Jamani naumwa mwenzenu

Pole sana mgonjwa,juzi siku ya ukimwi duniani ulikumbuka kwenda kupima?km bado fanya mpango ujitambue mapema.
 
Tarehe , ilikua siku ya Ukimwi, ulipima? je majibu ulichukua?
 
Jamani poleeeh i hope itakupunguzia maumivu,lakini na wasiwasi kwa nini za kina dada zaidi?isijeikawa nyegee oohooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…