Crush cruise
Member
- Feb 7, 2022
- 16
- 12
MTUNZI R.S.S
Dondoo;
Wengi walinifahamu kwa jina la shaky (23)au tom boe licha ya mama angu kunipa jina la shakira lakin mtaan hawakupendelea kuniita shakira kwajinsi nilivyokuwa najiweka I mean nilipendlea sana kuvaa kiume licha ya sura nzuri nilyokuwa nayo ,.Chozi langu limeanza kutoka pale mama yangu alipofariki na kuniacha nikipitia mateso mengi sana.
****************************
SEHEMU YA 01;
Niliamshwa na kelele za kuku waliokuwa wakiwika ndani ya mabanda yao ,waliashiria kumekucha na tulitakiwa kuamka kuanza shughuli za siku japo kwa wengine muda wa kuamka ulikuwa haujawadia bado ,
Mama yetu wa kambo alituwekea utaratibu mimi pamoja na mdgo wang Jabir , wa kuamka saa 11 alfajir na kuanza kufanya shughuli zote za pale nyumban licha ya kuwepo na dada yetu mkubwa zena( 27), lakin yeye hakutakiwa kabisa kufanya kaz yoyote pale nyumbani.
Jabir alikuwa kidato cha pili katika shule moja ya kata ,na mimi nilifanikiwa kumaliza kidato cha 4 lakin sikubahatika kuendlea na kidato cha 5 kutokana na changamoto ya ada na mahitaji ya shule baada ya mama (kambo)kukataa kunilipia .Baba alikuwa ni mgonjwa aliparalyse upande mmoja baada ya kuanguka choon miaka miwili iliyopita kipindi hicho nipo form 2 na mdog wangu Jabiri darasa la 6 kwhy alikuwa ni mtu wa kulala tu na kusubir kuhudumiwa kwa kila kitu.
'Tuliamka na mdogo wangu Jabiri ,mim nielekea kuwafungulia kuku kisha kusafisha banda la kuku ,Jabir alifagia uwanja baada ya kumaliza nilimruhusu ajiandae kwaajil ya kwenda shule kwani kazi zingne nilikuwa nazimudu kufanya mwenyew bila msaidizi".
Baada ya kumaliza kufanya shughuli zote za pale nyumbani nlichukua uji kwenye bakuli niliomuandalia baba kisha nikaelekea mpaka chumba anacholala, in short tangu augue mama alikataa kulala nae chumba kimoja kwa madai usiku halal baba anamsumbua na yeye asingeweza kumhudumia anachoka sana, hivyo basi jukumu la kumduhumia baba lilibak mikonon mwetu mim pamoja na Jabir, mara nying Jabir alishughulika kumsafisha baba na usiku alilala nae, mim nlihakikisha anakula vizur na kunywa dawa zake kwa wakat kwahy afya yake haikuw mbaya kiukweli.
"Wanangu mnisamehe mimi baba yenu nmeshindwa kuwatoa kwenye mateso mnayoyapitia sahiv "aliongea baba huku akitamka maneno yale kwa shida na mkono wake wa kulia ukiwa umeushika mkono wang wakushot kwa nguvu sana huku machozi yakimtoka
"Baba nimekuletea uji ,kunywa baba yangu ukimaliza nataka nikusomee gazeti lako pendwa "nilijaribu kubadilisha mada kwasabb sikupenda kuona baba ang anakuwa na huzuni na katika ile hali aliyokuwa nayo nilihis akipata stress zaidi nitampoteza hivyo nilijitahd sana kuwa na furaha mbele yake, nilifanikiwa kumnywesha uji huku nikipiga nae story za hapa na pale na alionekana kufurahia yale maongezi.
"We shakira hivi unaakil kweli umekaa apo unacheka cheka tu hujui kama unatakiwa ukafungue duka uko na chai mezan hujatutengea unategemea nini? "Furaha yetu na mazungumzo yetu yalikatishwa baada ya mama kuingia pale chumbani na kuanza kunifokea, sikumjibu kitu chochote nlinyanyuka kinyonge sana na kuelekea jikon ,kiukweli nilishachoka yale maisha ya manyanyaso lakin sikuwa na sehemu nyingine ya kwenda isitoshe nisingweza kwenda mbali na kumuacha baba angu akiteseka kwenye mikono ya huyu mama shetani kabisa asiyejua thamani ya utu, aliyeolewa na baba angu kwaajili ya pesa tu na si kingine ,niliijinamia pale na kuanza kulia bila kutoa sauti, zilisikika kwiki tu,nilitamani mama yang mzazi angekuwepo hai leo hii .... ,nliwaandalia chai mezani kisha nkaondoka kuelekea katika duka letu la bidhaa za jumla (mchele ,mafuta ya kupikia, unga, sabun n.k)lililopo mjini maeneo ya stendi ya zamani ,nikiwa nmevaa surual ya J iliyopauka tu ,tishirt kubwa na kofia juu huku ni kidunda kama mwanaume .
Ilikuwa mida ya saa 2 asubuhi pilikapilika zilianza ,wateja walikuwa wengi hivyo nilikuwa busy sana japo saa 6 nltakiwa kurud nyumbani kupika chakula cha mchana.
"Mambo mrembo wang "nilisikia sauti ikinisalmia kutoka nyuma yangu pindi nipo busy kupanga vitu vya dukani ,niligeuka haraka kutaka kumjua alyeniita mrembo maana haikuw kawaida mimi kuitwa mrembo kwasabab mara nying nilivaa nguo za mdogo wangu Jabir zilizopauka ,sikupata wasaaa wa kupendeza wala wa kujiweka vizur nionekane kama msichana ,kutokana na kifua changu kidogo nikivaa matshrt makubwa haikuwa rahisi mtu kutambua kama mimi ni mtot wa kike ,lbda sauti yangu ndio ilikuwa tofaut na mwonekano wangu
"Aaah kumbe Ray aah halafu nilishakwambia usiniite mrembo bhna hilo jina silipendi "
"Jamani kwenye macho yangu we ni mrembo sana ,uliyefanikiwa kuziteka hisia zangu na kuyateka mawazo yangu ,kwahiy niache tu nikuite mrembo ndo jina unalostahili kuitwa na mimi"alinijibu Ray huku akitabasam na kuniangalia kwa macho ya kutia hurum na yenye kumaanisha kile anachokisema
"Bhana wewe acha mambo yako ,sema kile kilichokuleta nkupe uondoke maswala ya warembo kawaambie akina sakina uko sio kwa mimi shakira "nilimjibu kwa hasira kwani sikupenda kabisa maswala hayo
"Shakira IPO siku utanielewa nachokwambia sahivi ,me nilikuja kukuona tu na kukupa hii hela ukanywe chai " alitoa noti ya shillingi elfu 10 alinipa kisha akaondoka zake kuelekea offisin kwake iliyopo karibu na dukan kwetu .
Siku hiyo mvua kubwa ilinyesha hvyo sikuweza kwenda kupika chakula cha mchana nyumban ,nilikaa dukani had saa 3 usiku ndipo nilipofunga duka na kuanza kutembea taratbu kuelkea nyumban mfukon nikiwa natembea na shillingi milion 3 za mauzo ya siku hiyo nlyotakiw kumkabidth mama zena nkifika nyumban ,duka letu lilikuwa kubwa sana hivyo mauzo kama hayo ilikuw kawaid kuyapata na somtmz mpaka mil 5 kwa siku ilikuw inapatikana ,kiujumla hilo duka ndo tulikuwa tunalitegemea kwa kila kitu na ndilo linalompa kiburi mama yetu wa kambo (mama zena) kwani nilijitahid kulisimamia vizuri lisiweze kufilisika kwa kipindi chote ambacho baba alianza kuumwa mpka sasa,ili tusiweze kukosa chochote kitu cha kutuweka mjini.
Nilifika nyumban nikiwa nmechoka sana ,nlikuta Jabir amekaa getini akinisubiria
"Dada shaky nilivyorudi kutoka shule nimekuta baba amejisaidia lakini hakuna yoyote alyeenda kumsafisha wala hawakumpa chakula kwahiy leo baba ameshinda njaa mpka nlvyotoka shule nikapika jion ndo amekula amelala sahivi"J alianza kulalamika hata bila salam huku uso wake ukionekana umevimba kwa kulia
"Dah J haya maisha tutayaishi mpaka lin mdogo wangu kwanini usiniruhusu nimuue tu uyu mama ijulikane moja kuliko kuendlea kututesa hivi kwenye mali za baba yetu mwenyew aliyezitafuta kwa jasho lake mwenyewe "niliongea kwa hasira nikiwa nmekunja ngumi huku machozi yakinidondoka mashavuni,nilijiamini nina nguvu kwasabbu kipindi npo shule crew yang yote walikuwa ni watoto wakiume na tabia tabia zao nying niliziiaga na hata mara nyingi nilipigana na watt wakiume na niliwaumiza hivyo nlkuwa najiona mimi ndo mimi na watu wengi wanilinijua jinsi gani nilivyokuwa mkorofi
"Dada usije kufanya maamumiz kama hayo utajiweka matatizoni ,we subiri tukijua mama zena alipoificha hati ya nyumba ndipo tuanze kufatilia mali zetu,kingine ukileta fujo apa baba tutampeleka wapi na hiyo hali aliyokuwa nayo??
"Ngoja ngoja yaumiza matumbo dogo ipo siku ntafanya maamuz yangu mwenyew ,Ok we umeshakula ?na vipi unaendeleaje na masomo yako una tatizo lolote huko shule?
"Ndio nimekula dada lakini chakula zena kasema tusikubakishie kwasababu we leo hujapika ,pia shule sina tatizo lolote kila kitu kipo sawa "
"Sawa dogo mimi naenda kumkabidhi uyu mchawi pesa zake halafu nikapumzike kama chakula wameninyima usijali nitakula kesho tu me mwenyewe kamanda "japo njaa ilikuwa inaniuma lakin sikuonesha udhaif wowote mbele ya mdogo wangu ilimradi asisononeke moyon kuhusu mimi nlipenda na yeye awe na furaha ili afanye vizur kwenye masomo yake .
"Mmmmh mmmh mbona pesa niliwezeka hapa zimeenda wapi "nilijisemea kwa saut ya chini huku nikiendlea kujisachi kwenye mifuko yangu ya suruali nilipokuwa nmeziweka zile pesa ,nilijisachi zaid ya mara 20 lakini sikuona pesa zimeangukia wapi nilijaribu kufatilia barabarni nilipopita pindi narudi nyumban lakin sikufanikiwa kuziona ,ndipo nlipoamua kumshirikisha mdogo wang anisaidie kutafuta ,tulitafuta sana lakini hatukufanikiwa kuziona.
Mama zena alishitukia issue alianza kunitukana yeye pamoja na mwanae zena (ambaye hatujashare nae baba )wakinituhumu mimi zile pesa nmezificha makusudi ili nkazitumie mwenyewe
"We mbwa hizo pesa uzitafte lasivyo utaenda kulala polisi na nitakufungulia mashtaka umeniibia "alinambia mama zena huku sura yake akiwa ameikunja kuonesha hana mzaha kwa kile alchokuwa akikisema
"Mama pesa nilziweka mfukoni sijui zmedondokea wapi tafadhali mama naomba unisamehe usiniitie polisi nakuahid nitazitafuta zitapatikana "nililia huku nikimpigia magoti kumuomba anisamehe kwan hapo sikuwa na ujanja wowote zaid ya kumnyenyekea tu
"Mama usimsamehe huyu atoke sahivi akazitafute hizo pesa alipozificha lasivyo aende polisi na asiruhusiwe kukanyaga apa hadi alete pesa "aliongea Zena huku akionekana kufurahia kile alichokuwa akikiongea ,nilimwangalia kwa hasira sana na ule ubonge ubonge wake nilitamani kwenda kumdunda palepale au nimchane chane na visu nimuharibu ile sura yake mbovu kama ya mama yake iliyokuwa imeungua kwa cream za bei rahisi licha ya kuhangaika kuipaka vipodozi kila siku lakini haikuwa na shukrani .
"Nadhani umesikia alichosema dada ako ,unyanyuke apo ukatafute pesa ulete hapa sasahivi lasivyo utanitambua mimi ni nan "
"Mama tumeshatafuta sana lakini hakuna tulichokipata naombeni mumuache da shaky alale kesho asbh na mapema ataamka kwenda kutafta "J alijaribu kuntetea lakin hakuna alyemsikiliza alionekana akipiga kelele tu pale .
Nilinyanyuka pale na kufungua geti na kuelekea nje licha ya kutokujua naelekea wapi usiku ule kwani ilishatimu saa 6 na dakika zake pia nilikuwa natetemeka kwa baridi na mvua ilianza kunyesha tena ukizingatia sikula chochote tangu asubuhi kutokana na ubusy wa kazi za pale dukani .Nilipata wazo la kwenda maskani kwa mshikaji wang alyejiita Bizzo tulisoma nae O-level alikuwa na gheto lake mtaa wa3 baada ya mtaani kwetu ,japokuwa gheto lake lilikuwa lina wahuni kibao lakini niliona huko ndo ntakapopata msaada wa kujihifadhi kwa usiku ule kwasababu marafiki zangu wengi walikuwa ni hao wahuni wahuni wakitaa tu na sikupendelea kampani ya watoto wakike kabisa ndiomaana mara nyingi nilikuwa navaa nguo za kiume ili nifanane na kampani yangu .
...................................
Hekaheka ndo zinapoanzia hapa kumpata shakira yapo mengi yatakayomkuta na kumtoa machozi kila siku ...tafadhali endelea kufatilia kisa hiki kujua nini kitakachoendelea ...................
Dondoo;
Wengi walinifahamu kwa jina la shaky (23)au tom boe licha ya mama angu kunipa jina la shakira lakin mtaan hawakupendelea kuniita shakira kwajinsi nilivyokuwa najiweka I mean nilipendlea sana kuvaa kiume licha ya sura nzuri nilyokuwa nayo ,.Chozi langu limeanza kutoka pale mama yangu alipofariki na kuniacha nikipitia mateso mengi sana.
****************************
SEHEMU YA 01;
Niliamshwa na kelele za kuku waliokuwa wakiwika ndani ya mabanda yao ,waliashiria kumekucha na tulitakiwa kuamka kuanza shughuli za siku japo kwa wengine muda wa kuamka ulikuwa haujawadia bado ,
Mama yetu wa kambo alituwekea utaratibu mimi pamoja na mdgo wang Jabir , wa kuamka saa 11 alfajir na kuanza kufanya shughuli zote za pale nyumban licha ya kuwepo na dada yetu mkubwa zena( 27), lakin yeye hakutakiwa kabisa kufanya kaz yoyote pale nyumbani.
Jabir alikuwa kidato cha pili katika shule moja ya kata ,na mimi nilifanikiwa kumaliza kidato cha 4 lakin sikubahatika kuendlea na kidato cha 5 kutokana na changamoto ya ada na mahitaji ya shule baada ya mama (kambo)kukataa kunilipia .Baba alikuwa ni mgonjwa aliparalyse upande mmoja baada ya kuanguka choon miaka miwili iliyopita kipindi hicho nipo form 2 na mdog wangu Jabiri darasa la 6 kwhy alikuwa ni mtu wa kulala tu na kusubir kuhudumiwa kwa kila kitu.
'Tuliamka na mdogo wangu Jabiri ,mim nielekea kuwafungulia kuku kisha kusafisha banda la kuku ,Jabir alifagia uwanja baada ya kumaliza nilimruhusu ajiandae kwaajil ya kwenda shule kwani kazi zingne nilikuwa nazimudu kufanya mwenyew bila msaidizi".
Baada ya kumaliza kufanya shughuli zote za pale nyumbani nlichukua uji kwenye bakuli niliomuandalia baba kisha nikaelekea mpaka chumba anacholala, in short tangu augue mama alikataa kulala nae chumba kimoja kwa madai usiku halal baba anamsumbua na yeye asingeweza kumhudumia anachoka sana, hivyo basi jukumu la kumduhumia baba lilibak mikonon mwetu mim pamoja na Jabir, mara nying Jabir alishughulika kumsafisha baba na usiku alilala nae, mim nlihakikisha anakula vizur na kunywa dawa zake kwa wakat kwahy afya yake haikuw mbaya kiukweli.
"Wanangu mnisamehe mimi baba yenu nmeshindwa kuwatoa kwenye mateso mnayoyapitia sahiv "aliongea baba huku akitamka maneno yale kwa shida na mkono wake wa kulia ukiwa umeushika mkono wang wakushot kwa nguvu sana huku machozi yakimtoka
"Baba nimekuletea uji ,kunywa baba yangu ukimaliza nataka nikusomee gazeti lako pendwa "nilijaribu kubadilisha mada kwasabb sikupenda kuona baba ang anakuwa na huzuni na katika ile hali aliyokuwa nayo nilihis akipata stress zaidi nitampoteza hivyo nilijitahd sana kuwa na furaha mbele yake, nilifanikiwa kumnywesha uji huku nikipiga nae story za hapa na pale na alionekana kufurahia yale maongezi.
"We shakira hivi unaakil kweli umekaa apo unacheka cheka tu hujui kama unatakiwa ukafungue duka uko na chai mezan hujatutengea unategemea nini? "Furaha yetu na mazungumzo yetu yalikatishwa baada ya mama kuingia pale chumbani na kuanza kunifokea, sikumjibu kitu chochote nlinyanyuka kinyonge sana na kuelekea jikon ,kiukweli nilishachoka yale maisha ya manyanyaso lakin sikuwa na sehemu nyingine ya kwenda isitoshe nisingweza kwenda mbali na kumuacha baba angu akiteseka kwenye mikono ya huyu mama shetani kabisa asiyejua thamani ya utu, aliyeolewa na baba angu kwaajili ya pesa tu na si kingine ,niliijinamia pale na kuanza kulia bila kutoa sauti, zilisikika kwiki tu,nilitamani mama yang mzazi angekuwepo hai leo hii .... ,nliwaandalia chai mezani kisha nkaondoka kuelekea katika duka letu la bidhaa za jumla (mchele ,mafuta ya kupikia, unga, sabun n.k)lililopo mjini maeneo ya stendi ya zamani ,nikiwa nmevaa surual ya J iliyopauka tu ,tishirt kubwa na kofia juu huku ni kidunda kama mwanaume .
Ilikuwa mida ya saa 2 asubuhi pilikapilika zilianza ,wateja walikuwa wengi hivyo nilikuwa busy sana japo saa 6 nltakiwa kurud nyumbani kupika chakula cha mchana.
"Mambo mrembo wang "nilisikia sauti ikinisalmia kutoka nyuma yangu pindi nipo busy kupanga vitu vya dukani ,niligeuka haraka kutaka kumjua alyeniita mrembo maana haikuw kawaida mimi kuitwa mrembo kwasabab mara nying nilivaa nguo za mdogo wangu Jabir zilizopauka ,sikupata wasaaa wa kupendeza wala wa kujiweka vizur nionekane kama msichana ,kutokana na kifua changu kidogo nikivaa matshrt makubwa haikuwa rahisi mtu kutambua kama mimi ni mtot wa kike ,lbda sauti yangu ndio ilikuwa tofaut na mwonekano wangu
"Aaah kumbe Ray aah halafu nilishakwambia usiniite mrembo bhna hilo jina silipendi "
"Jamani kwenye macho yangu we ni mrembo sana ,uliyefanikiwa kuziteka hisia zangu na kuyateka mawazo yangu ,kwahiy niache tu nikuite mrembo ndo jina unalostahili kuitwa na mimi"alinijibu Ray huku akitabasam na kuniangalia kwa macho ya kutia hurum na yenye kumaanisha kile anachokisema
"Bhana wewe acha mambo yako ,sema kile kilichokuleta nkupe uondoke maswala ya warembo kawaambie akina sakina uko sio kwa mimi shakira "nilimjibu kwa hasira kwani sikupenda kabisa maswala hayo
"Shakira IPO siku utanielewa nachokwambia sahivi ,me nilikuja kukuona tu na kukupa hii hela ukanywe chai " alitoa noti ya shillingi elfu 10 alinipa kisha akaondoka zake kuelekea offisin kwake iliyopo karibu na dukan kwetu .
Siku hiyo mvua kubwa ilinyesha hvyo sikuweza kwenda kupika chakula cha mchana nyumban ,nilikaa dukani had saa 3 usiku ndipo nilipofunga duka na kuanza kutembea taratbu kuelkea nyumban mfukon nikiwa natembea na shillingi milion 3 za mauzo ya siku hiyo nlyotakiw kumkabidth mama zena nkifika nyumban ,duka letu lilikuwa kubwa sana hivyo mauzo kama hayo ilikuw kawaid kuyapata na somtmz mpaka mil 5 kwa siku ilikuw inapatikana ,kiujumla hilo duka ndo tulikuwa tunalitegemea kwa kila kitu na ndilo linalompa kiburi mama yetu wa kambo (mama zena) kwani nilijitahid kulisimamia vizuri lisiweze kufilisika kwa kipindi chote ambacho baba alianza kuumwa mpka sasa,ili tusiweze kukosa chochote kitu cha kutuweka mjini.
Nilifika nyumban nikiwa nmechoka sana ,nlikuta Jabir amekaa getini akinisubiria
"Dada shaky nilivyorudi kutoka shule nimekuta baba amejisaidia lakini hakuna yoyote alyeenda kumsafisha wala hawakumpa chakula kwahiy leo baba ameshinda njaa mpka nlvyotoka shule nikapika jion ndo amekula amelala sahivi"J alianza kulalamika hata bila salam huku uso wake ukionekana umevimba kwa kulia
"Dah J haya maisha tutayaishi mpaka lin mdogo wangu kwanini usiniruhusu nimuue tu uyu mama ijulikane moja kuliko kuendlea kututesa hivi kwenye mali za baba yetu mwenyew aliyezitafuta kwa jasho lake mwenyewe "niliongea kwa hasira nikiwa nmekunja ngumi huku machozi yakinidondoka mashavuni,nilijiamini nina nguvu kwasabbu kipindi npo shule crew yang yote walikuwa ni watoto wakiume na tabia tabia zao nying niliziiaga na hata mara nyingi nilipigana na watt wakiume na niliwaumiza hivyo nlkuwa najiona mimi ndo mimi na watu wengi wanilinijua jinsi gani nilivyokuwa mkorofi
"Dada usije kufanya maamumiz kama hayo utajiweka matatizoni ,we subiri tukijua mama zena alipoificha hati ya nyumba ndipo tuanze kufatilia mali zetu,kingine ukileta fujo apa baba tutampeleka wapi na hiyo hali aliyokuwa nayo??
"Ngoja ngoja yaumiza matumbo dogo ipo siku ntafanya maamuz yangu mwenyew ,Ok we umeshakula ?na vipi unaendeleaje na masomo yako una tatizo lolote huko shule?
"Ndio nimekula dada lakini chakula zena kasema tusikubakishie kwasababu we leo hujapika ,pia shule sina tatizo lolote kila kitu kipo sawa "
"Sawa dogo mimi naenda kumkabidhi uyu mchawi pesa zake halafu nikapumzike kama chakula wameninyima usijali nitakula kesho tu me mwenyewe kamanda "japo njaa ilikuwa inaniuma lakin sikuonesha udhaif wowote mbele ya mdogo wangu ilimradi asisononeke moyon kuhusu mimi nlipenda na yeye awe na furaha ili afanye vizur kwenye masomo yake .
"Mmmmh mmmh mbona pesa niliwezeka hapa zimeenda wapi "nilijisemea kwa saut ya chini huku nikiendlea kujisachi kwenye mifuko yangu ya suruali nilipokuwa nmeziweka zile pesa ,nilijisachi zaid ya mara 20 lakini sikuona pesa zimeangukia wapi nilijaribu kufatilia barabarni nilipopita pindi narudi nyumban lakin sikufanikiwa kuziona ,ndipo nlipoamua kumshirikisha mdogo wang anisaidie kutafuta ,tulitafuta sana lakini hatukufanikiwa kuziona.
Mama zena alishitukia issue alianza kunitukana yeye pamoja na mwanae zena (ambaye hatujashare nae baba )wakinituhumu mimi zile pesa nmezificha makusudi ili nkazitumie mwenyewe
"We mbwa hizo pesa uzitafte lasivyo utaenda kulala polisi na nitakufungulia mashtaka umeniibia "alinambia mama zena huku sura yake akiwa ameikunja kuonesha hana mzaha kwa kile alchokuwa akikisema
"Mama pesa nilziweka mfukoni sijui zmedondokea wapi tafadhali mama naomba unisamehe usiniitie polisi nakuahid nitazitafuta zitapatikana "nililia huku nikimpigia magoti kumuomba anisamehe kwan hapo sikuwa na ujanja wowote zaid ya kumnyenyekea tu
"Mama usimsamehe huyu atoke sahivi akazitafute hizo pesa alipozificha lasivyo aende polisi na asiruhusiwe kukanyaga apa hadi alete pesa "aliongea Zena huku akionekana kufurahia kile alichokuwa akikiongea ,nilimwangalia kwa hasira sana na ule ubonge ubonge wake nilitamani kwenda kumdunda palepale au nimchane chane na visu nimuharibu ile sura yake mbovu kama ya mama yake iliyokuwa imeungua kwa cream za bei rahisi licha ya kuhangaika kuipaka vipodozi kila siku lakini haikuwa na shukrani .
"Nadhani umesikia alichosema dada ako ,unyanyuke apo ukatafute pesa ulete hapa sasahivi lasivyo utanitambua mimi ni nan "
"Mama tumeshatafuta sana lakini hakuna tulichokipata naombeni mumuache da shaky alale kesho asbh na mapema ataamka kwenda kutafta "J alijaribu kuntetea lakin hakuna alyemsikiliza alionekana akipiga kelele tu pale .
Nilinyanyuka pale na kufungua geti na kuelekea nje licha ya kutokujua naelekea wapi usiku ule kwani ilishatimu saa 6 na dakika zake pia nilikuwa natetemeka kwa baridi na mvua ilianza kunyesha tena ukizingatia sikula chochote tangu asubuhi kutokana na ubusy wa kazi za pale dukani .Nilipata wazo la kwenda maskani kwa mshikaji wang alyejiita Bizzo tulisoma nae O-level alikuwa na gheto lake mtaa wa3 baada ya mtaani kwetu ,japokuwa gheto lake lilikuwa lina wahuni kibao lakini niliona huko ndo ntakapopata msaada wa kujihifadhi kwa usiku ule kwasababu marafiki zangu wengi walikuwa ni hao wahuni wahuni wakitaa tu na sikupendelea kampani ya watoto wakike kabisa ndiomaana mara nyingi nilikuwa navaa nguo za kiume ili nifanane na kampani yangu .
...................................
Hekaheka ndo zinapoanzia hapa kumpata shakira yapo mengi yatakayomkuta na kumtoa machozi kila siku ...tafadhali endelea kufatilia kisa hiki kujua nini kitakachoendelea ...................