Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
- Thread starter
- #21
Umekosea jaribu tena mkuumimi na mpenzi wangu
Umekosea jaribu tena mkuumimi na mpenzi wangu
Umekosea jaribu tenaMapacha!
Umekosea jibu jaribu tena kulijibu swali langumwanaume tasa.
Siwasumbui ila kila unapo nipa jibu namwambia Mwalim wangu anasema kuwa sio jibu hilo sasa lazima niendelee kuuliza swali langu bado sijapata jibu lililo sahihiSasa kumbe jibu unalo afu unatusumbua? We vipi bana!
silo jibu hilo mkuu nijibu tenaSpouses...
Umekosea silo jibu lake hilo jibu tenanape,kikwete na mkuro.
Sasa kumbe jibu unalo afu unatusumbua? We vipi bana!
silo jibuSpouses...
silo jibu hilo jaribu tena mkuuMwanamume (M) na Mwanamke (KE)
Gonga likes mara 70
Sasa kumbe jibu unalo afu unatusumbua? We vipi bana!
Spouses...
Umekosea jaribu jibu linginemtu na kivuli chake...afu bisha uone...
huajapata mkuu jaribu kujibu tenamtu na kivuli chake...afu bisha uone...
nipe mji umeshindwa kunijibu mpaka unanipa mji mkuu? ama kweli Jamii forums hakuna Ma Great Thinker....................Nikupe mji?
Kwanini mkuu quiz zangu zinakushushia heshima?Hizi quiz zako sometimes zinanishushia heshima.
hajapata kitu hapo naomba mnijibu jamani.......lolLabda hio umepata.....lol
No sio holy Cow!!!!!!! nipe jibu lingine mkuu........Holy cow!!!!!!!!!
Na wawili ambao hawana watatu wake ni usiku na mchana.Swali lenyewe ni hili hapa ( Je Ni nani ambao ni wawili hawana watatu wao?) Nitashukuru mukinijibu hili Swali langu kwa ufasaha wa maneno najuwa humu ndani ya Jamii forums kuna Ma Great Thinker wazuri kabisa asanteni
Hongera Umepata Jibu langu Hoyeeeeeeeeeee Wewe ndie Mshindi Mkuu X-PASTER Bravoooo oaNa wawili ambao hawana watatu wake ni usiku na mchana.
Thanks mkuu.
jibu lake ni nambari 9Thanks mkuu.
Nami nauliza swali.
Kuna mtiririko wa ajabu, uanzia kwa nambari nne, kisha mbili na kuishia nambari tatu, nini jibu lake?