja kwako na kulundikana bila sababu ya msingi,
kwani ninavyojua mimi wanakuja hapo wakiwa kila mtu ana sababu yake!
Na hasa ukizingatia wewe ndo kaka mkubwa , kila jicho linakutizama weye!!!na wazazi walishatangulia mbele ya haki!!!!!!!
Ndo maana nikasema kuwa yawezekana wengine wamekuja kwaajili ya,
shule, matibabu na sababu nyingine za msingi tu!!!!!!!

Bwana mkubwa kila mtu na msimamo wake kwangu hakuna mgeni wakuja kukaa mwezi mzima nimekusamehe sana siku mbili wiki moja ni kwa huruma ya my wife vinginevyo no excuse.

Bacha endelea kutunza/kulea ndugu zako. Kuna msemo naukumbuka husema kuwa mpe nyavu akavue samaki lakini usimpe samaki kila siku hatajifunza kama nimeukosea mnisamehe lugha ilinishinda
 
this is how it start dear
next time unawakuta sebuleni na kaka yao unawasalim wanajifanya wako bize kwenye mazungumzo

Tena wanaongea kilugha chao hata hawajali kama upo iwapo wewe ni kabila lingine..

Nadhani hili suala liangalie pande zote kwa mke na ndugu wa mume pia...huwezi kumlazimisha mke afanye kila kitu kukuridhisha au kuwaridhisha ndugu wasiomfanyia mke hivyo hivyo..
Unapooa au kuolewa lazima ujue nafasi ya mwanandoa mwenzio, wazazi&ndugu zako, wazazi&ndugu zake na marafiki zenu..
 
kwahiyo uda'a kiukweli kabisa,
najaribu kukusoma hapa,
ule uwepo wa shemeji/wifi nyumbani kwako huupendi kabisa!,
kwako ni kero au sio?

Mhhh bacha unanisoma tofauti

Kuna mawif na mashej wala hawana tatizo kabisaaa na wanaheshimu ndoa za watu, hapo nazungumzia wale wanaojifanya wajuaji kwennye nyumba za watu ndo nikasena huyo akitokea ndo itakuwa...

Mfano: mimi nina wifi yangu alikuja kwangu kunisaidia uzaz, tukakaa kama miezi 6 au zaid, nakwambia hatujawah kugombana, wala hakuna maneno maneno kwa kipind choote tuliishi vizuri sana mpka anaondoka. Tena huwa najisahau najikuta namwita dada mara wif mradi salama. Ni mtu na maisha yake pia. Ujue si kila ndugu ana vituko la hasha kuna ambao mnakaa vizuri sana tu na niwaelewa. Na wakat mwingine wake ndo sababu husababisha.
 
Wadogo wa mke wangu (wa KIKE) marufuku kufika nyumbani kwangu - Maana wanaweza kunivunjia ndoa!
 
watu wengi kwa nyumba wanapunguza upendo kati ya mume na mke. Especially wadada siku hizi wanabembelezandoa ndo balaa coz ukoowa mume ukihamia unajitahidi kumprove uliyembembeleza ndoa ur wife materaila so all of ur energy to please hao wageni, unasahau una mume. Halafu pata picha kazi full time umeajiriwa, watoto, ukoo wa mume, uzinzi wa mume uliyebembeleza ndoa coz humpi attentiontena as uko busy na ukoo na social life lazima uzeeke kabla ya muda wako. Me naona wawili ndani ya nyumba ni poa ww na mumeo na watoto as hata ikishindikana kusahihishana coz mwapendana ni rahisi lakini pakiongezeka na ukoo hapo machungu yanakuwa mengi
 
kwahiyo uda'a kiukweli kabisa,
najaribu kukusoma hapa,
ule uwepo wa shemeji/wifi nyumbani kwako huupendi kabisa!,
kwako ni kero au sio?

Tena mi nakaa na mashej wengi sana kuliko wifi mana yupi mmoja na tuko poa ukija nisipo kuambia na nisipo kuambiwa ni shemej unaweza dhani ni mdogo wangu au rafik, tunaheshimiana sana.
 
it is true wanawake ndio tusiopenda zaidi ndugu wa mume.


(Kama lawama nibebesheni wadada)
 
Tena wanaongea kilugha chao hata hawajali kama upo iwapo wewe ni kabila lingine..

Nadhani hili suala liangalie pande zote kwa mke na ndugu wa mume pia...huwezi kumlazimisha mke afanye kila kitu kukuridhisha au kuwaridhisha ndugu wasiomfanyia mke hivyo hivyo..
Unapooa au kuolewa lazima ujue nafasi ya mwanandoa mwenzio, wazazi&ndugu zako, wazazi&ndugu zake na marafiki zenu..

Kwa hisia hii yamekukuta pole. Ila haya maneno yamuingie Bacha na ubishi wake
 
Sio kukuchanganya Mlimazunzu,
katika hali ya kawaida kabisa hao ndugu sidhani kama ni rahisi,
kuja kwako na kulundikana bila sababu ya msingi,
kwani ninavyojua mimi wanakuja hapo wakiwa kila mtu ana sababu yake!
Na hasa ukizingatia wewe ndo kaka mkubwa , kila jicho linakutizama weye!!!na wazazi walishatangulia mbele ya haki!!!!!!!
Ndo maana nikasema kuwa yawezekana wengine wamekuja kwaajili ya,
shule, matibabu na sababu nyingine za msingi tu!!!!!!!

Kwani hawa vijana ulikuwa unaishi nao kabla ya wazee kutangulia mbele za haki? Nafikiri na wewe kaka yao uwe na malengo nao, coz kama asubuhi mpaka jioni wametega miguu juu ya coffee table wanabadilisha channel za TV tu, itakuwa shida mbele ya safari. Si ajabu mmegawana majukumu kwamba wewe baba hela yako utakuwa unashughulikia project kubwa kubwa (mkwara wenu huu) na mama yeye alishe nyumba. Mama naye kuhakikisha familia inakuwa komfotable anakazana kubadilisha mboga huku hata yeye hao wadogo wa kuja kuwaweka hapo na yeye anao na hamna yeyote anayemsaidia kuwalea, ukiwemo wewe mume wake! Sasa fair play hapo iko wapi?

Umenikumbusha shoga yetu mmoja aliyeambiwa na mumewe aache kazi ili amhudumie mama yake mzazi aliyekuwa amekuja kwa ajili ya shida ya hospitali. Mume wala hajataka kufikiria kuwa, mkewe naye ana mama ambaye anamtegemea, hiyo kazi akiacha itakuwaje?
 
Tena wanaongea kilugha chao hata hawajali kama upo iwapo wewe ni kabila lingine..

Nadhani hili suala liangalie pande zote kwa mke na ndugu wa mume pia...huwezi kumlazimisha mke afanye kila kitu kukuridhisha au kuwaridhisha ndugu wasiomfanyia mke hivyo hivyo..
Unapooa au kuolewa lazima ujue nafasi ya mwanandoa mwenzio, wazazi&ndugu zako, wazazi&ndugu zake na marafiki zenu..[/QUOTE]

Nimeipenda hii kauli yako ya mwisho!!!
big up BJ!!!!!
 
Back
Top Bottom