Jamani tindikali zitatumaliza

Jamani tindikali zitatumaliza

Mimi ni mwadhiri msaidizi katika chuo fulani hapa Bongo. Somo ninalofundisha kwa kweli lina kaugumu kake. Sasa nimekula vichwa kadhaa ambavyo vingine vimepiga supp tayari na vingine vinarudia course na vingine safari ya kijijini imeiva.

Sasa cha ajabu napokea sms za vitisho vya kumwagiwa tindi kali. Nimeripoti polisi lakini kwa polisi wetu sijui kama nitapata ulinzi wa kutosha.

Sasa sijui niwe navaa kofia za kuendeshea boda boda?

Ww kula vichwa tuu!hela unazo unaogopa nn?ukimwagiwa si unaenda uk kubadili ngozi.usituletee wataalam feki.shika uzi huohuo
 
Mimi ni mwadhiri msaidizi katika chuo fulani hapa Bongo. Somo ninalofundisha kwa kweli lina kaugumu kake. Sasa nimekula vichwa kadhaa ambavyo vingine vimepiga supp tayari na vingine vinarudia course na vingine safari ya kijijini imeiva.

Sasa cha ajabu napokea sms za vitisho vya kumwagiwa tindi kali. Nimeripoti polisi lakini kwa polisi wetu sijui kama nitapata ulinzi wa kutosha.

Sasa sijui niwe navaa kofia za kuendeshea boda boda?


pole sana muhadhiri kwa vitisho ulivyopata.ni vizur kusimamia kazi yako ila usiwe unabana sana,haya maisha tu kila mtu mwizi.hata bungeni na wizarani wamo vilaza,japokuwa hawaelewi kitu lakini makaratasi yanaonyesha wana madigrii kibao.acha vijana wagraduate.
 
Naona kunawatu wananipakazia uzinzi hapa. Mimi ni mmoja wa watu waminifu na mcha Mungu. Vile vile mimi nipocommited sana na kaz yangu. i'm also a commited husband siwez fanya hayo mnayopakazia.
 
bora uzivae hiyo kofia ya bodaboda wakumwagie usoni la sivyo hiyo tindikali watakumwagia kwenye zakari yako ushindwe kuongeza watoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom