Jamani naitaji dume la german shepherd

Jamani naitaji dume la german shepherd

drphone

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
3,542
Reaction score
294
wakuu nina mbwa wangu jike ila sina dume la kulipanda na lipo heat naitaji mwenye dume zuri germansherpahad pls
 
mkuu nenda pale polisi ufundi kurasini, watakupa msaada.
 
if rightousness can not be found on earth you better find it in heaven
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali

Mary nini tena mamaa? Mbona maapizo mengi?
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali
Kwani imekuweje tena dada??
Yaani umehuzunika kutokana na nini hasa??
Yeye si anamtafutia Mbwa wake bwana, tabu iko wapi kwani??
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali
he!? isijeikawa unaugomvi na mumeo
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali

mamaaa...!, kuna nini tena???
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali
heeee! Jamani hivi german shepherd ni mbwa au ni mtu!!!mbona sielewi elewi hapa!!
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali

mhh unamuonea wivu mbwa kupandwa na g.shephrd?
 
glory vipi mbona cjaelewa yan nimerudia mara 2 2 cjaelewa kwanini unaonekana umechukizwa na thread ya jamaa
 
Dah,sijui ni nini kinaendelea hapa Dr. Phone muanzisha uzi kaingia mitini na mtoa tuhuma pia.Kuna nini bandugu? tujuzane SVP
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali

seems like huyu mama Glory aliwahi kuibiwa mbwa na anamtuhumu huyu anayetafuta dume kwa wizi ule!
 
Kuna mambo ya msingi hapa!
1. Dr Phone, unafugaje mbwa jike bila mbwa dume (what was your plan? Are you a man?). The principle is that the animal need to be fixed unless you wanted to breed the animal which in all case you were then supposed to have a male friend! The female dog need to be spayed to control hormonal functions (mambo ya hamu). Vinginevyo wewe uko miongoni mnaosababisha mbwa/wanyama wa mtaani!
2. What is the interest of Mary Glory to this scenario?, is it that you stole the dog or she is your wife and she has become aware that you are involved with the dog! If this is the case, then Shame on you!
 
mkuu nenda pale polisi ufundi kurasini, watakupa msaada.

thanks mkuu nilimnunua uko uko kwa polic mmoja nimecheki nae kaenda kusoma itabidi nitafute mwingine hapo
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali

ww jike dume la NBC ukiendelea kunifata fata nitaweka ***** wako wote hapa hadharani ucfikiri nakuogopa unafatilia maisha yangu ww una maisha yako wanaume wapo wengi nakuonya mara ya mwisho nikiona post yako yakunizungumzia hapa jamii forum ujue imekula kwako umeajiriwa na benki na wanakulipa mshahara sio kufatilia maisha yangu kila nakwambia wazi nitaweka kila k2 hapa na za ofisi unazotumia kuongea masaa kibao na wa2 kuchunguza maisha yangu hyo computer ya ofisi umepewa kwa matumizi ya ofisi na siyo kufatilia maisha yangu na kunichafua yatosha yatosha kama unahoja mashitaka juu yangu madai juu yangu nenda kwenye sheria na kweleza ukweli nilikusamehe lakini naona unanifata fata nitakusanya ushahidi wote wa kwenye facebook, jamii forum na msg za simu na rb zote nilizonazo tutakutana mbele ya sheria nimechoka. mm sio mumeo tafuta mumeo RUDIA TENA NAWEKA FULL DATA ZAKO HAPA NA UNAPOFANYIA ILI WAKUJUE NA WATOE COMMENT ZAKO.
 
seems like huyu mama Glory aliwahi kuibiwa mbwa na anamtuhumu huyu anayetafuta dume kwa wizi ule!

Mkuu analake jambo huyu bidada soon nitayaweka hapa naona amevuka mipaka
 
Kuna mambo ya msingi hapa!
1. Dr Phone, unafugaje mbwa jike bila mbwa dume (what was your plan? Are you a man?). The principle is that the animal need to be fixed unless you wanted to breed the animal which in all case you were then supposed to have a male friend! The female dog need to be spayed to control hormonal functions (mambo ya hamu). Vinginevyo wewe uko miongoni mnaosababisha mbwa/wanyama wa mtaani!
2. What is the interest of Mary Glory to this scenario?, is it that you stole the dog or she is your wife and she has become aware that you are involved with the dog! If this is the case, then Shame on you!

mkuu huyu mbwa nilimnunua kuracni ckuwa na hela ya kununua 2 muuzaji akaniambia nichukue jike kwa vile ni mkubwa ataingia heat mapema alafu atanipa dume ila akaja kuliuza akaenda shule ndicho kilichotokea mkuu na sitaki apandwe na makoko.
2.Huyu mary anamatatizo yake binafsi na mm na alijiunga humu ili kuja kunifatilia sio mke wangu wala mchumba wangu kujuana ndo imekuwa tabu kiasi hiki sikuwai kujua kama ni kosa kumwambia m2 sitaki urafiki na ww tena ni kuchafuana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom