Jamani tindikali zitatumaliza

Jamani tindikali zitatumaliza

SOORI MBISE

Senior Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
152
Reaction score
106
Mimi ni mwadhiri msaidizi katika chuo fulani hapa Bongo. Somo ninalofundisha kwa kweli lina kaugumu kake. Sasa nimekula vichwa kadhaa ambavyo vingine vimepiga supp tayari na vingine vinarudia course na vingine safari ya kijijini imeiva.

Sasa cha ajabu napokea sms za vitisho vya kumwagiwa tindi kali. Nimeripoti polisi lakini kwa polisi wetu sijui kama nitapata ulinzi wa kutosha.

Sasa sijui niwe navaa kofia za kuendeshea boda boda?
 
Polisi ulipokwenda umeambiwa nini ?
Ulikula vichwa kwa kuwaonea ana ugumu wa
maswali ?
Hao ambao safari ya kijijini imeiva ni kwa fitna
zako tu ama ndiyo uwezo wao ?


Kumbuka km unafanya kwa kuwakomoa utakuwa hufai kuwa hapo.
 
Hakuna fitina wala uonevu. Kilamtu alipata alicho panda. Tatizo wanafunz wengi wa sikuhiz za TCU hawasitahili kuwa chuo kikuu kwa level yao ya uelewa. Kunatatizo mahali na wenyewe hawataki kukubali uwezo wao. Kudhihirisha kuwa sina makuu na mtu kunaambao walistahili kupata A na wamepata. Sasa sijui kosa langu ni lip? Hao ambao safari ya kijijin imewadia siyo course yangu tu wamepiga chin. Wamekamatwa na course nyingine.
 
Hakuna fitina wala uonevu. Kilamtu alipata alicho panda. Tatizo wanafunz wengi wa sikuhiz za TCU hawasitahili kuwa chuo kikuu kwa level yao ya uelewa. Kunatatizo mahali na wenyewe hawataki kukubali uwezo wao. Kudhihirish kuwa sina makuu na mtu kunaambao walistahili kupata A na wamepata. Sasa sijui kosa langu ni lip? Hao ambao safari ya kijijin imewadia siyo course yangu tu wamepiga chin. Wamekamatwa na course nyingine.
Mwosha naye huoshwa,subira muda wako. Niwaombe jamaa wasikumalize tu,na wasiiharm familia.
 
Polis waliniambia niwatajie watu ninao wahisi na niwape no. Za sm walizotumia. Kutaja watu nilishindwa bse wale madent waliopiga chin ni wengi kidogo so kumuhis mtu ni ngumu kias bse mimi siyo sangoma.
 
Pole mwadhiri, itabidi uadjust na kizazi hiki cha dotcom, si unaona hadi NECTA wanashusha viwango.! Utakuja kushika darasa zima mwishoe
 
Huko polisi peleka namba za wale tu uliofanya nao Uasherati.
 
Vijana wanakesha kwenye maandamano ya Bavicha, matokeo yake wanataka kumwagia tindikali mwadhiri baada ya kudisco...
 
Umwagiwe tu. Washkaji zangu wamedakwa kibao na hawatavaa joho mwakahuu. Halafu nakujua wewe kwani jins unavyoandika hapa ni sawa na vile unavyoandkaga kwenye hand outs. Na jamaa wapo serious na tindkali imechukuliwa shuleni wanakopga tempo.
 
ZeMarcopolo wewe Bavicha ndio imekufikisha hapo ulipo ila kila kukicha unaipondea badala ya kuisaidia ili iweze kutoa vijana wengine kama wewe......
 
Last edited by a moderator:
Kumbe mtu mwenyewe mzinzi ?na wakumwagie tu tumechoka,,labda umekula mpenzi wang
 
Wanafunzi wa vyuo ni watu wazima though kuna wakorofi na slow learners! !!!!!!

Ukiwachukulia hivyo na kufanya wajibu wako hakika hata ukikamata nusu ya darasa hawawezi kuwa na nia kama hii!!!!

Uliwapa heshima yao tangu mwanzo????!!!!
Ulitimiza wajibu wako???!!!!
Uliweza kuwaonesha kuwa unajali na.kuwakumbusha kuwa masomo hayo ni sehemu ya maisha yao????!!!!
Ulijiweka kwenye nafsi ya kuwa advisor kwao????!!!!!!!

Kama una nyodo,dharau na tabia kama hizo hiyo kazi utaiona chungu kila uchao, ualimu uwe zaid ya GPA kubwa na kwenda kumuvuzisha slides!!!!!

Watu wamekuja kutengeneza channel za maisha hapo kaa na akili timamu mkuu!!!!!!
 
Sasa una sms na ungewapatia polisi na wao wafanye uchunguzi hata wasipofanya ushaidi umewapa.

Pia nakushauri uandike namba zote sehemu zingine na ujumbe na uweke tofauti. As simu ikipotea basi.

Ila I hope utaweza pata pm uwasiliane na mtu humu uwape namba wakuambie majina na uyapeleke polisi. Pia inabidi umwambie mtu mwingine na uwape wasome hizo sms na pia kukaa na maandishi ya namba etc

Pole, ndio tabu ya wanafunzi hapa nchini.
 
waadhiri kama nyie nilikuwa siwapendi na nilishawashikisha adabu sana.
niliwatengenezea fumanizi na wakatembezwa uchi na kurekodiwa. wengine wakaliwa min kabaang asa wale waliokuwa wanasumbua dada zetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom