Huyu mbilikimo kazi aliyopewa huko CCM ilikuwa kumtukana Mbowe, baada ya Mbowe kupigwa chini na hatimaye kuunga juhudi za Samia automatically Petro Msigwa kazi ikakoma kama condom baada ya kupata bao.
Kwa ile elimu yake ya theolojia ya kubumba hakuna mahali atawekwa. Ameshatumikq na matumizi yake yalishaisha hivyo katupwq kwenye dust bin tangu kampeni zilipoisha!
Akatafute ajira kwa ASAS.