Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

Yaani hii itakuwa mara yangu ya kwanza kushindwa, miss chagga nakutakia kila kheri ila kumbuka ukiwa na ATM ya Master card haimaanishi unahela maana akaunti yaweza kuwa Dormant

natak unionyeshe na mara ya mwisho umetoa sh ngapi na imebaki sh ngap ndo nikuamini
 
Last edited by a moderator:
My Lady hiyo Visa ni ya benki moja hivi mpaka sasa hawana Master Card, ninavwateja wengi sana wanatumia hiyo benki so lazima niwe na hiyo card

lazima uwe na hela tu ndo muhimu na si kitu kingine pesa mbele kama tai
 
Ngoja nitoke kazini nikitulia ntakwambia tukachafue wapi Leo maana siku nyingi ujue tangu chemistry!!! Mpaka leoo!!!!!

Network huku kwetu hamnaa heeee tukachafuee halaf unataka tuanzishiwe thread eee hahhhhahhha umemiss michambano eee
 
Network huku kwetu hamnaa heeee tukachafuee halaf unataka tuanzishiwe thread eee hahhhhahhha umemiss michambano eee

Dah nikifiriaga tulivyoharibu chemistry ya watu nacheka sana....
 
Mkuu mbona unajichelewesha, mtafute dalali wa vimwana Juma Kapuya atakuunganishia vibinti anavyo viathiri..,,!
 
Nlifikiri unatafuta mtoto wa kuasili( kuadopt) nikupatie watoto wa dada yangu kumbe.......blalifuli!!
 
Back
Top Bottom