kwa mjibu wa wana social psycologist wanasema:-
1. 18-25 ni kuoa
2. 25-30 kuzaa watoto, kutengeneza familia
3. 35-45 kuendeleza familia yako kwa kuwapa shule inayostahili, hata kama ukifa waweze kujisimamia.
4. 45-55 ni kujiandaa kustaafu na kupumzika kufanya kazi za kuzalisha mali moja kwa moja.
5. 55-65 umeshastaafu, unakula pension yako, watoto hawakutegemei kwa lolote zaidi ya ushauri, na unaweza ukaingia kweye mabaraza ya maamuzi ili kujenga misingi bora ya wajukuu zako kuishi vizuri.
Hivyo kama hujaoa na huna sababu ya msingi, tayari unakaribia kuchelewa, kwani kinyume na hapo kuna uwezekano wa wewe kutokuona maendeleo ya wanao hasa kielimu na mambo mengine ya msingi. Fanya hima, oa, anzisha familia ili kufikia 35, uhangaike namna ya kuwasomesha tu.