Jamani nisaidieni-huyu dada ananipa presha.

Dada kila mtu anaogopa ukimwi na hata kama unadhani mumeo si cheater anaweza kuwa bonge la cheater kwani wazoefu hawakamatwi. Na ukimwi unawapata wote walokwenye ndoa na wasio kwenye ndoa kwa hiyo kama ukimwi unauogopa saaana, solution si ku divorce tu ni ukae peke yako na u abstain.

Love ni respect ndiyo lakini jua huyo mume alokuoa ni kiumbe dhaifu. Kama hatacheat leo anaweza akacheat after 25 years of marriage it does not matter. Na anaweza asicheat. Tatizo ni kuwa huwezi kuusemea moyo kwani unaweza usijue anafanya nini na nani sasa hivi.

Nilipoolewa kila mtu alikuwa ananiambia kuwa I have a man with all qualities that a wife needs from a man including upole. Lakini baada ya miaka sita alicheat na kwangu ni ngumu kuamini kuwa kuna wanaume strong kama wapo ni wachache sana. Niliumia sana na ndugu zangu wakaniuliza if I still feel like staying with him kwani issue niliifikisha mbali. Well niliweza kupita majaribu and I am now proud of my decision of not leaving.


Kama unadhani ukali na si busara ndio inarekebisha tabia ya mume well and good. I believe otherwise.
Nimependa sana ushauri wako wa kiutu uzima.
Maisha si mashindano , kuwa ukiyamaliza kunakupewa tuzo.
Udumu dada yangu
 
Nilichojifunza maishani ni kuwa ndoa zinavunjwa na ndugu na si wana ndoa. Mimi nilikuwa nimechanganyikiwa kabisa na mpaka kuwaambia kaka na dada zangu kuhusu cheating incidence nilijua sasa ndoa imefika tamati kwani nawajua hasa dada na mdogo wangu (wote wameolewa) ni wakali sana na nilijua fika watanambia nasubiri nini, ukizingatia nina kazi nzuri.

Nilishangaa hamna aliyesema kitu walinisikiliza tu mwenyewe nawasimulia huku nalia, mwisho mdogo wangu akaniuliza do you still love your husband? Nikamwambia am not sure. Akanambia amia kwa kaka kwa muda utafakari if you can leave without him. Sikuhama. Baada ya muda nikamwambia mume wangu nimekusamehe usirudie; hakuamini alinishukuru sana nae alijua ndio namwacha hivyo.

Sasa jinsi nilivyokuwa na hasira ndugu zangu wasingekuwa na busara nisingekuwa kwenye ndoa hadi leo.

Famili nyingine ni wepesi wa kutoa miongozo ya maisha ya ndugu zao na wanachangia kuvunja ndoa.
Nimependa sana ushauri wako wa kiutu uzima.
Maisha si mashindano , kuwa ukiyamaliza kunakupewa tuzo.
Udumu dada yangu
 
Umeni misquote dear. Nilimaanisha unaachika kwa mumeo na kwenda kutembea na wame za watu.


This has got nothing to do with Pride,...........................hebu nikuulize, do you not see anything wrong your statement that kuachika, means nyumba ndogo kufaidika!!!!? If you do, then I rest my case. If you don't, then How about ukimwi which is as real as these cheating men whom you are failing to take into task? How does that play in all of this? No marriage, I repeat no marriage and/or man is worth anyone's life............. besides hiyo love unayoongolea hebu educate me as to how can one claim to still feel loved na mwanaume wake aliyekuwa na side dish for year plus, na mimba akampa!? Doesnt love, include respect, faithfulness and all that????
 
Uzuri wa mtandao wa JF bwana ni ushauri mtu unaoweza kuupata.
Ushauri tu unaweza okoa maisha ya mtu.
Mimi ni mgeni sana JF lakini si mgeni wa maisha.
Nimepitia ukurasa huu ma mimi ninatizo linalo nisibu, tena tatizo linalonipa presha.

Mimi ni mjasiriamali mzuri tu kanda hii ya pwani.
Kuna dada ambaye kumbe ananifuatilia kwa karibu sana na kwa muda mrefu.Mwishowe akabisha hodi ofisini kwangu kama dada wa kutoka sehemu zetu huko milimani na akasema anasalimia tu.
Muda si mrefu simu zikaanza kuwa nyingi na hatimaye akaomba out.
Nisionekane mshamba masikini miye nikamtoa out. Kweli pombe mjumbe wa Ibilisi, muda si muda tukawa tunavunja amri ya sita na huyu dada akwa antaka sana kunimiliki.
Mimi nimeoa na yeye hajaolewa.
Mambo yakaendelea kwa muda kuidogo lakini nikakataa kabisa kujicommit na mabo yote ikawa kwa soksi ili isijetokea ajali ya mimba.
Nafikiri malengo ya dada yakawa hayajakamilika, na akazidi kuwa mkali kwangu kadri siku zilivyoendelea, ikiwa ni pamoja na vitisho kuwa ataniexpose kwa jamii kama nitamwacha.
Nikanwekea mtego siku moja , alipiga simu sikuipokea , lakini nikajidai mimi mke wa jamaa unyempigia.Nikamuuliza unashida gani na mume wangu maana nimesikia sauti ya kike.
Hapo yalianza matusi ya kuua mtu, matusi balaa-ati wewe ulicho nacho ndo mumeo anachofuata kwangu!
Hakika nilipigwa butwaa!
Siku ya pili nikamuuliza mbona ulibishana na mke wangu? naye akajibu, ati anajidai mjanja atanikoma mie!
Hapo ndo nikajua hapa kuna walakin na nika mwacha kwa muda mrefu.
Wanaume tuna matatizo sana, baada ya muda akanibembeleza na kulia sana, baadaye nikampeleka kinywaji tukanywa.
Punde si pundeikawa mechi tena isiyo na soksi safari hii.Bibie alifurahi sana siku hiyo, na akapotea zaidi ya mwezi.
Aliporudi akaja na stori kuwa yeye tayari.Nikamuuliz tayari nini, akaniambia mimba.
Nikachanganyikiwa kabisa lakini baada ya muda mrefu wa kufikiri nikamwambia nitamtafutia kiwanja ajenge ili mtoto asije pata taabu.
Lakini Mungu si Asumani, baada ya miezi minne kumbe mimba haikukaa na nikamuuliza vipi akaanza ukali tena ili mimba ikuzwe.Hapo nikakataa kabisa maana nikaona nimeponea tundu la sindano.
Kuona hivyo huyu bibi akawa kichaa na akaja ofsini nakutukana matusi ya mguoni , na nikaaibika sana.
Bibie akaahidi kunishitaki kanisani na kweli akaenda kumwona Mchungaji ,hata hivyo akapuuzwa kwa vile walimwona punguani.
Mambo yalipozidi kuwa mabaya akaanza kunisimamisha barabarani kwa nguvu, watu wantazama sinema na kushangaa!
Hapo ndo nikaenda fungua RB na kuwajulisha ndugu zake juu ya huyo mtoto wao.
Nilivyokuwa serious , aliwekwa ndani siku moja kwa kunibugidhi lakini ndugu zake wengine wakamwokoa na janga zaidi.

Wana JF hadithi ni ndefu lakini mwisho ndugu zake wakamkana kwa tabia yake na kusihi kutonisumbua na hii ni baada ya kuwalipa wazazi wake kifuta aibu cha kulala na binti wao(ana miaka 32).
Sijawasiliana naye(kwa maana ya kumpigia au kuongea naye) kwa zaidi ya mwaka sasa.

Lakini ka muda huo woote hadi leo ananipigia simu karibu mara kumi wiki na meseji kama kumi hadi ishirini kwa wiki ambazo sizijibu kamwe.
Kwenye simu yangu kama ushahidi nina meseji zilizofikia 831
Meseji ya mwisho imeingia kwangu kama nusu saa iliyopita.
Kwa hakika zinanichefua rohoni kupita kiasi.
Nsaidieni ndugu zangu huyu bibie anamapepo? na mnaweza nishauri nini?


Aise pole sana japo unaisingizia pombe kiasi kwamba naanza kuishitukia story yako, kwanza hiyo out yako huwa unaifanyia chumbani kwani kila ukienda nae out lazima umgonge so nikushauri uende Radio Free Africa kuna kipindi chenu kinaitwa ushauri wako sikumbuki ni saa ngapi na siku ipi huko ndiko utapata washauri wazuri humu JF watakuyeyesha tu bro, Next time usiisingizie pombe
 
pole sana lakini unatakiwa kumrudia Mungu wako maana umefanya dhambi mbaya mno. umeisaliti ndoa yako na dhambi hiyo itakutafuna maisha yako yote. hata hivyo hongera kwa ujitambua na uache mara moja . splest thing to do ni kufuta sms zake zote na usijibu hata moja
 
Always playing STUPID! Nwy watu tuna uelewa tofauti!
Yeah kiddie!
Yeaah I am stupid , but not that stupid to note that you are a smelly ,feather brained , loud mouth.
Always quick to quip.
Since you have decided wilfully to go off topic, then its no harm to enter your turf.
Your contributions have been self serving and of no help to no body.
In fact una expose yer naivety for all to see , and that is not very smart, and well, I dont expect you to be.
May I ask?
When did you last shed off yer nappy?
Can smell the ammonia stench all the way.
 
Yeah kiddie!
Yeaah I am stupid , but not that stupid to note that you are a smelly ,feather brained , loud mouth.
Always quick to quip.
Since you have decided wilfully to go off topic, then its no harm to enter your turf.
Your contributions have been self serving and of no help to no body.
In fact una expose yer naivety for all to see , and that is not very smart, and well, I dont expect you to be.
May I ask?
When did you last shed off yer nappy?
Can smell the ammonia stench all the way.

Ndugu yangu Lole, achana na huyo mtoto.
Mimi nilitaka ushauri kutoka kwa watu wema , na nimeupata.Sasa inaelekea tunatoka nje ya mada.Najua kakuudhi na hata member wengine wameona hilo huko nyuma.
Msamehe bure.
Mie nawashukuru wote mliokuwa positive na kuliona kuwa ninatatizo la kulishughulikia.
Mubarikiwe
 
mkuu pole sana, jitahidi kuwa nae mbali sana, atakuponza. Kwa nin akufatefate hivyo? Tena kwa zaidi ya mwaka du? Au ulimshona tigo? Kuwa wazi mkuu!
 
mkuu pole sana, jitahidi kuwa nae mbali sana, atakuponza. Kwa nin akufatefate hivyo? Tena kwa zaidi ya mwaka du? Au ulimshona tigo? Kuwa wazi mkuu!
Ndugu Gagurito, nashukuru kwa pole yako.
Tigo nimeulizia kwa wenzangu na nimeambiwa ni kamchezo fulani kabayabaya hivi.Hako kamchezo situmii na ni ka mapepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom