Jamani Nyuma raha...!!!

Asikwambie mtu NYUMA rahaaa...
Wacha nipasifie nisipo pasifia nani tena mwenye kujua utamu wa hapo NYUMA? Nyuma utamu bwana!!
Ngoja nikudokeze utamu wa nyuma najua hadi na wewe utatamani nyuma daah...
Kwanza kabisa hapo NYUMA soda ilikua sh 250, sukari robo sh 150,mafuta ya taa sh 100, pipi sh 5
daah...!!! Maisha gani yatakuja kuwa kama enzi za nyuma?
:D:D:D kama nakuona ulivyo waza mbali.
 
Back
Top Bottom