X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Hapana, ujapatia.jibu lake ni nambari 9
Hapana, ujapatia.jibu lake ni nambari 9
Nikupe mji unipe jibu lako?Hapana, ujapatia.
Mkuu, chemsha bongo kidogo basi.Nikupe mji unipe jibu lako?
Leo nimechoka kiakili sipo kwenye mody najisikia baridi huku nilipo na nipo a loneMkuu, chemsha bongo kidogo basi.
Thanks mkuu.
Nami nauliza swali.
Kuna mtiririko wa ajabu, uanzia kwa nambari nne, kisha mbili na kuishia nambari tatu, nini jibu lake?
Binadamu atakuwa huyo haya tena nipe hiyo Golden Media nimepata heehehehehehehHakisimami, na kikisimama msiba.
Ni nini icho.
Fafanua kidogo hapo, kwa jibu ilo mbona binadamu tunawaona wakisimama?Binadamu atakuwa huyo haya tena nipe hiyo Golden Media nimepata heeheheheheheh
basi itakuwa ni jua hilo jibu lakeFafanua kidogo hapo, kwa jibu ilo mbona binadamu tunawaona wakisimama?
Asante naibadilisha sasa hivi avatar yanguUlipatia kidogo, ila ungesema ni uhai, maana uhai wako ukisimama ni msiba. Wengine usema ni moyo wa binadamu.
Kwa kuwa umejaribu basi nakupatia Silver Medal.
View attachment 40661
Na Hii Kwa ajili ya Avatar Yako
View attachment 40662
Hongera Umepata Jibu langu Hoyeeeeeeeeeee Wewe ndie Mshindi Mkuu X-PASTER Bravoooo oa