financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Na ulivo pilipili kichaa, hamna tapeli atakusogelea mkuuhawa matapeli wanapenda sana jamaa ambao ni mandezi, wajanja wajanja kama mie hawawezi kujaribu hapa! pambafff! acha mliwe labda mtatia akili siku moja!
Kwa jinsi utapeli ulivyotamalaki usishangae hao wadada watatu unaowasema ndiyo wamemtapeli huo jamaa yako kwa kusingizia kwamba wametapeliwa na hivyo kujifanya kuomba msaada kwake!Siku za karibuni wadada wengi wa kibongo wamepigwa na matapeli wanaoshirikiana na wazungu au wanaigiza wazungu.
Wanaanzisha urafiki kwenye mitandao kisha whatsapp unamuona kabisa.
Mdada anaongopewa kapendwa na mzungu anataka amuoe.
Anamwambia kamtumia zawadi kama mleta mada, kisha anaambiwa mzigo upo Zanzibar au mbali na mji wa mtapeliwa, anaambiwa alipie pesa za kuondoa mzigo na kodi kisha aende akachukue mzigo.
Wadada kwa tamaa wanawaonesha wenzao wamepata mchumba mzungum na picha za zawadi.
Pesa ya kulipia mzigo wanakopa madeni makubwa na kuuza vitu. Mwisho aibu kubwa huko ugenini Zanzibar wanapojikuta wamepigwa, hawana nauli ya kurudia wala mahali pa kuishi.
Jamaa yangu kawasaidia wadada watatu siku kama 7 zilizopita.
Aisee,msaidie hata indirectly tu, atakukumbuka baadayeHapana
siwezi ku intervene maana yeye ameamua kuni sideline
Nakuhakikishia walitapeliwa, na wao sio wa kwanza.Kwa jinsi utapeli ulivyotamalaki usishangae hao wadada watatu unaowasema ndiyo wamemtapeli huo jamaa yako kwa kusingizia kwamba wametapeliwa na hivyo kujifanya kuomba msaada kwake!
HahaNaomba jina la uzi libadilishwe kuwa "Wale tuliowahi kuliwa hela kimasihara"
hapo ndo sikuwa makini nilitakiwa nijiridhishe kwanza haswa kwa mtu ambaye simjui
@Kakajambazi za siku?Mzungu!!! wakati ni huyo huyo jamaa anaongea kingreza kibovu.!
Kwa hiyo ulivyopata dili hilo la hela ukakaa kimya huku mwambia mtu ili utajirike peke yako sio!
Dunia ya sasa unatapeliwa kijinga hivyo?
U need a time to learn about this world unaonekana umgeni wa dunia ya sasa hata washauri huna..
Matapeli yamegundua dawa ni kujifanya wazungu ilihali ni vijana wa Tz au KenyaSiku za karibuni wadada wengi wa kibongo wamepigwa na matapeli wanaoshirikiana na wazungu au wanaigiza wazungu.
Wanaanzisha urafiki kwenye mitandao kisha whatsapp unamuona kabisa.
Mdada anaongopewa kapendwa na mzungu anataka amuoe.
Anamwambia kamtumia zawadi kama mleta mada, kisha anaambiwa mzigo upo Zanzibar au mbali na mji wa mtapeliwa, anaambiwa alipie pesa za kuondoa mzigo na kodi kisha aende akachukue mzigo.
Wadada kwa tamaa wanawaonesha wenzao wamepata mchumba mzungu na picha za zawadi.
Pesa ya kulipia mzigo wanakopa madeni makubwa na kuuza vitu. Mwisho aibu kubwa huko ugenini Zanzibar wanapojikuta wamepigwa, hawana nauli ya kurudia wala mahali pa kuishi.
Jamaa yangu kawasaidia wadada watatu siku kama 7 zilizopita.
Sio sawa kuingilia privacy ya mtu
Kuna mzungu tapeli anayejita Gambler Erik number zake za simu +41779140475 tulikuwa marafiki kwenye mtandao wa LinkedIn kama marafiki wa kawaida akaonyesha kuja kuwekeza Tanzania.... Akasema kabla ya kuja Tanzania atanitumia machine zake za kutengeneza lotion na cream kwangu sikumbili kabla ya yeye mwenyewe kuja Tanzania. Na kwenye hiyo mizigo kaweka dola za kulipia pango la nyumba na maswala mengine
Akanijulisha wiki iliyopita atatuma mizigo kwenye ndege za UN na mara moja mzigo utanifikia kwangu kwa kupitia wakala.
Nilichoshangaa jumatatu ya wiki hii Kuna mwanamama kanipigia kwa number 0758392082 jina inasoma Emmanuel Tesha... At Mimi nilipe Kodi ya hizo bidhaa zilizokuja Tanzania kwa jina langu. Nikamwuuliza huyo Tapeli Gambler hivi Ni sahihi akaniambia wewe lipa nitakurudishia. Kumbe ndio nimeanza kuliwa kekundu hapo.
Hiyo ilikuwa Ni Kasulu Kigoma nikashangaa kwa Nini mzigo utuwe Kasulu na siyo DSM? Baada ya kulipa $ hiyo number haipatikani hewani. Nikajiuliza Toka jumatatu mpaka Alhamisi hakuna dalili yoyote ya kupokea mzigo ilikhali huyo mama Tapeli ananiaminia kwamba huo mzigo upo na utanifikia kwangu bila tatizo. Jana kaibuka Tapeli mwingine mwenye number 0758727527 jina la usajili Swaum Mena.
Akaniambia kiswahili kwamba mzigo umekwama Arusha ati nilipe $500 ili mzigo unifikie... Leo saa sita mchana.... Hapo ndio nikashtuka na kujuwa Kuna utapeli na hiyo pesa sijaituma. Na nikamtumia msg huyo mama kwamba Ni Tapeli anirudishie pesa zangu
Nimetuma ujumbe huu na hizo number za simu ili wengine yasiwapate kama Mimi yalivyonisibu
Nawatakia Ijumaa khereem
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hamtumiagi akili, we na exposure yote hii hadi leo hujui hizo mambo za kujidai sijui anataka wekeza blah blah, ila ndio ushajifunza, hamna uwekezaji wa mitandaoni sawa? Mtu akutumie eti mashine bila hata kukuona, kufanya utafiti, kupata vibali nk... Ushajifunza ila na hiyo hela jiesabie tu maumivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aksantehiyo namba na simu usajili pia .....kuna mengi utawapata tz polisi watakusaidia cyber
Sent from my iPhone using JamiiForums