BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
nadhani mdada unatakiwa uwe na muda wa kukaa na kumkumbuka mmeo au mambo mazuri mliyokuwa mnayafanya na mmeo hii inasaidia sana kuepukana na msongo wa mawazo lakini bahati nzuri mna mtoto tayari tumia muda mwingi sana kukaa na mtoto na hii inasaidia sana ..
epukana na marafiki wanafiki au kuwa unawatembelea sana marafiki au kukaa nao bar au kupiga story zisizo na kicwa wala miguu
epukana kusoma vijarida vya ngono au kuangalia picha au sinema za ngono
epukana na marafiki wanafiki au kuwa unawatembelea sana marafiki au kukaa nao bar au kupiga story zisizo na kicwa wala miguu
epukana kusoma vijarida vya ngono au kuangalia picha au sinema za ngono