jamani naomba Msaada wa haraka

jamani naomba Msaada wa haraka

darhood

Senior Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
116
Reaction score
193
Hivi swala la kuagiza mzigo kama Tv kupitia fedex kuna haja ya kuwa na agent sijui ili utoe mzigo au tin number na kadharika, mimi nimekuwa nikitumia posta sasa safari hii nimeagiza mzigo tv ya ndani sasa nimeenda fedex wamenipa document na wamesema nahitaji agent akatoe mzigo je ni kweli hili swala au kuna njia nyingine ambayo tunaweza kutumia
 
Hivi swala la kuagiza mzigo kama Tv kupitia fedex kuna haja ya kuwa na agent sijui ili utoe mzigo au tin number na kadharika, mimi nimekuwa nikitumia posta sasa safari hii nimeagiza mzigo tv ya ndani sasa nimeenda fedex wamenipa document na wamesema nahitaji agent akatoe mzigo je ni kweli hili swala au kuna njia nyingine ambayo tunaweza kutumia
Aka sijui ata mie
 
Hivi swala la kuagiza mzigo kama Tv kupitia fedex kuna haja ya kuwa na agent sijui ili utoe mzigo au tin number na kadharika, mimi nimekuwa nikitumia posta sasa safari hii nimeagiza mzigo tv ya ndani sasa nimeenda fedex wamenipa document na wamesema nahitaji agent akatoe mzigo je ni kweli hili swala au kuna njia nyingine ambayo tunaweza kutumia
Unapo agiza mzigo lazima uwe na agent atakae handle mzigo wako From point A to B km DHL nk
 
Yap unapaswa upate agent maana yeye ndo ataweza kuclear mzigo kwenye system...
 
Back
Top Bottom