Jamani nimefiwa

pole sana mwanafamilia mwenzetu wa Jf, Mungu akupe nguvu na ujasiri ktk kupindi hichi kigumu cha kuondokewa na mpendwa wetu!
 
REQUIEM: Pumziko la Milele umpe ee Bwana, Na mwanga wa Milele umwangazie, apumzike kwa amani...
 
Pole sana mkuu mungu akutie nguvu wakati huu mgumu wa majonzi
ungeweka na con mwenye kanafasi hata apite
 
Back
Top Bottom