ALEX KAYOMBO, LUSAJO MWANGASA, hawa nlisoma nao Kibo Secondary pale Moshi 1997 Enzi hizo shule ikiwa pale katikati ya mjini wa Moshi kama wakiona uzi huu tafathali waniPM Alex kipindi hicho alikua anakaa TPC Moshi nawasilisha.
nipo mkuu nitafute kwa alexkayombo@yahoo.com au 0715888412
Aaaaah kumbe wewe ndo Alex?
ALEX KAYOMBO, LUSAJO MWANGASA, hawa nlisoma nao Kibo Secondary pale Moshi 1997 Enzi hizo shule ikiwa pale katikati ya mjini wa Moshi kama wakiona uzi huu tafathali waniPM Alex kipindi hicho alikua anakaa TPC Moshi nawasilisha.
wamekufa
Hahahaa haaaa
Ungem PM
Ona ss washakufaham
Wewe Jamaa ni Mngese sana na Mbinafsi Mkubwa k.m..mae! kwa nini unaandika majina ya Watu wengine hapa wakati wewe la kwako unalificha?
Wewe Jamaa ni Mngese sana na Mbinafsi Mkubwa k.m..mae! kwa nini unaandika majina ya Watu wengine hapa wakati wewe la kwako unalificha?
Wewe Jamaa ni Mngese sana na Mbinafsi Mkubwa k.m..mae! kwa nini unaandika majina ya Watu wengine hapa wakati wewe la kwako unalificha?
ww umeona ulichokiandika hapo ndio busara uliyofundishwa na wazaz wako?? Ng'ombe ya mseven ww........... Unafikir atawapataje bila kuwataja majina
Sifikiri kama umefanya vyema kumshukia kwa mitusi yote hiyo.
Hajui user names zao kama wapo jf lakini pia wanaweza kuwa sio wahudhuliaji wa jf ila wanaweza kujulishwa na wanaowafaham na ameeleza vizuri kama wapo wa mPM huko ndio wangejianika kwa nafasi yao.
ww umeona ulichokiandika hapo ndio busara uliyofundishwa na wazaz wako?? Ng'ombe ya mseven ww........... Unafikir atawapataje bila kuwataja majina
Kama ana/unafikiri ni sawa kutaja Majina ya watu ya halisia kwenye Mitandao sawa, kwa nini asiandike Jina lake kamili ili anawaotafuta wajue pia ni nani anawatafuta? Kwa nini afiche la kwake halafu ataje la wenzake? Huu ni Ubinafsi na Ungese mkubwa!
ww jamaa kweli ubongo wako ulifanyiwa bading na ule wa ng'ombe... Atawezaje kuandika ID zao wakat hajui hajafaham kama wanaigia au ni member wa jf?! Lengo la kuandika majina kamili iliyeyote anaye wafaham awafikishie taarifa........... Hivi unangapi kwenye chet chako cha kihtim sekondary??
Swala ni kwamba kama unaona ni sawa kuandika Majina halisia ya watu hapa, kwa nini yeye asiandike la kwake halisi kwanza?
Hilo si lingerahisisha kazi, kwani watu wanaowajua wangewafikishia ujumbe kwamba fulani anakutafuta...
Sasa yeye la kwake analificha ya wenzake anayataja kama sio ubinafsi ni nini?
Anajuaje kama hao watu wanapenda majina yao yaanikwe hapa JF?
Ni swala la Haki sawa kwa kila Mtu, kama unaona ni sawa kuandika Jina la Mtu mwingine JF basi pia na la kwako iwe sawa pia kuonekana na kujulikana na kila Mtu, kinyume cha Hapo ni Ubinafsi na Ungese uliopitiliza!