Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Kuwa na adabu kidogo Mganyizi....heshima haiuzwi! Nampa pole huyo anaenda kuolewa!
Inawezekana hujatwambia ukweli kamili na unachukua hivyo viwalo kwa nguvu, labda baada ya kuwapiga picha kwa siri!
Mungu atuepushe na watu kama nyinyi.
Sijui hii tabia nilitoa wapi,
kwa kila mdada ambaye nikuwa napata fursa ya kujirusha naye ikuwa nilazima nimuombe aniachie kitu ambacho kitani kumbusha kuhusu yeye, moja wapo ya vitu hivyo ni kumpiga picha naked or kuniachia kofuli, na nashukuru baadhi wali kubali picha na wengi ndio waliniachia kofuli.
Sasa nimekamatwa na mdada huyo ambaye mwezi ujao ndio tunafunga ndoa, sasa nikifikiria zile kofuli za hao wadada niliowai kushare nao faragha na shindwa kuelewa nizipeleke wapi maana ni nyingi kwa kweli, nafikiria kufungua gulio la kuziuza ila naogopa, kama kuna wadada wajf mtapenda kununua karibuni sana.
kua mkubwa wewe hizi sio thread za kutuletea hapa,au unafkiri ukubwa ni kuota ndevu za shaba?
Sijui hii tabia nilitoa wapi,
kwa kila mdada ambaye nikuwa napata fursa ya kujirusha naye ikuwa nilazima nimuombe aniachie kitu ambacho kitani kumbusha kuhusu yeye, moja wapo ya vitu hivyo ni kumpiga picha naked or kuniachia kofuli, na nashukuru baadhi wali kubali picha na wengi ndio waliniachia kofuli.
ANGALIA NYEKUNDU: Hapa umetukosea sote, wanaume na wanawake. Wanaume kwa sababu hilo la kumpiga picha msichana si tabia ya wanaume wastaarabu. Linaweza kuwa hata kosa la jinai. Wanawake kwa sababu wanawake wa JF wana heshima zao, hawastahiki dharau kama hii.
Hapa umevuka mipaka. Ikiwa unataka uendelee kuheshimiwa ninakuomba kwa upole sana uombe radhi kwa wana JF wote.
Ninachemka kwa hasira.
Dah! hazitanitosha maana ziko za size tofuti tofauti.... Hata hivyo ushauri wako umepokelewa. unaonaje niki kupa offer ya moja?
Dah! Hahahahahaaazipige picha uziweke jukwaa la wakubwa< tuwaombe mods waanzishe mnada on line!
hahahahaha lol
nimecheka sijui kwa nini lol ...
mmhhhh kuna raha kwenye mmu jamani lol
usihangaike kaka yangu.Huyo dada hatashangaa kukukuta nazo manake na yeye anafanana na wewe.
Mungu hukupa wakufanana naye, mwizi hupewa mwenza mwizi,fisadi,kwa hiyo kama mnafanana ya nini kuhofia
Hah hah hah! waambie bana.Wadada mmekasirika nini,kilichoongelewa ni uongo au kwa kuwa kasema anataka kuzileta hapa?
Sijui hii tabia nilitoa wapi,
kwa kila mdada ambaye nikuwa napata fursa ya kujirusha naye ikuwa nilazima nimuombe aniachie kitu ambacho kitani kumbusha kuhusu yeye, moja wapo ya vitu hivyo ni kumpiga picha naked or kuniachia kofuli, na nashukuru baadhi wali kubali picha na wengi ndio waliniachia kofuli.
Sasa nimekamatwa na mdada huyo ambaye mwezi ujao ndio tunafunga ndoa, sasa nikifikiria zile kofuli za hao wadada niliowai kushare nao faragha na shindwa kuelewa nizipeleke wapi maana ni nyingi kwa kweli, nafikiria kufungua gulio la kuziuza ila naogopa, kama kuna wadada wajf mtapenda kununua karibuni sana.
We kaka, umeona alichokwambia Martina eeh!!
Haya, tunajua sana kusema lakini hatutaki tu kwa sababu tunajiheshimu, tengenezea mto uwe unaziwekea kichwa chako!!!