Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

Huyo lusungo hawezi kuwa na mtoto anayedeka maani hajui ku care hata kidogo, najua miss chagga kama wasichana wengine anapenda mtu anayejua ku care, mwenye pesa na mwenye sifa kama ya jina langu.

Kwakweli kanishinda ngoja nitafute calibre yangu
 
Last edited by a moderator:
unataka kuchunwa aisee nipo hapamchunaji original

empty-wallet.jpeg
 
Daah nilikusaka Leo ile mbaya nikahisi ushaingia jela

Hahhhahhhahhha jana nilimnyea tu kwenye pm nikajuaa hapa ban lazima kumbe na kule kuna ban aisee! !hapana nipo ila network inasumbuaa mnooo uko poaa
 
lusungo kwa hiyo umeshindwa mpambano mrembo achukuliwe kiroho safiii tusije laumianaaa baadaee ukaanza kumpenda tenaaa tunamalizanaa hapa hapaa
 
Last edited by a moderator:
Hahhhahhhahhha jana nilimnyea tu kwenye pm nikajuaa hapa ban lazima kumbe na kule kuna ban aisee! !hapana nipo ila network inasumbuaa mnooo uko poaa

Niko poaaaa nilikumiss sana aiseee vipi Leo twende wapi kutamuu?
 
Back
Top Bottom