Jamani nina pepo la kukataliwa

Jamani nina pepo la kukataliwa

Usikate tamaa Mungu hajakupangia wakati ukifika Mungu pekee ndo atakaekupa Mke mwema!
 
njoo unilipie na mimi mahari kwa mara ya mwisho, hela yakula daily iwe 15,000/ tu. ya uhakika lakini, nkikukimbia na mimi kweli una nuksi
 
Hamna mwanamke umemtelekeza kweli wewe?omba Mungu afukuzie mbali hio roho ya kukataliwa na akufungue ,penda unapopendwa usiangalie sanaa unaowapenda mana wanakukataa
 
Baada ya kujitambua funga na kusali, tafuta watumishi wa mungu hiyo spirit itoke. Ninaushuhuda mwingi wa namna hyo unakuta kuna roho inakuafuatilia ya mababu zako au maneno ya watu tu so mungu ndo habari ya mjini.kama ni mkristo ni pm nikupe no ya mtumish anasemina dar anafungua watu kama weww na wanafurahia mahusiano
 
mtangulize Mungu katika kila jambo na uamin yakua hawote walio kukataa hawakua watu sahii kwako
 
Aaaah ww hujui kuchagua ww tafuta saizi yako usipoteze mda tafuta atleast anaendana na ww ustake makuu kijana sio ww Tandale unataka toto la Masaki geti kali mlo mara nne au ww mcha dini sana full imani unatafuta sister duu wa kileo utakeshaaaa jikubali kijana.

Tafuta mtu kutokana na capability yako upole wako sio kigezo wala kumwaga pesa chunguza hao uliowachagua kosa lako lilianza hapo
 
Baada ya kujitambua funga na kusali, tafuta watumishi wa mungu hiyo spirit itoke. Ninaushuhuda mwingi wa namna hyo unakuta kuna roho inakuafuatilia ya mababu zako au maneno ya watu tu so mungu ndo habari ya mjini.kama ni mkristo ni pm nikupe no ya mtumish anasemina dar anafungua watu kama weww na wanafurahia mahusiano
mkuu huyo mtumishi Bado yupo na mimi napitia scenario hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom