miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Hahhhhahhhhahha mpe makavu hahhha
ndo hivyo anipe hela ya kwanza ndo tuchat
Hahhhhahhhhahha mpe makavu hahhha
kutamu sana uwe unakuja kutafuta mtu wa kukuchunaNimeacha...
Kumbe huku kutamu hivi sikuwahi kufika eti......
Thanks to Dinazarde aliyenipitisha huku...
BTW I miss you!!!!!
kutamu sana uwe unakuja kutafuta mtu wa kukuchuna
Nichune wewe jaman
mmh aya fungua thread ya kuomba nikuchune ili nijue upo serious
ndo hivyo anipe hela ya kwanza ndo tuchat
mmh mie nachuna dola tu je unazoha ha ha ha ha
jaman si ntajaza server tu?
Nipo serious jmn
Nichune wewe jaman
mmh aya fungua thread ya kuomba nikuchune ili nijue upo serious
Akupe kianzio ili uchangamkee etiii sh. Ngapi hiviii?
mmh mie nachuna dola tu je unazo
1000USD ndo kianzio
Mpaka rupiah ukitaka zipo chagua kiwanja ma baby
Sasa unaona ungekaa kule ungepata hata wa kukuambia akuchunee bahatii hiii
Mchunie hapa hapas akianzisha uzi wachawi watajaa halaf mwisho dau lipungur buree
Mambo si hayaa punguza stress my kakaa
Ndio maana kasepa kama ndio hali hii duu halaf pesa yenyewe ndogo kaenda jumlaaa
Hahaha asante kwa kuniletaa
chagua mtoto yupi???
![]()
![]()
Mpaka rupiah ukitaka zipo chagua kiwanja ma baby