Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

haya namchuna lusungo naomba 10,000usd nataka niende nikafanye shoping, ninunue nguo pochi sina afu kucha zimebanduka nataka niweke mpya,... kope zimeisha gundi nataka kama zile za shoga yangu,,... alafu rafiki yangu anabirthday nataka nimnunulie bonge la zawadi.. nywele zimechoka nataka niweke nyingine

Mayoooo ng'wanike ebhe mbona umesahau na kausafiriii aaaaa
 
Mayoooo ng'wanike ebhe mbona umesahau na kausafiriii aaaaa

Sasa refa mbona unanogewa na mechi yetu mmmmmh! we unatakiwa uwe mtu kati sasa mbona unaegea upande mmoja. Duuu yaani na usafiri tena anaweza achwa aisee
 
miss chagga wapi, wewe show youself plz

here okey am coming soon Anita+Joseph+-+Simply+SAMAD+-+Tha+Naija+POET+(3).jpg
 
Sasa refa mbona unanogewa na mechi yetu mmmmmh! we unatakiwa uwe mtu kati sasa mbona unaegea upande mmoja. Duuu yaani na usafiri tena anaweza achwa aisee

Hayaaa bana naona lusungo kazidiwaa au? ?hata kuagaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom