The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Halafu hawa EWURA kazi yao si ku-regulate bei zisipande au wapo tu kama katuni vile pamoja na kupandisha huduma za umeme, bado huduma hizo ni mbovu kupindukia
hii nchi ya tabaka la juu bana, weeeeeeee wacha tuuuuuuuuuuuuu, ila ndio tunakula na kunywa faida ya machaguo yetu ya mwezi OktobaSerikali kupitia EWURA imeridhia ongezeko la 18% ya bei ya umeme kuanzia January mwakani. Hilo ni pigo kwa mtumiaji na tayari ongezeko hili litakuwa na athari katika uchumi wetu. Wahanga wakubwa ni watumiaji wa majumbani ambao wenyewe hawana wa kumtwisha zigo hilo mtu yoyote tofauti na viwanda ambavyo vinaweza kufidia kwa kupandisha bei ya bidhaa zake.
WanaJF mnalionaje hili?
Source. TBC1
nalaani kitendo hiki na hili ni zao letu wenyewe... we voted for this government so tujilaumu wenyewe?
hivi wananchii wooooooote tukisema hapana itakuwaje?
HIVI TANZANIA KUNA SIKU TUTASIKIA HUDUMA AU BIDHAA FULANI IMESHUKA BEI?KENYA KUPANDA NA KUSHUKA HUFANYIKA KUZINGATIA HALI HALISI!HAPA BONGO INAPANDA TUU MWAKA 2005 dumu la mafuta ya kula lilikua sh 18000 leo sh 50 000 wala hakuna anayejali wala kuandamana na hali hii
Ni kweli. ni lazima utakuwa umejiuliza tumekufa nini? Umekufa kupanda kwa bei ya umeme wewe unit moja ulikuwa unanunua Tsh 129 sasa unanunua 153 unadhani ni mchezo mkuu? Vile vile ni lazima uandike kitu ambacho kitawavutia watu kusoma post yako otherwise mtu atakuwa akiiona tu anaacha na kusoma post nyingine.kichwa cha habari hakifungamani na maudhui ya post yako