Astaghafulallah, ukiwa karibu na mimi nakutia bakora sababu umechafua hali ya hewa!!!:A S 13:Ukipenda hakuna anayehisi unapenda.......ukilia hakuna anayehisi machungu yake......ukiumia hakuna anayehisi maumivu yako....jaribu kujamba uone kila mtu jicho kwako.