Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,993
zamani, sio hata mbali wanaume ndio walikuwa ndio wanaongoza kwa kusaliti wachumba na wake zao.siku hizi naona hali inabadilika na si muda hawa dada zetu watatupita kwa kucheat. kuna jamaa ananiambia ana maex zaidi ya wanne na wameolewa lakini ana access nao!. jamani mtatuua wenzenu mnajua tuko sensitivee sana na hizi ishu na mbaya zaidi hamkubali makosa kama huyo juu na huyu hapa chini
wadada tufanyeje msitucheat?. kama ni some sort of a game au revenge, tunaomba po!