Hilo nalo neno mkuu, ila wanaume tunapitia shida na vishawishi kwa kweliKwahyo unafikiri ukiruka nae utakua unakula bule,au unafikiri yakwake ina keki ndani tofauti Naya mkeo?nenda kamshape mkeo awe msafi kama huyo unaemkuta hapo kwenye dirisha la malipo na pia ichape mara 3 mfululizo Wala hutolitamani Tena Hilo danga coz linajisogeza kwakua limenusa harufu ya Ankara.
Tamaa za mwili kamwe haziwezi kukwambia madhara ya kutapanya 'nguvu za kiume" hovyo ni mpaka utakapokutana nayo uso kwa uso!Kwahiyo unataka akusema nini? Ya kuwa Kuichapa ni dhambi?
ila hata nataka msabahi tuHaina umuhimu
Mlilia wembe...
Unaacha umkate ausio!!Mlilia wembe...
kumbe huyo ni malaya basi tenaWewe unashida ndugu yangu hapo unapo ishi hakuna malaya?
Zinaa;Kama yapi mkuu, maana wanasema pia usipofanya tendo kwa muda mrefu tezi dume inakuhusu
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Unaacha umkate ausio!!
Mwanamke akitaka wee mpelekee tuTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Unanifanya nitafakari sana mkuu... Kuna vingi nyuma ya pazia. Ila Sidhani kama kufanya mapenzi hasa kwa afya ni dhambi kiasi hicho...Zinaa;
1. Hukausha Nishati ya kufanya maendeleo
2. Huleta aibu(fedheha) isiyofutika.
3. Kifo(Kuua/Kuuwawa) kutokana na wivu/uchungu/hasira/kisasi n.k
4. Huondoa ufahamu(kufikiri kwa makini)
Mfano,Jiulize huyo mshangazi unajua ameletwa kwao kwa lengo lipi?. Yaani amekuja ili akuachaje?.
Naamini wewe ni kijana mwenye Ndoto fulani za maisha. Pengine umewekwa duniani uwe mlango wa mafanikio ya kimaisha kwa wengine wengi wakiwemo ndugu zako wa damu. Kitendo cha kukosa udhibiti wa tamaa zako za mwili,nachelea kusema upo kwenye hatari kubwa!
Amini nakwambia zinaa imekatisha Ndoto za vijana wengi sana.
Fikiria hili je, huyo mshangazi vipi kama ni mke/mchepuko wa 'someone powerful' ambaye ana wivu nae sana then akaja kubaini kwamba unamlala?(Umelifikiria hili?)
Wakati unadeal na huyo, jiandae kuletewa wengine!Unanifanya nitafakari sana mkuu... Kuna vingi nyuma ya pazia. Ila Sidhani kama kufanya mapenzi hasa kwa afya ni dhambi kiasi hicho...
Wacha tuzoeane nizidi kumwona ni mtu wa namna gani nitafanyia kazi mawazo yako