Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
- Thread starter
- #101
Nimependa sana ushauri wako wa kiutu uzima.Dada kila mtu anaogopa ukimwi na hata kama unadhani mumeo si cheater anaweza kuwa bonge la cheater kwani wazoefu hawakamatwi. Na ukimwi unawapata wote walokwenye ndoa na wasio kwenye ndoa kwa hiyo kama ukimwi unauogopa saaana, solution si ku divorce tu ni ukae peke yako na u abstain.
Love ni respect ndiyo lakini jua huyo mume alokuoa ni kiumbe dhaifu. Kama hatacheat leo anaweza akacheat after 25 years of marriage it does not matter. Na anaweza asicheat. Tatizo ni kuwa huwezi kuusemea moyo kwani unaweza usijue anafanya nini na nani sasa hivi.
Nilipoolewa kila mtu alikuwa ananiambia kuwa I have a man with all qualities that a wife needs from a man including upole. Lakini baada ya miaka sita alicheat na kwangu ni ngumu kuamini kuwa kuna wanaume strong kama wapo ni wachache sana. Niliumia sana na ndugu zangu wakaniuliza if I still feel like staying with him kwani issue niliifikisha mbali. Well niliweza kupita majaribu and I am now proud of my decision of not leaving.
Kama unadhani ukali na si busara ndio inarekebisha tabia ya mume well and good. I believe otherwise.
Maisha si mashindano , kuwa ukiyamaliza kunakupewa tuzo.
Udumu dada yangu