Jamani Trafiki Wanakera sana!

Jamani Trafiki Wanakera sana!

Huu ni wizi wa mchana kweupeeee yaani kwa siku tano wanacheza maeneo ya bilioni almost 200 million per day!

"POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kikosi cha Usalama Barabarani, wamekusanya zaidi ya Sh milioni 888 kwa siku tano kutokana na makosa ya usalama barabarani. Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Simon Sirro alisema ukamataji wa makosa hayo ulifanyika Aprili 19 hadi 23, mwaka huu" Hii ni Copy and Paste. Tafakari.
 
Dawa ni kununua kile kidubwasha unafunga kwenye front mirror kinadetect speed torch ikiwa kilometa 5 toka gari lako lilipo.....nadhani ni $70 kwa ebay
 
Mi nissan yangu y62 platinum edition
Hua ni spidi kanzia 240 kwenda mbele
Kwenye humps ni 70 km/h
Wanikamatie wap kwa mfano
My take
Kimbiza gari kadri uwezavyo
"Mwendo mdogo main road ni chanzo cha ajari"
Ha ha ha ha ha, Kama nakuona mkuu unavyopaa na ndege ya ardhini hiyo.
 
Mimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
hyo app inaitwaje ?
 
Ha ha ha ha ha ndio dawa yao hiyo, kuna siku trafiki mmoja aliniungia na bodaboda baada ya kutokusima nilimuonesha maana halisi ya Nissan Safari ukiangalia hapo nimetoka kupigwa hela na trafiki hao hao week kama mbili zilizopita mbona aliisoma namba wanakera sana hawa jamaa yani sisi tumekuwa kama ng'ombe wakuwapa maziwa wao na nashukuru kweli kulikuwa hamna foleni siku ile maana fungu lingine lingenitoka 🙂 🙂
Yaani hiyo ndo dawa safi kabisa...dereva unadrive private unalialia eti nakamatwa nakamatwa je anayeendesha daladala asemeje.

Mimi huwa nawakimbia na akinisogelea namchomekea.

Habari zangu wanazo pale inapojengwa flyover....hahahahhahhaha nilifanya kitu si mchezo.
 
Screenshot_2017-04-27-22-31-52.png
 
Mimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
Hiyo App haina dili siku hizi. Wanazima camera.ukishawapita wanakupiga kwa nyuma wanawatumia askari.wa.mbele yao
 
Traffic police wa Tz wanaboa, wanakera, wanachefua, wanakwaza. Yani nikiwaona tuu nachefukwaaaa, badala ya kusimamia sheria na kuelekeza watu wafate sheria wao wamekomaa na kukusanya pesa. Nina uhakika makosa (soma mambo) mengine yanahitaji kuelekezana tuu, lakini wao watakulima 30. Unakuta wameoanga magari karibia kumi barabarani wanayatafutia makosa. Walaaniwe traffic wote wanaoonea watu kwa kuwalazimisha makosa na kuwalipisha fine. Hizo hela za dhuluma sijui zitawafikisha wapi. Sh3#@nzy zao
 
Mimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
Kaka hyo app inaitwaje?
 
Mm siku 1 natoka mangaka naeda dar Niko na app 2, 1 ni ya speed na ya camera.mm Niko na gar yangu na cha kushangaza trafc anilinizua kwa kosa na mwendo kasi ya 70 Wakati limit ya cm ni hamsin na mwendo ukivuka hamsin alam lazima ikukumbushe.ktk mabishano akanionyesha picha ya gar kiukwel haikuwa yangu rangi na aina ya gar ni km yangu ila namba tofaut nilipo muuliza unauhakika picha hii ni UA gar hii skajb ndio nikamuambia nalia namba.akanimbia Hata nenda jamani tuwe makini sana
 
Mimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
Ivi iyo app inapatikana playstore? Mkuu nijuze
 
Ndio michezo yao hao jamaa; siku hizi wanalazimisha utoe hela kwa nguvu. Sheria ibadilishwe TANROADS iwajibike pale ambapo max speed ni kiwango fulani basi vibao viwekwe mfululizo umbali usiozidi mita 100 kila kibao ili kutoa msisitizo.

Kuna kakijiji fulani hapo unakaribia kuimaliza Pwani kuingia Tanga; kibao cha 50 na cha kuifuta 50 viko umbali wa zaidi ya km. 5; yaani hapo matrafiki wanapapenda kuliko eneo lolote Tanzania. Kakibanda kao ka nyasi (upande wa kulia kama unaenda Segera) kametegeshwa mahali ambapo huwezi kuona kibao cha upande wowote na ni lazima uingie mkenge tu. Huu ujanja ujanja wa kitoto ufike mwisho kama ni hela sio kwa utaratibu huo.
Mi ninacho ona sasa hivi kinachofanyika ni unyanganyi wa wazi kabisa..
 
Hivi kwanini huwa najificha, maisha ya kuviziana mpaka lini.?!
 
Mnaona tutafaidi mkiitaja hiyo app ya kamera eeh?
 
Mkuu kwa nini hawa polisi huwa wanaoenda sana kusema umezidi speed limit kwa 61 au 62? Hata mimi waliwahi kunikamata Manyoni wakadai hivyo tena kwa ushahidi wa picha ya kwenye whatsapp. Hili litakuwa deal lao tu.
Mimi walinikamata inasoma 63kph pale mwembeni Bagamoyo,niliwashangaa,nikajua njaa tu
 
Back
Top Bottom