John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
- Thread starter
- #21
tasante sana kwa ushauri wako ..ushauri umeenda shule sana na moja kwa moja inaonyesha kuwa wewe ni mtu mwenye hekima nyingi sana God bless you ..nimeamini kweli hii ni GT .saluteYan nikupongeze sana kama ni kweli umefika umri huo bado ni bikra! Watu kama ninyi ni adimu sana kuwapata enzi hizi.
Kinachonifurahisha ni kwamba wewe mwenyewe umeshajua kwamba sasa ni umri wa kuoa ndiyo mana umekua na wazo hilo la kuuliza hapa JF! Kwa kawaida kama usingejua umefika umri wa kuoa wala usingeuliza. Kimsingi umri wa kuoa ni baada ya kutimiza umri wa mtu mzima (18yrs) ila sasa inategemea na ukomavu wa akili (yan kuweza kutunza familia) unaweza ukawa na miaka hata 40 ila akili bado ikawa ya kurukaruka na ukashindwa kutunza familia. Ila kwa wewe nafikiri umri wako unafaa na umeonyesha kukomaa kiakili baada ya kutafakari na kuleta jambo hii kwa wanaJF.
Mia nakupa big up sana anza kutafuta mchumba sasa ONYO usikute ndiyo mbinu zako za kutafuta dada wakifikiri wewe bikra kumbe FATAKI!!!!!