Kama jinsi familia yako na ndugu zako wa huko vijijini wanavyotaabishwa na utawala mbovu wa serikali ya ccm
- mfumko wa bei kuwa mkubwa na sasa watu wa ukoo wako huko vijijin hawaujui wali, wewe unaupata wali baada ya kuhongwa na ccm.
- Kama ilivyo kwa babu, bibi na ndugu zako wanavyoteseka na kufa ovyo kwa kukosa matibabu na hii ni kwa sababu ccm wameiba na kuendeleza serikali ya kitapeli na kifisadi.
- Kama ilivyo kwa watoto wa ndugu zako kukosa elimu bora na kukosa matibabu bora, wewe umekalia kufaidi visenti peke yako na wachache wanaokuzunguuka kwa ufisadi, huko kijjin kwenu ukoo mzima unateketea kwa ccm kushindwa kuunda serikali bora bali kuweka wezi na mafisadi kutuongoza.
Watu kama wewe nikama koleo lisilo na mwenyewe hata kinyesi laweza kutumika nawakati huohuo likatumika kukuzikia na ccm itawazika watu wa ukoo wako wote huko vijijin kwa upumbavu na ubinafsi wako wa kufrahia matakwa ya upumbavu wa kichwa chako kukubali kutumika na wapumbavu wa ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.