Simulizi: Chozi Langu

Crush cruise

Member
Feb 7, 2022
16
12
MTUNZI R.S.S

Dondoo;

Wengi walinifahamu kwa jina la shaky (23)au tom boe licha ya mama angu kunipa jina la shakira lakin mtaan hawakupendelea kuniita shakira kwajinsi nilivyokuwa najiweka I mean nilipendlea sana kuvaa kiume licha ya sura nzuri nilyokuwa nayo ,.Chozi langu limeanza kutoka pale mama yangu alipofariki na kuniacha nikipitia mateso mengi sana.

****************************

SEHEMU YA 01;

Niliamshwa na kelele za kuku waliokuwa wakiwika ndani ya mabanda yao ,waliashiria kumekucha na tulitakiwa kuamka kuanza shughuli za siku japo kwa wengine muda wa kuamka ulikuwa haujawadia bado ,
Mama yetu wa kambo alituwekea utaratibu mimi pamoja na mdgo wang Jabir , wa kuamka saa 11 alfajir na kuanza kufanya shughuli zote za pale nyumban licha ya kuwepo na dada yetu mkubwa zena( 27), lakin yeye hakutakiwa kabisa kufanya kaz yoyote pale nyumbani.

Jabir alikuwa kidato cha pili katika shule moja ya kata ,na mimi nilifanikiwa kumaliza kidato cha 4 lakin sikubahatika kuendlea na kidato cha 5 kutokana na changamoto ya ada na mahitaji ya shule baada ya mama (kambo)kukataa kunilipia .Baba alikuwa ni mgonjwa aliparalyse upande mmoja baada ya kuanguka choon miaka miwili iliyopita kipindi hicho nipo form 2 na mdog wangu Jabiri darasa la 6 kwhy alikuwa ni mtu wa kulala tu na kusubir kuhudumiwa kwa kila kitu.

'Tuliamka na mdogo wangu Jabiri ,mim nielekea kuwafungulia kuku kisha kusafisha banda la kuku ,Jabir alifagia uwanja baada ya kumaliza nilimruhusu ajiandae kwaajil ya kwenda shule kwani kazi zingne nilikuwa nazimudu kufanya mwenyew bila msaidizi".

Baada ya kumaliza kufanya shughuli zote za pale nyumbani nlichukua uji kwenye bakuli niliomuandalia baba kisha nikaelekea mpaka chumba anacholala, in short tangu augue mama alikataa kulala nae chumba kimoja kwa madai usiku halal baba anamsumbua na yeye asingeweza kumhudumia anachoka sana, hivyo basi jukumu la kumduhumia baba lilibak mikonon mwetu mim pamoja na Jabir, mara nying Jabir alishughulika kumsafisha baba na usiku alilala nae, mim nlihakikisha anakula vizur na kunywa dawa zake kwa wakat kwahy afya yake haikuw mbaya kiukweli.

"Wanangu mnisamehe mimi baba yenu nmeshindwa kuwatoa kwenye mateso mnayoyapitia sahiv "aliongea baba huku akitamka maneno yale kwa shida na mkono wake wa kulia ukiwa umeushika mkono wang wakushot kwa nguvu sana huku machozi yakimtoka
"Baba nimekuletea uji ,kunywa baba yangu ukimaliza nataka nikusomee gazeti lako pendwa "nilijaribu kubadilisha mada kwasabb sikupenda kuona baba ang anakuwa na huzuni na katika ile hali aliyokuwa nayo nilihis akipata stress zaidi nitampoteza hivyo nilijitahd sana kuwa na furaha mbele yake, nilifanikiwa kumnywesha uji huku nikipiga nae story za hapa na pale na alionekana kufurahia yale maongezi.

"We shakira hivi unaakil kweli umekaa apo unacheka cheka tu hujui kama unatakiwa ukafungue duka uko na chai mezan hujatutengea unategemea nini? "Furaha yetu na mazungumzo yetu yalikatishwa baada ya mama kuingia pale chumbani na kuanza kunifokea, sikumjibu kitu chochote nlinyanyuka kinyonge sana na kuelekea jikon ,kiukweli nilishachoka yale maisha ya manyanyaso lakin sikuwa na sehemu nyingine ya kwenda isitoshe nisingweza kwenda mbali na kumuacha baba angu akiteseka kwenye mikono ya huyu mama shetani kabisa asiyejua thamani ya utu, aliyeolewa na baba angu kwaajili ya pesa tu na si kingine ,niliijinamia pale na kuanza kulia bila kutoa sauti, zilisikika kwiki tu,nilitamani mama yang mzazi angekuwepo hai leo hii .... ,nliwaandalia chai mezani kisha nkaondoka kuelekea katika duka letu la bidhaa za jumla (mchele ,mafuta ya kupikia, unga, sabun n.k)lililopo mjini maeneo ya stendi ya zamani ,nikiwa nmevaa surual ya J iliyopauka tu ,tishirt kubwa na kofia juu huku ni kidunda kama mwanaume .

Ilikuwa mida ya saa 2 asubuhi pilikapilika zilianza ,wateja walikuwa wengi hivyo nilikuwa busy sana japo saa 6 nltakiwa kurud nyumbani kupika chakula cha mchana.
"Mambo mrembo wang "nilisikia sauti ikinisalmia kutoka nyuma yangu pindi nipo busy kupanga vitu vya dukani ,niligeuka haraka kutaka kumjua alyeniita mrembo maana haikuw kawaida mimi kuitwa mrembo kwasabab mara nying nilivaa nguo za mdogo wangu Jabir zilizopauka ,sikupata wasaaa wa kupendeza wala wa kujiweka vizur nionekane kama msichana ,kutokana na kifua changu kidogo nikivaa matshrt makubwa haikuwa rahisi mtu kutambua kama mimi ni mtot wa kike ,lbda sauti yangu ndio ilikuwa tofaut na mwonekano wangu
"Aaah kumbe Ray aah halafu nilishakwambia usiniite mrembo bhna hilo jina silipendi "
"Jamani kwenye macho yangu we ni mrembo sana ,uliyefanikiwa kuziteka hisia zangu na kuyateka mawazo yangu ,kwahiy niache tu nikuite mrembo ndo jina unalostahili kuitwa na mimi"alinijibu Ray huku akitabasam na kuniangalia kwa macho ya kutia hurum na yenye kumaanisha kile anachokisema
"Bhana wewe acha mambo yako ,sema kile kilichokuleta nkupe uondoke maswala ya warembo kawaambie akina sakina uko sio kwa mimi shakira "nilimjibu kwa hasira kwani sikupenda kabisa maswala hayo
"Shakira IPO siku utanielewa nachokwambia sahivi ,me nilikuja kukuona tu na kukupa hii hela ukanywe chai " alitoa noti ya shillingi elfu 10 alinipa kisha akaondoka zake kuelekea offisin kwake iliyopo karibu na dukan kwetu .
Siku hiyo mvua kubwa ilinyesha hvyo sikuweza kwenda kupika chakula cha mchana nyumban ,nilikaa dukani had saa 3 usiku ndipo nilipofunga duka na kuanza kutembea taratbu kuelkea nyumban mfukon nikiwa natembea na shillingi milion 3 za mauzo ya siku hiyo nlyotakiw kumkabidth mama zena nkifika nyumban ,duka letu lilikuwa kubwa sana hivyo mauzo kama hayo ilikuw kawaid kuyapata na somtmz mpaka mil 5 kwa siku ilikuw inapatikana ,kiujumla hilo duka ndo tulikuwa tunalitegemea kwa kila kitu na ndilo linalompa kiburi mama yetu wa kambo (mama zena) kwani nilijitahid kulisimamia vizuri lisiweze kufilisika kwa kipindi chote ambacho baba alianza kuumwa mpka sasa,ili tusiweze kukosa chochote kitu cha kutuweka mjini.

Nilifika nyumban nikiwa nmechoka sana ,nlikuta Jabir amekaa getini akinisubiria
"Dada shaky nilivyorudi kutoka shule nimekuta baba amejisaidia lakini hakuna yoyote alyeenda kumsafisha wala hawakumpa chakula kwahiy leo baba ameshinda njaa mpka nlvyotoka shule nikapika jion ndo amekula amelala sahivi"J alianza kulalamika hata bila salam huku uso wake ukionekana umevimba kwa kulia
"Dah J haya maisha tutayaishi mpaka lin mdogo wangu kwanini usiniruhusu nimuue tu uyu mama ijulikane moja kuliko kuendlea kututesa hivi kwenye mali za baba yetu mwenyew aliyezitafuta kwa jasho lake mwenyewe "niliongea kwa hasira nikiwa nmekunja ngumi huku machozi yakinidondoka mashavuni,nilijiamini nina nguvu kwasabbu kipindi npo shule crew yang yote walikuwa ni watoto wakiume na tabia tabia zao nying niliziiaga na hata mara nyingi nilipigana na watt wakiume na niliwaumiza hivyo nlkuwa najiona mimi ndo mimi na watu wengi wanilinijua jinsi gani nilivyokuwa mkorofi

"Dada usije kufanya maamumiz kama hayo utajiweka matatizoni ,we subiri tukijua mama zena alipoificha hati ya nyumba ndipo tuanze kufatilia mali zetu,kingine ukileta fujo apa baba tutampeleka wapi na hiyo hali aliyokuwa nayo??
"Ngoja ngoja yaumiza matumbo dogo ipo siku ntafanya maamuz yangu mwenyew ,Ok we umeshakula ?na vipi unaendeleaje na masomo yako una tatizo lolote huko shule?
"Ndio nimekula dada lakini chakula zena kasema tusikubakishie kwasababu we leo hujapika ,pia shule sina tatizo lolote kila kitu kipo sawa "
"Sawa dogo mimi naenda kumkabidhi uyu mchawi pesa zake halafu nikapumzike kama chakula wameninyima usijali nitakula kesho tu me mwenyewe kamanda "japo njaa ilikuwa inaniuma lakin sikuonesha udhaif wowote mbele ya mdogo wangu ilimradi asisononeke moyon kuhusu mimi nlipenda na yeye awe na furaha ili afanye vizur kwenye masomo yake .

"Mmmmh mmmh mbona pesa niliwezeka hapa zimeenda wapi "nilijisemea kwa saut ya chini huku nikiendlea kujisachi kwenye mifuko yangu ya suruali nilipokuwa nmeziweka zile pesa ,nilijisachi zaid ya mara 20 lakini sikuona pesa zimeangukia wapi nilijaribu kufatilia barabarni nilipopita pindi narudi nyumban lakin sikufanikiwa kuziona ,ndipo nlipoamua kumshirikisha mdogo wang anisaidie kutafuta ,tulitafuta sana lakini hatukufanikiwa kuziona.

Mama zena alishitukia issue alianza kunitukana yeye pamoja na mwanae zena (ambaye hatujashare nae baba )wakinituhumu mimi zile pesa nmezificha makusudi ili nkazitumie mwenyewe
"We mbwa hizo pesa uzitafte lasivyo utaenda kulala polisi na nitakufungulia mashtaka umeniibia "alinambia mama zena huku sura yake akiwa ameikunja kuonesha hana mzaha kwa kile alchokuwa akikisema
"Mama pesa nilziweka mfukoni sijui zmedondokea wapi tafadhali mama naomba unisamehe usiniitie polisi nakuahid nitazitafuta zitapatikana "nililia huku nikimpigia magoti kumuomba anisamehe kwan hapo sikuwa na ujanja wowote zaid ya kumnyenyekea tu
"Mama usimsamehe huyu atoke sahivi akazitafute hizo pesa alipozificha lasivyo aende polisi na asiruhusiwe kukanyaga apa hadi alete pesa "aliongea Zena huku akionekana kufurahia kile alichokuwa akikiongea ,nilimwangalia kwa hasira sana na ule ubonge ubonge wake nilitamani kwenda kumdunda palepale au nimchane chane na visu nimuharibu ile sura yake mbovu kama ya mama yake iliyokuwa imeungua kwa cream za bei rahisi licha ya kuhangaika kuipaka vipodozi kila siku lakini haikuwa na shukrani .
"Nadhani umesikia alichosema dada ako ,unyanyuke apo ukatafute pesa ulete hapa sasahivi lasivyo utanitambua mimi ni nan "
"Mama tumeshatafuta sana lakini hakuna tulichokipata naombeni mumuache da shaky alale kesho asbh na mapema ataamka kwenda kutafta "J alijaribu kuntetea lakin hakuna alyemsikiliza alionekana akipiga kelele tu pale .

Nilinyanyuka pale na kufungua geti na kuelekea nje licha ya kutokujua naelekea wapi usiku ule kwani ilishatimu saa 6 na dakika zake pia nilikuwa natetemeka kwa baridi na mvua ilianza kunyesha tena ukizingatia sikula chochote tangu asubuhi kutokana na ubusy wa kazi za pale dukani .Nilipata wazo la kwenda maskani kwa mshikaji wang alyejiita Bizzo tulisoma nae O-level alikuwa na gheto lake mtaa wa3 baada ya mtaani kwetu ,japokuwa gheto lake lilikuwa lina wahuni kibao lakini niliona huko ndo ntakapopata msaada wa kujihifadhi kwa usiku ule kwasababu marafiki zangu wengi walikuwa ni hao wahuni wahuni wakitaa tu na sikupendelea kampani ya watoto wakike kabisa ndiomaana mara nyingi nilikuwa navaa nguo za kiume ili nifanane na kampani yangu .

...................................


Hekaheka ndo zinapoanzia hapa kumpata shakira yapo mengi yatakayomkuta na kumtoa machozi kila siku ...tafadhali endelea kufatilia kisa hiki kujua nini kitakachoendelea ...................
 
SEHEMU 02;

Endelea;,

Nilifika kwa bizzo nikiwa nimeloa chapa chapa ,nilisimama kwa dakika kadhaa pale nje ya mlango wake huku nikijibanza banza kuikwepa mvua japo nilikuwa nimeloa tayar ,niliamua kubisha hodi na baada ya dakika kadhaa sauti ya kiume ilinijibu

"Ooy nan mwana unaleta usumbufu sahivi watu tupo na arosto zetu"
"Aah bizzo ni mimi shaky nifungulie bhana"baad ya dakika kadhaa nilifunguliwa mlango na kuingia ndani ,kulikuwa na watu wa5 wengne wakiwa wamelewa chakar hawajitambui ,Bizzo alionekana hakulewa sana
" Vipi dogo umetoka kufumania nini na hii mvua "
"Aah wap bro ,nimfumanie nan mimi simaindishi hizo mishe bhan nataka nibadilishe nguo kwanza "
Bizzo alinipatia nguo zake vest pamoja na bukta nkabadilisha mule mule akiwa ananiangalia japo kuna muda alijifanya kujikoholesha lakin sikumjal wala nini ,nilivyomaliza kubadilisha nguo nilikaa chin kimya bila kuanzisha mazungumzo yoyte japo nilitambua bizzo anasubiri nimpe maelezo ya ujio wang usiku ule kwan haikuwa kawaida yangu kwenda kwake usiku .

"Shaky shida nini mbona unaonekana una mawazo hivi "
"Shaky !!shaky!! we shaky wewee!!"
"Naam dah samahn nilikuwa mbal kimawazo "nlijibu baada ya kushtuliwa kutoka kwenye dimbwi la mawazo ,nkimuwaza baba angu ,pamoja na mdogo wangu watakuwa kwenye hali gani kwa wakati huu pia zile pesa sjui nazipata vip au nmezidondosha Wap.

Bhc bhna nilimuelezea kila kitu Bizzo na alishaur nilale kwanza asubuh tutajua cha kufanya kwasabab nilionekan kuwa mchovu sana nilihitaj kupata muda wa kupumzika .


Asubuhi na mapema wote tuliamka na kusalimiana,wale marafiki zake bizzo hawakushangaa kuniona kwasabab wote walinifahamu na walijua mimi ni rafik wa bizzo pia tulishawah kukutana kwenye mishe mbal mbali,hivyo wao walitawanyika kwenda kutafuta riziki ,wa3 walikuw niwabeba mizigo stend na wawil walikuw wakifanya biashra ya kuuza bangi kwa siri pale mtaani .
*******************************************
"Bro naenda kitaa kumcheck baba ,na kusoma mazingira ya kule kikieleweka tutaonan kesho"niliona bora na mimi niage tu ili nkajue hali na afya ya baba angu japo bizzo aliniomba nikae pale tudiscuss kuhusu namna ya kupata hizo pesa lakin niligoma kubaki na kumuahid nitarud badae

Kufika home mida ya saa 3 hivi nlimkuta J hajaenda shule ,yupo busy kupiga deki pale nyumbn na mjumba ulikuwa mkubwa haswa ,niliumia sana kuona vile namuuliza J sabab ya kutokwenda shule alijibu kuwa mama zena amemzuia kwenda shule mpaka pale nitakapopeleka pesa zake ,muda huo mama zena na mwanae walikuwa wamelala bado ,niliingia chumban kwa baba kumjulia hali yake ,baba alionekana hana raha kabisa na alishindwa kuongea machozi yalimtoka tu .kuona vile niliamua kuondoka pale nyumban na kurud kwa Bizzo ili nijue atanishaur vipi ,maana siwez kuvumilia maumivu ya kuwaona baba na mdogo wangu wakiteseka kwasabab yangu.


Nilimkuta Bizzo anajiandaa kutoka lakin aliponiona mimi ilibid aghair safar yake anisikilize .Inshort Bizzo alikuwa ni kijina mmoja mtaratibu ,mrefu mweusi ,mwenye mwili uliojazia kwa mazoea ,lakin ugumu wa maisha ulipelekea pia asiendlee na shule na kubaki pale mtaani na vijana ambao hawakupenda kabisa kusoma ,nilimuelezea hali nlivyoikuta nyumban huku nikilia kwa uchungu sana .
"Shaky tulia nitakusaidia kupata hizo pesa "alinambia bizzo huku akinifuta machoz kwa kitambaa kidogo kilain
"Kuna sehem unaweza ukazipata hizo pesa lakin zina mashart sana mpka uzitolee jasho ndipo uweze kupata kiasi unachokitaka "aliendlea kuongea bizzo muda huo mimi nilibaki kumkodolea macho tu na kumsikiliza kwa makin anachokisema
"Me nipo tayar Bizzo nisaidie tu nipate hizo pesa ili nkalipe mdogo wangu arudi shule "
"Lazima ukafanye kazi shaky ,nina wasiwasi tu hizo kaz hutoziweza ndiomaana napata kigugumizi kidogo kueleza hili jambo"

"Deal lolote lile me naweza kufanya usiwe na wacwac na mimi "
"Una uhakika utaweza kweli shaky ,usikurupuke kujibu kabla hujajua ni kazi gani unatakiwa kufanya"
"Bizzo nmesema nipo tayari kwa kazi yoyote kwanini hutaki kuniamin"
"Ok kaz yenyewe ni hiviii ....................
************************
Saa 9:30 mchana tulipanda bajaji kuelekea sehem nisiyoijua kwaajili ya kuonana na boss wao na kukubaliana jinsi ya kuanza kufanya kaz niliyoambiwa na bizzo, na tulikuwa tumejiandaa haswaaa
Wote tulivaa tishrt nyeus ,surual nyeus ,cap pamoja na miwani ,kwa haraka mtu ungeweza kuhisi na mimi ni mwanaume ,isipokuwa tu saut ya kidada iliniharibia mchezo.

Baada ya lisaa limoja na nusu tulifika tulipokuwa tunakwend ,bajaj ilitushusha kwenye jumba moja kubwa la kifahari Bizzo alilipa pesa ya bajaj kisha bajaji iliondoka na kutuacha pale nje .

"Usiogope Shaky hapa ndo kwa boss mwenyewe niliyekuw nakwambia ,ukiingia huko ndani usioneshe kutetemeka na uwe makini kusikilza maelekez atakayokupa"
"Sawa nimekuelewa Bizzo" Bizzo alibonyeza kitufe cha kengele kilichopo pale getini kisha mlinzi alikuja kufungua lile geti,tuliingia ndan mimi nikiwa namfata fata nyuma Bizzo kama mkia huku nikiwa naogopa japo nilijitahid kuuficha uoga wangu kwa kushangaa uzur wa lile jumba pale nje lilipambwa kwa maua mazur pamoja na swimming pool .

Mlango wa kuingia ndan kabisa kukutana na ukumbi kulikuwepo na mlinzi mwingine pia hivyo tulisalimiana nae kisha akaturuhus kuingia ndani baada ya kumhoj maswal Bizzo .Tulikaa kwenye sebule moja nzur yenye furniture za thamani na zenye kuvutia .

Baada ya dakika tano alitoka sebleni mwanamama mmoja mnene ,mrefu kias ,nywele zake fupi zilizonyolewa ,mweupe na alyejaaliwa makalio makubwa akiwa amevaa kigauni kifupi kilichoa acha mwili wake wazi pia ameshika glass ya pombe mkononi .
"Mama huyu ndo yule mtu nliyekupigia simu kukupa taarifa zake ,kuwa ana matatizo anahitaji kufanya kaz na sisi ili apate walau pesa ya kutatua shida zake ."Bizzo alitoa yale maelezo kwa yule mwanamama baada ya salam na utambulisho ,aliyejitambulisha kwajina la Madam Veneranda japo yeya alitaka aitwe madam vene .

"Uyu ni binti au kijana mbona nimeshindwa kumuelewa vizur "aliuliza madam vene kwa saut ya dharau kidogo ,nilitamani kumjibu vibaya lakin ilinibid tu nitulie ugenini na isitoshe nimepelekwa pale kwa shida zangu
"Mimi ni msichana madam "nilimjibu kwa kifupi tu
"Ooho woow jamani nimefurahi kweli kujua ni msichana maan nilivutiwa na wewe tu tangu nmewaona mkiingia humu ndan nilikuw kule ghorofani nikiwatizama "alijichekesha yule madam wakat mwanzon aliniwekea wa mbuzi ,but sikujua kwann amefurah gafla ,
"Sasa Bizzo kwa kua muda umeisha sahiv ni saa 1 ,inabid huyu umuache alale huku huku nimpe maelekezo ya kaz na kesho asbh na mapema atatakiwa kufanya hiyo kaz "
"Ooh lakini mama nilikuwa naona bora nije nae kesho asubh kwasabab naona leo mazngra ya ugen hatokuw sawa kulala hapa"alijibu Bizzo akiwa na waswas kdogo kias kwamba akanitia uoga mimi

"Relax Bizzo apa shaky ameshafika sehem salam kabisa ,niamin hatokutwa nachochote kibaya "

"Mmmh ok sawa nmekuelewa madam nitamuacha alale huku"Bizzo alijibu kwa kinyonge na aliogopa kunitizama usoni kwa muda huo .

Bizzo aliondoka na kuniacha mimi pamoja na yule madam pale tukishangaana tu bila yoyote kati yetu kuongea chochote zaid ya kusikika kelele za tv .Baada ya lisaa limoja hv ikiwa imefika saa 3 usiku alikuja binti wa kaz aliyeonekan ni mdogo kidogo kwa umri hakuzidi miaka 20 pia umbo lake dogo dogo lilifanya kuonekana mtoto ,msichana yule alikuja kutenga chakula kisha kutukaribisha mezan tujumuike kupata chakula cha usiku,kulikuwa na wali nyama ,matunda na mboga za majani pamoja na juice ,tulikula kimya kmya hvhv mpka tulipomaliza binti wa kaz alikuja kutoa vyombo kimy kmya pia .
Baada ya muda kidogo madam alinambia nimfuate ,nilimfuata taratb kwa nyuma tulipandisha ngazi had ghorofa ya pili huku madam akitembea kwa madaha sana ,huko ndipo vyumba vya kulalia vilikuwepo .Madam alifungua mlango wa chumba kimoja wapo na kunikaribisha niingie ndani .

Opphy!!!!chumba kilikuwa kikubwa na kizuri sana ,kilipambwa kwa mapambo tofaut ,mapazia mazuri yalikuw dirishan ,makabat makubwa mawili ya nguo pamoja na kitanda kikubwa kilichotandikwa kwa shuka safi jeupe kulifanya muonekano wa chumba kuvutia zaidi

"Hiki ni chumba changu shaky ,nmeamua kuwa leo tutalala pamoja apa"
"Lakini madam mbona kuna vyumba vingi humu ndani kwanini nisiende kulala chumba kingine tu "
"Leo nimejisikia tu kulala na wewe kwa kuwa umenivutia sana shaky nataka nikutoea uoga upazoee hapa kama nyumbani kwako"
"Mmmmh "nliguna peke angu maana sikuw namuelewa huyu mwanamke
"Karibu uketi kwanza "alinivuta madam na kunikalisha kitandan huku nmepigwa na butwaa tu ,yeye pia alikuja kukaa pemben yangu huku akisogez mkono wake had kwenye paja langu

"Shaky kwanza kabisa kesho kuna kazi ya kusafirisha mzigo kuupeleka mwanza ,ukifanikiwa kuufikisha huo mzigo salama utapata malipo yako baada ya kurudi huku"
"Madam mmmh ...aaah aah"nlitaka kusema neno lakin nilibaki kujiuma uma tu ,nliwaza pia kama nipo tayar kuingia kwenye hiyo biashara ya uuzaji wa madawa ya kulevya ,licha ya uhuni wangu wote sikuwah kutumia unga ,bangi wala sigara ,japo pombe mara moja moja nilitumia lakin sikuwah kufikiria kabisa kama nitakuja kuingia kwenye biashara ya kuuza unga
"Unawaza nini mpenzi ,au unaogopa ?"aliniuliza madam baada ya kuona nmepatwa na kigugumizi kwenye kuongea
"Hapana mimi nipo tayari kufanya kazi madam siogopi chochote "nilijaribu kuongea kwa kujiamin lakin nlishindwa kuificha hofu yangu
"Nambie tu kama unaogopa nitakusaidia kias cha pesa unachokitaka halafu utalipa kwa kufanya kazi nyingine rahisi sana najua utaifurahia "alinambia madam huku akizidi kusogea karibu yangu ,hapo mapigo ya moyo yalianza kwenda kwa kasi sana
"Ka ...ka ...kazi gani madam "nilijitutumua kuuliza huku skujua kigugumizi kilitokea wapi
"Shaky kama nilivyokwambia tangu mwanzo ,mimi nmevutiwa sana na wewe ,we ni mzur sana shaky ,nmetokea kukupenda sana ,naomba uwe mpenzi wangu nitakupa chochote unachotaka "aliongea kwa mapozi utadhani yupo na mwanaume pale na kujibebisha kwingiiiii!!!!!
"Madam mimi ni mwanamke kama wewe nawezaje kuwa mpenzi wako????nilimuuliza kwa saut kubwa huku nimtoa kifuan kwangu ,Kiukwl licha ya kuwa kama tom boe lakin mapenz ya jinsia moja sikuwah kuyakubali kabisa na sikuwa na mpango wa kujarbu kufanya hicho kitu hivyo nilichukizwa na huo ujinga alionambia madam
"Chagua moja kesho uende mwanza usafirishe huo mzigo au ukubali kuwa mpenz wangu nkupe pesa unayotaka bila kuitolea jasho "Alisema madam kwa ukali kidogo
"Sitaki vyote madam ni bora uniache niondoke zangu"
"Hahahaha shaky sahiv ni usiku huwez kuondoka hapa kwangu ,isitoshe mtu anayekataa maagizo yangu huwa simuach hai wala kumpa nafas ya kuendlea kusurvive ,so kama hutaki ni bora niutoe uhai wako sasa hivi "kisha madam alitoa bastola yake pale chin ya kitanda na kuninyooshea huku akicheka kwa dharau
"Chagua moja shaky lasivyo nitakutawanya ubungo wako hapa hapa "

Niliogopa sana na kwa wasiwasi haja ndogo ilinikamata nikajikuta najikojolea pale pale nkiwa nmesimama huku niktetemeka ,machozi yalianza kunitoka nlianza kulia kwa kwikwi mwisho saut ilitoka nisijue nini cha kuchagua wakati huo na madam hakuwa na mzaha tena alichotaka yeye ni jibu moja tu ................




Je shakira atachagua kipi kati ya hayo mawili .....usikose kufatilia kujua muendelezo wa hadithi yetu yenye visa vingi vya maumivu ....................
 
SEHEMU YA 03;

MTUNZI R.S.S

Endelea .......


"Ma...ma ...mad..madam naomba tuongee usifikie huko tafadhali"niliongea huku nikiwa bad nalia ,pia niliamua kumpigia magoti huenda angetulia kunikiliza nataka kumwambia nini
"Sina cha kuongea na wewe binti ,nataka jibu moja tu ,jibu lako ndilo litanifanya niweke chini hii bastola lasivyo niiruhusu ikushughulikie sasahivi "

"Mmmphh nlivuta pumzi ndefu na kuiachia itoke nje,machozi yaligoma kabisa kukatika maana sikuwahi kabisa kukutwa na jambo kama lile kwenye maisha yangu ,muda huo akili ilinizungka tu na kuwaza nkifa hapo familia yangu nan ataiangalia doh!!niliamua tu kufanya maamuzi magumu ili nikaiokoe familia yangu kwa yule jinamizi mama zena .

"Nipo tayari kufanya kazi na wewe lakini sipo tayari kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wewe "nilimwambia madam huku nmeinamisha uso wangu chini
"Woooow umefanya maamuz mazur sana ,hicho ndicho nilichokuwa nakitaka kukisikia ,maadam umechagua kimoja hicho cha pili huwezi kunishinda mimi utakubali tu taratibu "

"Madam kukubali nini tena wakati umenambia nichague kimoja tu "nilijibu kwa kuhamaki baada ya kuskia majibu ya madam ,nilisimama tukawa tunaangaliana uso kwa uso ..kidogo mimi nilimzid urefu madam japo yeye alikuwa mrefu pia

"Calm down shaky ,usiwe na jaziba hivyo vingne tutaongea taratibu tu dear ,sahiv unatakiw ukapumzike ,asbh utakuw na kaz ngumu sana na pilikapilka zitakuwa nyingi "

"Nilimtizama madam kwa hasira lakini sikuwa naweza kumfanya kitu chochote pale isitoshe nilkuwa ndani ya nyumba yake ,hivyo niliamua kuwa mpole tu na kukubali maagizo yake .
Alinionesha chumba kingine cha kulala kisha yeye alirudi kulala chumbani kwake .

***********************************************

Nilishtuka kutoka usingizini baada ya mlango wangu kugongwa maana nilijifungia kwa ndani kuogopa huenda yule madam angekuja usiku ule kunidhuru.
Nilinyanyuka kitandan haraka nikiwa nimevaa nguo zangu zilezile kwani sikuvua nguo wakati wa kulala .
"Shikamoo madam "nilimsalimu madam baada ya kufungua mlango ,alikuwa amevaa bukta ya blue pamoja na tishrt jeupe
"Aah we hebu toka apa na shikamoo yako usije niharbia siku bure ,ukiniangalia mimi ni wakupewa shikamoo??"
"Dah mama nisamehe tu sikujua kama hupendi hii salamu "
"Ok tuachane na hayo ,unatakiwa utoke uko ,tunakusubiri seblen "
"Sawa mama "
"Usichelewe tunakupa dakika 10 tu uwepo kule chini"
Madam aliondoka kisha mimi nilirud chumbani japo nijimwagie maji tu kuondoa uchovu wa jana ,nilivua nguo na kuingia kwenye bafu lililopo mulemule chumbani ,nilitumia dakika mbili kujitazama kwenye kioo kilichopo pale bafuni

Nilijitazama nilivyo mrembo,nywele zangu fupi ,rangi yangu nyeupe ilinipendeza haswa ,dimpoz zangu zilizidi kuniongezea urembo ,macho yangu makubwa kias ,lipsi zangu nene ziliniongezea mvuto pia .Nilishuka chini na kuyatazam maziwa yangu madogo madogo yaliendana kabisa na mwili wangu ,kishape cha uchokozi na miguu mizuri nilijaaliwa ,vyote hivyo nilivificha visionekane kwa wanaume baadal yake nilitamani kufanana na wanaume
"Dah mbona mimi ni mzuri sana kwanini nimeamua kujiweka kiume kiume ,kwanini naficha urembo wangu ,kwanini lakin ,"nilijikuta najutia life style yangu niliyokuwa nmeichagua maana nilihis muonekano wangu ule uliniponza kwa madam vene .,nilitoka kwenye yale mawazo ,kisha nilijimwagia maji haraka haraka maana niliogopa kuzidisha muda niliopewa na madam vene .

**********************************************
Nilikuta vijana sita wameketi pale sebuleni kuizunguka meza kubwa ya kioo iliyopo katikat ya sebule ,madam alikuwa amesimama pembeni akiangalia vijana wale wafanye kazi yao vizuri bila kupoteza point yoyote ,niliangalia saa iliyokuwepo pale ukutani sebulen ,ilikuwa ni saa 10:30

"Shaky acha kushangaa shangaa ovyo jiunge na wenzako apo ufanye kazi "aliniambia madam baada ya kuona nmesimama huku nmepigwa na butwaa .Wale vijana 6 akiwepo Bizzo walikuwa busy kufunga unga kwenye vimifuko vidogo vidogo vilain vya plastic ,hakuna aliyenisemesha wala kupoteza muda kuniangalia kila mtu alikuwa busy kufanya kazi pale ,nilijipenyeza katikat ya sofa alilokuwep Bizzo na mwenzake kwa jina sikumfahmu ni nani ,kisha nlianza na mimi kufunga ule unga kwenye vimfuko kwa kuangalia wenzangu walikuwa wanafanya vipi na mimi nafanya .

Baada ya masaa mawili kazi ilikuwa imemalizika tayari ,hapo ilitimu saa 12:30 ,vijana wote tulikuwa kimya kumsikiliza madam

"Habari zenu "
"Salama"wote tuliitikia salam ya madam kisha kumsikilza atasema nini
"Ok jaman vijana wangu ,leo tuna member mpya huyo apo dada yetu anaitwa shakira ,naomba mumuheshim kama mnavyoheshimiana nyie,pia yeye ndo atakuwa muhusika mkuu leo wa kusafirisha mzigo wetu hadi mwanza "madam alitoa utambulisho kisha akanigeukia
"Shakira huyo apo pembeni yako anaitwa Mussa ,huyo ndio utakuwa unawasiliana nae kipindi upo safarini na atakupa maelekezo nini cha kufanya utakapo fika huko,pia utatumia sim hii apa kwanzia leo kuwasiliana na mimi pamoja na mussa tu "alinipatia simu ya mkonon smartphone aina ya samsung note 9
"Sawa madam nimekupata "nilijibu huku nikimtizama mussa kwa umakini na kuichukua ile simu niliyopewa na madam
"Safari itaanza saa 2:00 ticket ya bus atakupatia mussa pamoja na vitu vingine ,yangu ni hayo tu mnaweza mkatawanyika na kuendlea na shughuli zingine .

Wote pale tulitawanyika lakin nilimuomba Bizzo kuzungumza nae kidogo .
"Bizzo kuna kitu naomba unisaidie ndugu yangu "
"Kitu gani tena ,vipi kwanza usiku madam hajakufanyia kitu chochte kibaya?"
"Ni story nyingne Bizzo ntakueleza siku nikirejea dar ila kwa sasa naomba nikuagize kwa J mdogo wangu "
"Nakusikiliza unaweza ukaniagiza tu "
"Naomba uchukue hii simu umpelekee ,mwambie asitoe hii laini iliyopo humu ndani nitampgia kwa namba yoyte niwasiliane nae ,na hii pesa naomba umpatie itamsaidia akiwa na tatizo "nilimpatia simu yangu ndogo ya batani niliyokuwa naitumia kwa sir mama zena asijue chochte maan hakuruhus kabisa mim kutumia sim ,pia nilimpa noti ya shillingi 10,000 niliyopewa na Ray siku ile pale dukani kwani sikuitumia kwa kitu chochte na nilikuwa nimeificha hivyo ilinusrika kupotea pamoja na zile pesa .

Tuliagana pale na Bizzo na mimi nilienda kukutana na Mussa ili anipeleke kwenye kituo cha bus kwaajil ya safar ya kuelekea mwanza .

***********************************************
Saa 1:45 tulifika katika kituo cha mabasi kilichopo mbezi ,nikiwa nmebeba bag la mgongoni lenye yale madawa ya kulevya licha ya kuwa niliweka baadhi ya nguo kwenye lile bag lililosaidia kuficha yale madawa bado nilikuwa natetemeka sana
"Kuwa makini shaky usioneshe wasiwasi wa aina yoyte ule ukiwepo kwenye gari ,pia utanijulisha kila kituo utakachofika ,ukikaribia nitakupa namba za mwenyeji wako huko na kukupa maelekezo mengine "
"Kwanini usinipatie hizo no sasahivi tu "
"We dem acha kujifanya mjuaji sana ,we fata nachokwambia ,chukua hii pesa ya dharura "..niliuma meno kwa hasira baada ya kuniita mimi dem lakin sikumjb chchte nilikwapua ile pesa kutoka mkonon mwake bila kuhesabu ni shingpi ,kisha nilipanda kwenye bus na kumuacha akiwa amesimam pale chini akinitazama .


**********************************************
Seat yangu ilikuwa upande wa dereva dirishani ,niliketi kwa kutulia kusubir safar ianze bag langu nikiwa nmelikumbatia maana nilihisi nikiliweka tu chini watu watakugundua nimebeba kitu gani kwenye lile bag .
Dakika mbili zilibaki ili safari ianze lakin seat ya pembeni muhusika hakuwa amefika bado ,hivyo nilihisi seat haitokuwa na mtu ,nlijiegemeza pembeni ya dirisha na kufumba macho nisali kuomba mungu anisaidie kwenye safari yangu.

Wakati nasali pale nilihis mtu ameketi pembeni yangu na alinigusa bega ,lakin sikuzingatia niliendelea kusali ,Bus lilianza safar ndipo na mimi nilipomaliza kufanya maombi yangu na kumgeukia jirani yangu .

"Uwiiiiiiih nimekwisha mimi leo "nilijikuta nikisema kwa saut baada ya kumuona mwanajeshi ameketi pembeni yangu akiwa amevaa sare zake za jeshi , hapo hapo mapigo ya moyo yalibadilika na kuanza kwenda kwa kasi sana wakati huo tunatazamana na mwanajeshi uso kwa uso ... ............



ITAENDELEA .......usikose kufatilia sehemu inayofuata ...........kujua nini kitamtokea shakira akiwa na mwanajeshi kwenye gari na kwenye bag lake akiwa amebeba madawa ya kulevya ..........
 
SEHEMU YA 04 ;

Endelea ;


Pale pale kijasho kilianza kuchuruzika ,tumbo lilivuruga nilitaman kwenda msalani lakin gar lilikuwa kwenye speed na ndo kwanza safari ilikuwa imeanza .
"Dada vipi una tatizo??"aliniuliza huyo mwanajeshi alyekuwa serious wala chembe ya tabasamu usoni mwake
"Ha...ha...pana sina tatizo lolote"nilimjibu yule mwanajeshi ,kisha niligeukia dirishan kutazama nje maana nilikuwa naogopa hata kumtizama usoni .

Baada ya muda kidogo ,tulikaribia kufika mlandizi hivi nikiwa nmekaa kwa wasiwasi na tumbo lilizid kuniuma nilishindwa kuvumilia kiukwel ,nikajikuta naanza kulia badala ya kusema tatizo langu ni nini ,bhas yule mwanajeshi nsiyemfahm hata jina pamoja na sura yake ya ukauzu,alinionea huruma na kutaka kujua tatizo langu ni nini ,nilimwambia tumbo linaniuma nataka kwenda msalani ,hivyo alinisaidia kuongea na dereva asimamishe gari , dereva alisimamisha gari kwenye moja ya shell iliyopo njian pale ,nlshuka haraka haraka nikiwa nmeshika bag langu mkonon kwa nguv ,hata yule jirani yangu mwanajesh alipotaka anishikie begi nilikuw mkali sana na niligoma kabisa kuliacha ndani ya gari ,kitu kilichofanya abiria wengine wacheke na wahisi huenda ilikuwa mara yangu ya kwanza kusafir japo kwa mwonekano wangu nlionekan mtoto wa mjini kabisa


Niliingia msalani baada ya kujisaidia na kujisafisha bahati mbaya nilijisahau kama nimeweka simu yangu kwenye mfuko wa nyuma wa suruali
"Masikini simu yangu uwiiih shakira mimi nakufa leo "nilijikuta nikijisikitikia mwenyewe huku nikiiangalia simu yangu hiyo ikiangukia kwenye sink la choo,niliiwahi kuitoa kwasabau choo kilikuwa ni cha kukaa ,bhas nilirudi kwenye gari nikiwa mnyonge sana japo simu nilifanikiwa kuitoa lakini ndo ilikuwa imezima kabisa nilijaribu kuikausha maji lakin wapiii simu iligoma kabisa kuwaka ,muda wote huo yule mkaka aliniangalia tu bila kusema chochote ,nilivyoona jitihada zangu zimegonga mwamba niliamua kujilaza kwenye seat yangu nikitafakari cha kufanya kwani bila ile simu nitakuwa nmefeli kila kitu .



"Dada dada !dada!"nilishutuliwa kutoka usingizini baada ya kuamshwa na yule jirani yangu ,nilimtazama kwa uchovu sana na mawenge ya usingiz sikutaka hata kuendlea kumsikilza nliyafumba macho yangu nakuendlea kulala
"Dada umelala muda mrefu tupo singida sasa ni muda wa kula lunch uamke ukapate chakula "nilimsikia yule jiran kwa mbali sana akinambia hayo maneno ,mimi sikumzingatia tena nkafumba macho nakulala .


***********************************************

Nilishtuka tena baada ya kusikia purukushani za watu wakishuka kwenye gari,safari yetu ya mwanza ndo ilikuwa imefikia mwisho ,nilijinyoosha na kuangalia beg langu kama ninalo bado ,na nilivyolikuta lipo salama nilishukuru mungu kwa kwel ,japo majonzi yangu yalianza upya kwani mimi nilikuw mgeni pale mwanza ,pili sikuwa na ndugu wala rafiki ,tatu simu ilikuwa imezima na sikuwa na mawasiliano ya aina yoyote ile na watu wangu wa kule dar es salaam na sikupewa maelekezo yoyte kuhusu mwenyeji wangu wa huku mwanza huenda ingekuwa rahisi kwangu kutafuta msaada ,jirani yangu alikuwa ameshuka wala sikumuona alielekea wapi .

Nilishuka kwenye gari taratibu ,nikiwa sijui nielekee wapi ,na giza lilishatanda na wakati huo hakukuw na purukushan za watu wengi pale stendi zaid ya sisi tulioshuka pale kwenye gar kwani muda ulikuwa umeenda sana,na nilivyotizama saa kwenye gari ilikuwa ni saa 5 usiku ,
Kulikuw kuna bajaji na bodaboda pale wakisubir abiria wa usiku ,nilijiangalia mfukoni nilikutana ile pesa niliyopewa na mussa pale stendi ,nilihesab zle pesa ilikuw ni shillingi laki moja taslim ,hivyo niliona ni afadhali nitafute lodge iliyopo karbu pale niweze kupitisha usiku ule .
Nilimuita bodaboda mmoja pale na kumwambia anipeleke kwenye lodge yoyte ya maeneo yale isiyokuw ya bei kubwa sana .

Wakati tupo njian kwenye sehemu yenye giza kabisa nashangaa pikpik inapunguza mwendo had ikasimama kabisa na dereva kuniamuru nishuke pale
"Oyaah ukitaka ubaki salama na nikuachie uhai wako ,toa kila kitu cha thamani ulichonacho hapo"yule dereva alitoa panga kutoka kwenye koti lake na kuniwekea shingoni
"Ka..ka..kaka sina chochote hapa nilipo,usinidhuru tafadhali "
"Sina utani na wewe au nikufyeke shingo yako ?"
"Kaka sina cha kukupa kweli niamin na kwenye hili beg nimebeba nguo tu "
"Naona hunijui vizuri wewe ,unatoa hela hutoi ?"alianza kunipiga kwa ubapa wa lile panga ,na kunitishia kuniua ,kisha alinisachi na kuondoka na zile pesa zote nilizokuw nazo pamoja na ile simu iliyokuwa imezimika nikabaki nimetoa macho tu pale nikiona dunia sasa ndo imenielemea ,sina msaada tena pale wala sina pakwenda .

Nilijinyanyua pale chini kisha niliangaz angaza kama nitapata msaada wowote niliishia kwenda kujibanza kwenye kibaraza cha nyumba ya watu tu nakulala pale pale hadi asubuh .

Saa 11 alifajiri niliamshwa na kuku waliopiga kelele pale nilijinyoosha nkiwa bado nna uchovu wa safari pamoja na kupigwa na barid la pale la usiku kucha,ukichanganya na njaa ilyokuwa imenikamata kias kwamba tumbo lilipiga kelele kudai chakula

Nilijitathimin juu ya maisha yangu ,nilijipa moyo nisikate tamaa wala nsilie lie tena zaid nipambane nitafute njia ya kurud nyumban ,japo kilichoniwazisha zaid ni huu mzigo nilionao kwenye begi nitaupeleka wapi ????
Niliona ni afdhali nitoke kwenye nyumba ya watu kabla ya wahusika hawajaamka .

***********************************************

Nlianza kuzungka zunguka mtaani kujaribu kutafta kibarua cha kufanya japo nipate walau chakula tu kwani sikuwa nimekula chochote tangu juz kwa madam vene ,mwili wote ulintetemeka na kukosa nguvu .
Nilipita kwenye mgahawa mmoja pale stend nikaomba kuosha vyombo ili wanipatie chakula ,bahat nzuri mwenye kibanda alikubal na alinipatia vyombo ving sana nioshe kwa kua mwil ulikuw hauna nguvu nlshusha beg langu mgongon na kuliweka pembeni kidogo ili nifanye kaz vizuri,japokuwa nilikuwa makini kupiga macho lisije likabebwa .

Wakati naendlea kuosha vyombo pale alikuja kichaa mmoja karibu yangu huku akicheka cheka na kunirushia makopo aliyokuw ameyabeba mkononi ,nilianza kupiga nae story za kikichaa kichaa hv kwan alionekana ni kichaa anayeelew vitu
"Wewe muangalie huyo usimchekee chekee sana ,muda mwingne anapigaga watu "alinitahadharisha yule dada mwenye kibanda ,huku akimwambia kichaa aondoke kwa kumuita jina lake Oppah

"Sawa dada nimekuelewa "nilimjbu huku nikiendlea na kaz yangu ,nikimuacha huyo kichaa aendlee kunitupia makopo yake japo safari hii sikumsemesha kitu chochote .

Nilitoka kidogo kwenda kumwaga maji machafu ,kurudi naangaza pale nilipoacha beg langu sikuliona duuh nilihisi kudata pale pale
"Dada samahani beg langu liliokuwep hapo pembeni ya mlango umelisogeza ?"
"Hapana sijalisogeza mbona ,....oohooo mungu wangu lile kule Oppah amekimbia nalo jamani sjui amelichukua saa ngapi "
"Kutazama kweli yule kichaa alikuwa amebeba beg langu mkonon huku akiruka ruka kufurahia kulipata lile beg ,taratibu akaanza kulifungua atoe vitu vilivyomo ndani ya begi .....
"Oooh Mungu nisaidie asifanikiwe kufanya anachokitaka ,nilitupa sufuria chini ,kisha nikaanza kumkimbilia yule kichaa kufuata begi langu ,kichaa naye alvyoniona namkimbilia yeye naye akaanza mbio inamaana tukaanza kukimbizana sasa .............



Je shakira atafanikiwa kuliopoa beg lenye mzigo kutoka kwa kichaaa??.......


Usikose kufatilia sehemu ijayo ............
 
SEHEMU YA 04;

Endelea .....


Niliendelea kumkimbilia lakini bahat mbaya alifanikiwa kulifungua lile beg na alitoa pakt moja la unga akaanza kucheka huku ananidolishia ,sikuwa nimemfikia bado maana alinizidi mbio bahati mbaya sikuwez kumzuia kufungua lile pakti la madawa ,bhas alilifungua na kujimwagia usoni lote kwani alidhani ni unga tu wa kawaida na mwingne uliingia mdomoni kwa wingi,watu walikuwa wanamfatilia alichokuwa anakifanya pia walinifatilia mimi pia nilyekuwa namkimbiza kichaa ili wajue mwisho wake ni nini,na kwanini nimkimbize .

Masikin Oppah ,alidondoka palepale chini na kuanza kutema udenda ,ikiashiria madawa yameshamlewesha na hakuweza kujisogeza hata kidogo tu ,watu walianza kumzunguka pale wakimshangaa ametokewa na nini ,sikuweza kwenda kulichukua begi maan watu walikuwa weng mno ikaniwia ugumu kujipenyeza hadi katikat nilibaki nkishangaa shangaa kama watu wengine huku kichwan nkipanga raman ya kuingia pale kati nibebe beg kisha nisepe zangu.

Kutokana na kiasi kikubwa cha madawa aliyotumia yule kichaa bila kufaham ni madawa ,alianza kutapatapa pale chin na haikumchukua muda mrefu alifariki dunia ,wasamaria wema walipiga simu police na haikuchukua muda mrefu polisi walifika kwenye eneo la tukio .

Ujinga mmoja nilijisahau kuondoka kwenye eneo la tukio nlitaka nfanikiwe kulipata lile beg ndipo niondoke kwenye eneo lile ,bahat mbaya ilikuwa kwangu ....askari walilichukua lile begi na kuanza kulisearch na kugundua limebeba madawa ya kulevya ,walijaribu kuulizia muhusika wa lile beg ni nani ,nilvyosikia hilo swali niliamua kuondoka kwenye lile eneo,kumbe kuna shahidi alijitokeza na kusema kwamba aliniona wakati namkimbiza kichaa yule kutaka kuchukua begi langu ,kabla sijafika hata popote nilisikia nikiitwa kwa nyuma yangu japo hawakutaja jina ila nilihis kabisa anayeitwa ni mimi ...
"Wewe,wewe,kijana unaitwa halafu unaendelea kwenda unamaanisha nini?"mmoja wa wale askari wa5 waliofika kwenye eneo la tukio alinambia hivo huku akiwa ameshanikarbia nilipo na kunsimamisha kwa kunishika bega la upande wa kushoto
"Hehehehe wewe onaaa kikombe kinakukimbiza apo nyuma ,kimbiaaa "baada ya kugeuka kuona ni afande niliamua kujipa ugonjwa wa uchizi gafla maana sikuwa tayar kukabiliana na kec ilyokuwa mbele yangu kuhusu hayo madawa ,akili ya haraka ilinambia nijifanye na mimi chizi ili wasinikamate
"Wewe unasemaje ?"askari alishidwa kunielewa nilichokimaanisha ila alioneshwa kushtushwa kidogo
"Mi achema ataka nyama njaa aumaaa"nkauendleza uchizi huku nikiruka ruka juu kama chizi kweli ,kisha nilichukua mchanga nkaanza kuuchezea kwa kujimwagia kichwani na kwenye nguo
"Jamani uyu ni chizi pia ?mbona simuelewi "aliwageuka maaskar wenzake na kuwauliza huenda wao walinielewa ,bahat mbaya wote hawakuelew ni nini kinaendelea kwani ,shahidi alyesema amenisikia na ameniona nkimkimbiza marehemu Oppah kwaajil ya kulichukua lile begi kwa kudai ni la kwangu ,alikuwepo pale kwenye eneo la tukio pamoja na wale maaskari,nilimtizama vizuri niligundua alikuwa ni mmoja wa wateja wa pale kwenye kibanda cha yule dada nilipokuwa naosha vyombo asubuhi
"Jamani ndo huyu huyu nilimuona pale kibandan kwa mama nancy kama hamniamin nimuite mama nancy atoe ushahid wake pia "alisema yule shahid akionesha na msisitzo kabisa kwa kile alichokuwa anakiongea ,kwa umr alionekan ni mbaba mwenye miaka 40 hiv alyeshika dini hivyo ilikuwa rahsi kwake kunichomea akiamin kwamba anasema ukwel .mimi bhc ndo nilizid kuwa chizi nilicheka kama jini pamoja na kufanya vurugu za aina zote ,muda huo maiti ilishatolewa na kupelekwa hosptal kwaajili ya uchunguzi zaidi .

Kwa kuwa kulikuwa na mashahidi wawil walisema waliniona mwanzo nikiwa na akil zangu timamu,polisi wale waliniweka chini ya ulinzi na kunichukua kwenye gari lao hadi kituoni .

Sikukoma kuwafanyia maagizo hayo ya mimi kuwa na kichaa ,hata nilipofikishwa kituoni ,niliwekwa kama mahabusu .

Oohoo nyie jamani nilijuta kujitia chizi mimi maana ,nilikuta kuna mahabusu wa3 pale wawili walikuwa na sura za kikauzu na walionekana ni wale watu walioshindikana uko mtaani ,isipokuwa mmoja wapo alionekana mpole sana na alikuwa amejitenga peke yake ,
ikabid uchizi wangu usiwe wenye makelel maana niliogopa kudundwa na wale akina mijimama sijui mijidada,maana walinikata jicho lililoniogopesha mimi.

Nilikaa pale mpaka mchana ,sikuwa na nguvu kabisa hata za kusogea pemben maana njaa ilinishika sana sikula muda mrefu ,na sikujua wap nitapata chakula ,mmoja wa mahabusu aliletewa chakula na askari mmoja wakiume ,sikujua ni kwanini aliletewa ila niliutamani ule wali pindi alipokuwa anakula ,nilimezea mate kwa ndani ndani tu .Mungu si athuman yule dada alinionea huruma na kuniletea chakula pale nilipokuwa nimelala ,sikujivunga kwa kweli niliupiga ule msosi chap chap ,nilivyomaliza nilishushia na maji kisha nikaenda kusema asante kwa yule mdada alyekuwa amejitenga peke yake.
Alipokea vyombo vyake kimya kmya na kuendelea na pozi lake lilelile alilokuwa amekaa mwanzo kwa kushika tamaa na kuugemea ukuta

Nilirud kukaa pembeni na mimi nlijilaza kimya kimya ,nilikiangalia kile kichumba chenye dirisha moja ,lilipitisha mwanga hafifu kabisa ,ambao haukutosha kuitwa mwanga pale ,chumba kilichokuw kinanuka vibaya harufu za mikojo zilitawala pale ,vipande vya maboks vilikuwepo pale ndivyo wengine walivilalia kama mbadala wa godoro japo haukukidhi hiyo sifa kbsa ya kuw mbadala .

Niliwaza mengi sana ,na kujikuta nikianza kulia kwa kwikwi ,kwan hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia police .

***********************************************
Sikujua nilipitiwa na usingiz saa ngapi pale ,ila nilishtushwa na mlango wa pale mahabus ulifunguliwa ,kisha alitoka yule mdada aliyekuw mnyonge sana na aliyekuwa amejitenga peke yake .

Sikujua ni saa ngapi wakati ule ,maana kulionekanani giza tu muda wote na ilikuw ngumu kukisia muda ,wale mahabusu wawili walikuwa wamekaaa wakipiga stor za hapa na pale ,ndipo nilposikia wakiitana kwa majina ,mmoja aliitwa stellah na mwngine eliza .
Mbu walikuwepo wa kutosha ,kila kero ilikuwepo pale ,sikukumbuka hata kuendeleza ukichaaa pale.

*****†*****************************************
Yule dada alyeondoka usiku alirejea tena mahabusu ,nikahisi itakuwa ni asbh sahv kwan kamwanga kalionekan kidogoo kwenye kile kidirisha .bad nashngaa shangaa pale nilisikia lile lango la mahabusu likifunguliwa ,aliingia askari wakike na kuniamuru nimfate ,tulitoka kuelekea moja kwa moja kwenye chumba kingine ,kule niliingia nkiwa siongei chochote kile nmeinamisha kichwa chini,niliwakuta wale askar walionikamata jana ,sikuwafahamu kwa majina lakin kwa sura niliwakumbuka,yule dada alitoka na kuniacha pale...
"Enhe afande sele ,uyu jana si ndo alijidai chizi uyu "mmoja wapo alimuuliza mwenzake kwa kumtaja jina hivyo nikaw nmemjua jina mmoja wapo
"Ndo huyu huyu ,mjinga sana huyu dada ,anatakiwa apate adhabu kal sana kwanza kwa kuidanganya serikal ,pili kwa kufanya mauaji ,tatu kosa la uuzaji wa madawa ya kulevya"
Kusikia mashtaka yangu yale nilihisi kufa kufa pale pale ,akili iliniganda nisijue cha kufanya lakini nilijitia ujasiri sikuonesha mshtuko wowote nilibaki nmeinama chini vilevile bila kuwatizama .yule afande sele alikuja pale niliposimama aliniangalia kwa makini huku akinizunguka kiasi kwamba nilijihisi kupata kizunguzungu pale ,niliwaza huenda anataka kunipiga au kuniona kama mimi ni chizi kwel au la .
Yule Afande wakike aliyenileta pale alirejea akiwa na kiti ,pamoja na maaskari wengine wawil wakike ,waliokuwa na mwili mkakamavu ,sura zao zilionesha hazina utani wanapokuwa kazini,waliniamuru kukaa kwenye kile kiti ,kisha wale maaskari wanaume walitoka na kuniacha na wale wanawake kwenye kile chumba .

"Binti naitwa afande Mwamvita ,nimekabidhiwa kesi yako hii ,nitakuhoji maswali naomba unipe ushirikiano wako "
"Jina lako unaitwa nani?"aliendelea kuuliza huyo mwamvita ,wenzake wakiwa wamesimama pembeni wakitizama kinachoendelea,nilipiga akil ya harakaharaka pale nikasema liwalo na liwe ngoja niendelee kuwa chizi tu hvhv ,chizi anayejitambua chizi asiyeokota makopo barabaran

"Mi aitwa shakila,aogopa ongea na nyinyi "nilimjibu hivo halafu nikiwa nmetulia vilevile ,sikumtizama usoni kabisa na nilitia huruma haswaaa
"Wewe hebu tutolee uchizi wako hapa ,unazidi kutudanganya sio???hebu ongea vizuri lasivyo nitakubadilikia sasahivi "yule afande alinambia kwa ukali ,wale wawili walianza kucheka kwa jinsi nilivyoongea
"Achekaaa mimi ,yule acheka mimi "nilizidi kuwatengenezea drama pale
"We kelele hizo hatuzitaki ,tunataka ujibu ulichoulizwa tu ,hili begi linasemekana ni la kwako ,je umelitolea wapi???na vitu vilivyomo humu ndani umevipata wapi??
"Hihihih hahaha omba begi aeke maua mimi ,ataka kuweka ntoto angu kwenye begi "nilijichekesha sasa kichaa kikaendelea kupanda baada ya kuoneshwa begi lile likiwa na madawa ya kulevya ,.
"Nilivyojibu tu hivyo nilipigwa kofi la hatari ,nilijikuta naanguka kutoka kwenye kiti nilichokuwa nimekalia ,akili ilisizi kwa kweli na kuhisi sikio langu la upande wa kushoto limezibaa

"Napokuwa kazini huwa sipendi ujinga kama huu ,usiniletee drama zako hapa ,sasa nakuuliiza tena hili begi umelitolea wapi???"
"Begi angu ataka weka maua na ntoto angu "nilijibu huku nalia sasa kwa yale maumivu ya kibao na sikutaka kupoteza lengo la kuwa chizi kabisa.
Wale maafande waliokuwa wamesimama ,walinifata pale ,kisha mmoja alinishika upande wa kulia na mwngine upande wa kushoto walinishika utadhani yesu anataka kusulubiwa ,kisha yule afande mwamvita alianza kunichapa makofi ya kutosha ,huku akitaka nimjibu alichouliza na mimi sikumpa ushirikiano wowote kwanza niliendelea kuongea vitu visivyoeleweka ,na ndo kitu kilichompa hasira zaid na kuzidi kunipiga .

Nilikuwa nmelegea kwa kile kipigo ,midomo yangu ilipasuliwa na mkono mgumu wa afande yule ,ilipelekea damu kutoka ,niligugumia kwa maumivu makali tu pale ,na maaskari wale walinionesha ndo kwanza kazi inaanza .

Walinimwagia maji pale nilipokuwa nimelala chini
kwenye sakafu, kisha walinibeba na kuniweka kwenye kiti na kunifunga kamba ,waliunganisha waya wa umeme na kuanza kunipiga shoti .
Nilipiga kelele sana kwa maumivu yale nilyoyapata huku nikiwaomba waache kufanya lile zoezi ,walisimamisha zoezi kwa muda

"Je upo tayari kushirikiana na sisi ,kwa kutuambia ukwel ?aliniuliza mmoja wa wale maafande
Nilibaki nimeduwaa ,nisijue niendlee kuvumlia maumivu au nikubali kusema ukwel kwamba begi ni langu na muhusika wa yale madawa ni mimi ,na mimi ndio sababu ya kichaa yule kupoteza maisha .........kifupi nilikuwa dilema sikujua nitoe maamuzi gani kwa wakati ule


ITAENDELEA ....


JE shakira atafanikiwa kuendelea kudanganya kuhusu hayo matatizo ya akili ,au atakubali kusema ukweli??.........usikose kufatilia sehemu inayofuata kujua kitakachoendelea .......
 
SEHEMU YA 04;

Endelea .....


Niliendelea kumkimbilia lakini bahat mbaya alifanikiwa kulifungua lile beg na alitoa pakt moja la unga akaanza kucheka huku ananidolishia ,sikuwa nimemfikia bado maana alinizidi mbio bahati mbaya sikuwez kumzuia kufungua lile pakti la madawa ,bhas alilifungua na kujimwagia usoni lote kwani alidhani ni unga tu wa kawaida na mwingne uliingia mdomoni kwa wingi,watu walikuwa wanamfatilia alichokuwa anakifanya pia walinifatilia mimi pia nilyekuwa namkimbiza kichaa ili wajue mwisho wake ni nini,na kwanini nimkimbize .

Masikin Oppah ,alidondoka palepale chini na kuanza kutema udenda ,ikiashiria madawa yameshamlewesha na hakuweza kujisogeza hata kidogo tu ,watu walianza kumzunguka pale wakimshangaa ametokewa na nini ,sikuweza kwenda kulichukua begi maan watu walikuwa weng mno ikaniwia ugumu kujipenyeza hadi katikat nilibaki nkishangaa shangaa kama watu wengine huku kichwan nkipanga raman ya kuingia pale kati nibebe beg kisha nisepe zangu.

Kutokana na kiasi kikubwa cha madawa aliyotumia yule kichaa bila kufaham ni madawa ,alianza kutapatapa pale chin na haikumchukua muda mrefu alifariki dunia ,wasamaria wema walipiga simu police na haikuchukua muda mrefu polisi walifika kwenye eneo la tukio .

Ujinga mmoja nilijisahau kuondoka kwenye eneo la tukio nlitaka nfanikiwe kulipata lile beg ndipo niondoke kwenye eneo lile ,bahat mbaya ilikuwa kwangu ....askari walilichukua lile begi na kuanza kulisearch na kugundua limebeba madawa ya kulevya ,walijaribu kuulizia muhusika wa lile beg ni nani ,nilvyosikia hilo swali niliamua kuondoka kwenye lile eneo,kumbe kuna shahidi alijitokeza na kusema kwamba aliniona wakati namkimbiza kichaa yule kutaka kuchukua begi langu ,kabla sijafika hata popote nilisikia nikiitwa kwa nyuma yangu japo hawakutaja jina ila nilihis kabisa anayeitwa ni mimi ...
"Wewe,wewe,kijana unaitwa halafu unaendelea kwenda unamaanisha nini?"mmoja wa wale askari wa5 waliofika kwenye eneo la tukio alinambia hivo huku akiwa ameshanikarbia nilipo na kunsimamisha kwa kunishika bega la upande wa kushoto
"Hehehehe wewe onaaa kikombe kinakukimbiza apo nyuma ,kimbiaaa "baada ya kugeuka kuona ni afande niliamua kujipa ugonjwa wa uchizi gafla maana sikuwa tayar kukabiliana na kec ilyokuwa mbele yangu kuhusu hayo madawa ,akili ya haraka ilinambia nijifanye na mimi chizi ili wasinikamate
"Wewe unasemaje ?"askari alishidwa kunielewa nilichokimaanisha ila alioneshwa kushtushwa kidogo
"Mi achema ataka nyama njaa aumaaa"nkauendleza uchizi huku nikiruka ruka juu kama chizi kweli ,kisha nilichukua mchanga nkaanza kuuchezea kwa kujimwagia kichwani na kwenye nguo
"Jamani uyu ni chizi pia ?mbona simuelewi "aliwageuka maaskar wenzake na kuwauliza huenda wao walinielewa ,bahat mbaya wote hawakuelew ni nini kinaendelea kwani ,shahidi alyesema amenisikia na ameniona nkimkimbiza marehemu Oppah kwaajil ya kulichukua lile begi kwa kudai ni la kwangu ,alikuwepo pale kwenye eneo la tukio pamoja na wale maaskari,nilimtizama vizuri niligundua alikuwa ni mmoja wa wateja wa pale kwenye kibanda cha yule dada nilipokuwa naosha vyombo asubuhi
"Jamani ndo huyu huyu nilimuona pale kibandan kwa mama nancy kama hamniamin nimuite mama nancy atoe ushahid wake pia "alisema yule shahid akionesha na msisitzo kabisa kwa kile alichokuwa anakiongea ,kwa umr alionekan ni mbaba mwenye miaka 40 hiv alyeshika dini hivyo ilikuwa rahsi kwake kunichomea akiamin kwamba anasema ukwel .mimi bhc ndo nilizid kuwa chizi nilicheka kama jini pamoja na kufanya vurugu za aina zote ,muda huo maiti ilishatolewa na kupelekwa hosptal kwaajili ya uchunguzi zaidi .

