Jamani nina pepo la kukataliwa

Jamani nina pepo la kukataliwa

Wako bado hajaja wala uckate tamaa ipo cku utapata mwamke na atakutongoza mwenyewe tulia ndani ya mwezi wa 11 lazima mungu atakuletea mke mwema
 
Kwanza pole, pili zidisha kumuomba mungu......katika suala hili. Tatu labda hilo jina lako ndo ulivyo...sikwambii uwe chiriku but mwanaume mkimya anaboa, kidogo jichangamshe. Nnee, inakuja kwenye mambo ya personality yako kuanzia mavazi, sio unavyaa kama mtu wa kwaya na pia mpaka unavyojiweka mbele ya watu....hiii ni muhimu sana.

Umesema pesa si issue, ongeza kuhonga kidogo sio vocha tu, make sure unakubaliana na binti sio babake. Mwanamke akikubabali hata wazee wakatae atatafuta mbinu za kuwabadilisha msimamo wao.

cc: kijana mkimya

shukran kwa ushauri wako madam x
 
labda una ingia katika mahusiano na vibinti vya chuo visivyoishi katika uhalisia,visivyo na maamuz binafsi .

wote hao walikuwa sio wanafunzi labda huyu wa mwisho ndo mwanafunzi wa chuo ila ni binti anayejitambu.
 
USHAURI WA OVYOO,
Waweza kupendwa hata kabla hujasema chochote so kupangiliaaneno sio hoja ya msingi, unaweza kupendwa ilhali umevaa nguo za kazi so utanashati sio kigezo, hapa anatafuta mke na sio changudoa atatongozaje kila dem! Anatafta mke, unataka amwage pesa!!!!
Idiot.
 
Mpaka maombi yamegoma? Anyway, fanya hivi. Anza ku-like random posts za wanadada tu humu na kuwapa rep-points. Haijalishi wanaongea nini. Baada ya muda, wafuate PM mmoja mmoja. Hii mbinu nimekupa wewe tu. Kila la kheri.


Yani hata humu jf ukitongozwa unakataliwa mkuu?


Mnataka mwenzenu arubuniwe?? Hahaa..
 
Daaaa hili nalo jaribu tena la karne _________ Lol wewe ni shujaa mara nne umetoa maari ?? Harusi waipania ee ?? Well si wote uwaonao pamoja walifunga harusi ________ Skuiz mjin kuna kitu wanaita SOGEA TUISHI hebu msogeze mmoja muishi af ndoa baadae sana ______________ Toa nhilo jaribu kwana
 
Aisee lakini haiwezekani bwana wakatae wote ? Wengi ivi ?
 
USHAURI WA OVYOO,
Waweza kupendwa hata kabla hujasema chochote so kupangiliaaneno sio hoja ya msingi, unaweza kupendwa ilhali umevaa nguo za kazi so utanashati sio kigezo, hapa anatafuta mke na sio changudoa atatongozaje kila dem! Anatafta mke, unataka amwage pesa!!!!
Idiot.

point!!
 
Ni Mungu anakuepusha, kwako wewe ni wazuri ila kwa mungu hawakufai wewe, Mda wako ukifika utawakataa.
 
Piga boro kijana, utakimbiliwa mpaka utajaza marcopolo.
 
Umesema ww ni mtu unapenda dini...yamkini hao waliokukataa sio ubavu wako. Ubavu wako upo tuu. Endelea kumng'ang'ania Mungu akupe ubavu wako huku ukimkumbusha ahadi yake ya kuwa mwanaume atamwacha baba na mama yake nae ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
 
Back
Top Bottom