Naomba unisaidie hiyo app mkuuMimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
Mimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
Umerogwa wewe!Nina mwaka sasa sijakamatwa na traffick...dawa ni ndogo huwa nawakimbia.
Wakipiga mkono nakamua mafuta.....mwendo wa racing.

Sasa unalalamika unakamatwa wakati unasimama mwenyewe...kimbiaaUmerogwa wewe!![]()
![]()
![]()
Leo nilikimbizwa na mkuu wa kituo akiwa na gari yake binafsi huko maeneo ya Kanda ya ziwa.Kumbe alikuwa amebeba malaya kwenye Noah yake halafu alikuwa anataka kumuombea lift kwenye gari langu.Baada ya kumuosha akaanza kufukuzia nyuma huku akitiwa moto na yule hawara yake mwisho wa siku akatenga gari mbele na kuanza kupiga mikwara huku amevaa kiraia.Yaani hawa kina ngosha huwa wanajidharirisha sana pindi wanapopewa vyeo.Sasa unalalamika unakamatwa wakati unasimama mwenyewe...kimbiaa
Nilikuwaga nayo hii... Hivi inafanya kazi kiuhakika kabisa au magumashi?
Hilo ndo tatizo lao wanapenda lift balaaLeo nilikimbizwa na mkuu wa kituo akiwa na gari yake binafsi huko maeneo ya Kanda ya ziwa.Kumbe alikuwa amebeba malaya kwenye Noah yake halafu alikuwa anataka kumuombea lift kwenye gari langu.Baada ya kumuosha akaanza kufukuzia nyuma huku akitiwa moto na yule hawara yake mwisho wa siku akatenga gari mbele na kuanza kupiga mikwara huku amevaa kiraia.Yaani hawa kina ngosha huwa wanajidharirisha sana pindi wanapopewa vyeo.
Sent from my GT-I9060 using JamiiForums mobile app
Achaaaa kabisa.Halafu wakiwa wanataka lift wanajifanya wana busara kumbe kimba tupu.PtuuuHilo ndo tatizo lao wanapenda lift balaa

Mimi naona kama magumashi vileNilikuwaga nayo hii... Hivi inafanya kazi kiuhakika kabisa au magumashi?
Ndio michezo yao hao jamaa; siku hizi wanalazimisha utoe hela kwa nguvu. Sheria ibadilishwe TANROADS iwajibike pale ambapo max speed ni kiwango fulani basi vibao viwekwe mfululizo umbali usiozidi mita 100 kila kibao ili kutoa msisitizo.
Kuna kakijiji fulani hapo unakaribia kuimaliza Pwani kuingia Tanga; kibao cha 50 na cha kuifuta 50 viko umbali wa zaidi ya km. 5; yaani hapo matrafiki wanapapenda kuliko eneo lolote Tanzania. Kakibanda kao ka nyasi (upande wa kulia kama unaenda Segera) kametegeshwa mahali ambapo huwezi kuona kibao cha upande wowote na ni lazima uingie mkenge tu. Huu ujanja ujanja wa kitoto ufike mwisho kama ni hela sio kwa utaratibu huo.
Pole ndugu,
hili tatizo ni kubwa na polisi wanapenda sana huo mchezo. Wanapata wapi kiburi mimi sijui lakini hawahusiki kwa namna yoyote na usalama wa barabarani bali wanachofanya ni ujanja (wizi) wa nguvu kwa fedha za wananchi. Alama za barabarani hazipo zinapostahili kuwepo na askari wetu wanatumia mwanya huo kupiga hela chafu na wengine kuwa TRA.
Nchi hii inasikitisha!
Mi nissan yangu y62 platinum edition
Hua ni spidi kanzia 240 kwenda mbele
Kwenye humps ni 70 km/h
Wanikamatie wap kwa mfano
My take
Kimbiza gari kadri uwezavyo
"Mwendo mdogo main road ni chanzo cha ajari"
Ha ha ha ha ha ndio dawa yao hiyo, kuna siku trafiki mmoja aliniungia na bodaboda baada ya kutokusima nilimuonesha maana halisi ya Nissan Safari ukiangalia hapo nimetoka kupigwa hela na trafiki hao hao week kama mbili zilizopita mbona aliisoma namba wanakera sana hawa jamaa yani sisi tumekuwa kama ng'ombe wakuwapa maziwa wao na nashukuru kweli kulikuwa hamna foleni siku ile maana fungu lingine lingenitoka 🙂 🙂Nina mwaka sasa sijakamatwa na traffick...dawa ni ndogo huwa nawakimbia.
Wakipiga mkono nakamua mafuta.....mwendo wa racing.
Mimi siku moja simu ililia ghafra porini kabisa hakuna kibao cha 50, nikaitungua tu, kufika mbele nakamatwa nilikuwa overspeed, nikawaambia hii gari sio ya abiria (Mimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano
bus) wakaniacha nikaondoka, ila simu zimesaidia sana Inaitwaje hiyo mkuu itusaidie na sisiMimi ninayo ile app ya kujua cameta ziko wapi. Cha kushangaza unaweza kuwa unaendesha gari polini kabisa na hakuna kibao cha 50 lkn utasikia simu ina toa alarm na kukujulisha kuwa kuna camera. Huo ni uthibitisho kuwa hela inatafutwa kwa lazima. Huu utaratibu wa kurusha picha ni mbovu hakuna mfano