Kwa kuwa kulikuwa na mashahidi wawil walisema waliniona mwanzo nikiwa na akil zangu timamu,polisi wale waliniweka chini ya ulinzi na kunichukua kwenye gari lao hadi kituoni .

Sikukoma kuwafanyia maagizo hayo ya mimi kuwa na kichaa ,hata nilipofikishwa kituoni ,niliwekwa kama mahabusu .

Oohoo nyie jamani nilijuta kujitia chizi mimi maana ,nilikuta kuna mahabusu wa3 pale wawili walikuwa na sura za kikauzu na walionekana ni wale watu walioshindikana uko mtaani ,isipokuwa mmoja wapo alionekana mpole sana na alikuwa amejitenga peke yake ,
ikabid uchizi wangu usiwe wenye makelel maana niliogopa kudundwa na wale akina mijimama sijui mijidada,maana walinikata jicho lililoniogopesha mimi.

Nilikaa pale mpaka mchana ,sikuwa na nguvu kabisa hata za kusogea pemben maana njaa ilinishika sana sikula muda mrefu ,na sikujua wap nitapata chakula ,mmoja wa mahabusu aliletewa chakula na askari mmoja wakiume ,sikujua ni kwanini aliletewa ila niliutamani ule wali pindi alipokuwa anakula ,nilimezea mate kwa ndani ndani tu .Mungu si athuman yule dada alinionea huruma na kuniletea chakula pale nilipokuwa nimelala ,sikujivunga kwa kweli niliupiga ule msosi chap chap ,nilivyomaliza nilishushia na maji kisha nikaenda kusema asante kwa yule mdada alyekuwa amejitenga peke yake.
Alipokea vyombo vyake kimya kmya na kuendelea na pozi lake lilelile alilokuwa amekaa mwanzo kwa kushika tamaa na kuugemea ukuta

Nilirud kukaa pembeni na mimi nlijilaza kimya kimya ,nilikiangalia kile kichumba chenye dirisha moja ,lilipitisha mwanga hafifu kabisa ,ambao haukutosha kuitwa mwanga pale ,chumba kilichokuw kinanuka vibaya harufu za mikojo zilitawala pale ,vipande vya maboks vilikuwepo pale ndivyo wengine walivilalia kama mbadala wa godoro japo haukukidhi hiyo sifa kbsa ya kuw mbadala .

Niliwaza mengi sana ,na kujikuta nikianza kulia kwa kwikwi ,kwan hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia police .

***********************************************
Sikujua nilipitiwa na usingiz saa ngapi pale ,ila nilishtushwa na mlango wa pale mahabus ulifunguliwa ,kisha alitoka yule mdada aliyekuw mnyonge sana na aliyekuwa amejitenga peke yake .

Sikujua ni saa ngapi wakati ule ,maana kulionekanani giza tu muda wote na ilikuw ngumu kukisia muda ,wale mahabusu wawili walikuwa wamekaaa wakipiga stor za hapa na pale ,ndipo nilposikia wakiitana kwa majina ,mmoja aliitwa stellah na mwngine eliza .
Mbu walikuwepo wa kutosha ,kila kero ilikuwepo pale ,sikukumbuka hata kuendeleza ukichaaa pale.

*****†*****************************************
Yule dada alyeondoka usiku alirejea tena mahabusu ,nikahisi itakuwa ni asbh sahv kwan kamwanga kalionekan kidogoo kwenye kile kidirisha .bad nashngaa shangaa pale nilisikia lile lango la mahabusu likifunguliwa ,aliingia askari wakike na kuniamuru nimfate ,tulitoka kuelekea moja kwa moja kwenye chumba kingine ,kule niliingia nkiwa siongei chochote kile nmeinamisha kichwa chini,niliwakuta wale askar walionikamata jana ,sikuwafahamu kwa majina lakin kwa sura niliwakumbuka,yule dada alitoka na kuniacha pale...
"Enhe afande sele ,uyu jana si ndo alijidai chizi uyu "mmoja wapo alimuuliza mwenzake kwa kumtaja jina hivyo nikaw nmemjua jina mmoja wapo
"Ndo huyu huyu ,mjinga sana huyu dada ,anatakiwa apate adhabu kal sana kwanza kwa kuidanganya serikal ,pili kwa kufanya mauaji ,tatu kosa la uuzaji wa madawa ya kulevya"
Kusikia mashtaka yangu yale nilihisi kufa kufa pale pale ,akili iliniganda nisijue cha kufanya lakini nilijitia ujasiri sikuonesha mshtuko wowote nilibaki nmeinama chini vilevile bila kuwatizama .yule afande sele alikuja pale niliposimama aliniangalia kwa makini huku akinizunguka kiasi kwamba nilijihisi kupata kizunguzungu pale ,niliwaza huenda anataka kunipiga au kuniona kama mimi ni chizi kwel au la .
Yule Afande wakike aliyenileta pale alirejea akiwa na kiti ,pamoja na maaskari wengine wawil wakike ,waliokuwa na mwili mkakamavu ,sura zao zilionesha hazina utani wanapokuwa kazini,waliniamuru kukaa kwenye kile kiti ,kisha wale maaskari wanaume walitoka na kuniacha na wale wanawake kwenye kile chumba .

"Binti naitwa afande Mwamvita ,nimekabidhiwa kesi yako hii ,nitakuhoji maswali naomba unipe ushirikiano wako "
"Jina lako unaitwa nani?"aliendelea kuuliza huyo mwamvita ,wenzake wakiwa wamesimama pembeni wakitizama kinachoendelea,nilipiga akil ya harakaharaka pale nikasema liwalo na liwe ngoja niendelee kuwa chizi tu hvhv ,chizi anayejitambua chizi asiyeokota makopo barabaran

"Mi aitwa shakila,aogopa ongea na nyinyi "nilimjibu hivo halafu nikiwa nmetulia vilevile ,sikumtizama usoni kabisa na nilitia huruma haswaaa
"Wewe hebu tutolee uchizi wako hapa ,unazidi kutudanganya sio???hebu ongea vizuri lasivyo nitakubadilikia sasahivi "yule afande alinambia kwa ukali ,wale wawili walianza kucheka kwa jinsi nilivyoongea
"Achekaaa mimi ,yule acheka mimi "nilizidi kuwatengenezea drama pale
"We kelele hizo hatuzitaki ,tunataka ujibu ulichoulizwa tu ,hili begi linasemekana ni la kwako ,je umelitolea wapi???na vitu vilivyomo humu ndani umevipata wapi??
"Hihihih hahaha omba begi aeke maua mimi ,ataka kuweka ntoto angu kwenye begi "nilijichekesha sasa kichaa kikaendelea kupanda baada ya kuoneshwa begi lile likiwa na madawa ya kulevya ,.
"Nilivyojibu tu hivyo nilipigwa kofi la hatari ,nilijikuta naanguka kutoka kwenye kiti nilichokuwa nimekalia ,akili ilisizi kwa kweli na kuhisi sikio langu la upande wa kushoto limezibaa

"Napokuwa kazini huwa sipendi ujinga kama huu ,usiniletee drama zako hapa ,sasa nakuuliiza tena hili begi umelitolea wapi???"
"Begi angu ataka weka maua na ntoto angu "nilijibu huku nalia sasa kwa yale maumivu ya kibao na sikutaka kupoteza lengo la kuwa chizi kabisa.
Wale maafande waliokuwa wamesimama ,walinifata pale ,kisha mmoja alinishika upande wa kulia na mwngine upande wa kushoto walinishika utadhani yesu anataka kusulubiwa ,kisha yule afande mwamvita alianza kunichapa makofi ya kutosha ,huku akitaka nimjibu alichouliza na mimi sikumpa ushirikiano wowote kwanza niliendelea kuongea vitu visivyoeleweka ,na ndo kitu kilichompa hasira zaid na kuzidi kunipiga .

Nilikuwa nmelegea kwa kile kipigo ,midomo yangu ilipasuliwa na mkono mgumu wa afande yule ,ilipelekea damu kutoka ,niligugumia kwa maumivu makali tu pale ,na maaskari wale walinionesha ndo kwanza kazi inaanza .

Walinimwagia maji pale nilipokuwa nimelala chini
kwenye sakafu, kisha walinibeba na kuniweka kwenye kiti na kunifunga kamba ,waliunganisha waya wa umeme na kuanza kunipiga shoti .
Nilipiga kelele sana kwa maumivu yale nilyoyapata huku nikiwaomba waache kufanya lile zoezi ,walisimamisha zoezi kwa muda

"Je upo tayari kushirikiana na sisi ,kwa kutuambia ukwel ?aliniuliza mmoja wa wale maafande
Nilibaki nimeduwaa ,nisijue niendlee kuvumlia maumivu au nikubali kusema ukwel kwamba begi ni langu na muhusika wa yale madawa ni mimi ,na mimi ndio sababu ya kichaa yule kupoteza maisha .........kifupi nilikuwa dilema sikujua nitoe maamuzi gani kwa wakati ule


ITAENDELEA ....


JE shakira atafanikiwa kuendelea kudanganya kuhusu hayo matatizo ya akili ,au atakubali kusema ukweli??.........usikose kufatilia sehemu inayofuata kujua kitakachoendelea .......
Mbona kimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom