Jamani naitaji dume la german shepherd

Jamani naitaji dume la german shepherd

Dah,sijui ni nini kinaendelea hapa Dr. Phone muanzisha uzi kaingia mitini na mtoa tuhuma pia.Kuna nini bandugu? tujuzane SVP

sijaingia mitini mkuu nimejibu hoja ujue ukibishana na chizi na ww utaonekana na ww chizi
 
Kwani imekuweje tena dada??
Yaani umehuzunika kutokana na nini hasa??
Yeye si anamtafutia Mbwa wake bwana, tabu iko wapi kwani??

yy kakosa mume sasa anamwonea wivu mbwa kutafutiwa bwana tena wa deiwaka
 
glory vipi mbona cjaelewa yan nimerudia mara 2 2 cjaelewa kwanini unaonekana umechukizwa na thread ya jamaa

ata urudie mara 10 utomwelewa kabisa maana ana maadili kabisa mambo yake binafsi anataka kuyaweka JF hapa sio mahali pa kumalizia stress zake
 
heeee! Jamani hivi german shepherd ni mbwa au ni mtu!!!mbona sielewi elewi hapa!!

german shepherd ni mbwa mkuu na ninatafuta dume lakumpanda sasa cjui yy kinachomuhuma ni nn
 
he!? isijeikawa unaugomvi na mumeo

mkuu ana mume ajawai kuolewa ila amewai kukimbiwa na wachumba zaidi ya 10 ninao fahamu na amehama makanisa akitafuta lakini wapi ameshindwa kubadilisha tabia yake inayomfukuzia wachumba
 
vipi huyo dada anayejiapiza kwako kuna shida naye?

mkuu alinizoeaga akataka kupitiliza nilipostuka nikamwambia stop sitaki mazoea na ww tangu apo nimekuwa adui yake no 1 ni zaidi ya miaka 2 lakini akuna cku acyofatilia maisha yangu
 
ww jike dume la NBC ukiendelea kunifata fata nitaweka ***** wako wote hapa hadharani ucfikiri nakuogopa unafatilia maisha yangu ww una maisha yako wanaume wapo wengi nakuonya mara ya mwisho nikiona post yako yakunizungumzia hapa jamii forum ujue imekula kwako umeajiriwa na benki na wanakulipa mshahara sio kufatilia maisha yangu kila nakwambia wazi nitaweka kila k2 hapa na za ofisi unazotumia kuongea masaa kibao na wa2 kuchunguza maisha yangu hyo computer ya ofisi umepewa kwa matumizi ya ofisi na siyo kufatilia maisha yangu na kunichafua yatosha yatosha kama unahoja mashitaka juu yangu madai juu yangu nenda kwenye sheria na kweleza ukweli nilikusamehe lakini naona unanifata fata nitakusanya ushahidi wote wa kwenye facebook, jamii forum na msg za simu na rb zote nilizonazo tutakutana mbele ya sheria nimechoka. mm sio mumeo tafuta mumeo RUDIA TENA NAWEKA FULL DATA ZAKO HAPA NA UNAPOFANYIA ILI WAKUJUE NA WATOE COMMENT ZAKO.
Kumbe mnajuana kwa mengine??
Manaake wadau tulikua tunajiuliza kulikoni mbwa kutafutiwa mume, eti yeye ahuzunike na kutoa maapizo chungu mzima.
Thanks mkuu kwa kutuweka wazi
 
ww jike dume la NBC ukiendelea kunifata fata nitaweka ***** wako wote hapa hadharani ucfikiri nakuogopa unafatilia maisha yangu ww una maisha yako wanaume wapo wengi nakuonya mara ya mwisho nikiona post yako yakunizungumzia hapa jamii forum ujue imekula kwako umeajiriwa na benki na wanakulipa mshahara sio kufatilia maisha yangu kila nakwambia wazi nitaweka kila k2 hapa na za ofisi unazotumia kuongea masaa kibao na wa2 kuchunguza maisha yangu hyo computer ya ofisi umepewa kwa matumizi ya ofisi na siyo kufatilia maisha yangu na kunichafua yatosha yatosha kama unahoja mashitaka juu yangu madai juu yangu nenda kwenye sheria na kweleza ukweli nilikusamehe lakini naona unanifata fata nitakusanya ushahidi wote wa kwenye facebook, jamii forum na msg za simu na rb zote nilizonazo tutakutana mbele ya sheria nimechoka. mm sio mumeo tafuta mumeo RUDIA TENA NAWEKA FULL DATA ZAKO HAPA NA UNAPOFANYIA ILI WAKUJUE NA WATOE COMMENT ZAKO.
ookey kumbe mbwa jike unayemzungumzia c mbwa bali mtu!?
 
nafsi yakoinakusuta sana kwa huyo mbwa.unajua alipatikana vipi.lkn Mungu yupo anaejua kuwakomesha wenye kiburi na wadhulumishi.ijapokuwa unaona hawana mtetezi lkn yupo asieonekana.inawezeka unajiona umewin,mjanja ndio lkn ipo siku utavuna ulichopanda na macho yetu yatashuhudia.ni watu wangapi leo wanalia kwa uovu wako??namba inajulikana.lkn ipo siku yule anaenyanyasa watu hatutamuona tena.ipo siku!ipo siku!na haiko mbali
je mbwa jike anayezungumziwa ni wewe?! Maneno yako yananipa wasiwasi
 
lkn haki iko,siku moja ukweli utajulikana

hivi uckii nilichokwambia? au unataka nimwage mboga hapa mana naona tunatishiana nyau. Kwanini uckae kmya mpaka hyo cku ukweli utakapojulikana? Kelele za nini? tangaza biashara yako kama ulivyofanya.

MAISHA KUTAFUTA SIO KUTAFUTANA/KUCHAFUANA
 
je mbwa jike anayezungumziwa ni wewe?! Maneno yako yananipa wasiwasi

sio yy @angel naungumzia mbwa kabisa sasa cjui imeingiliana vp na yy cjui alitaka hyo tenda cjui ebu piga picha mwenyewe alopost yanaingiliana nn.
 
Kumbe mnajuana kwa mengine??
Manaake wadau tulikua tunajiuliza kulikoni mbwa kutafutiwa mume, eti yeye ahuzunike na kutoa maapizo chungu mzima.
Thanks mkuu kwa kutuweka wazi

yani cpati picha kabisa watu wakoje ii mradi kapeleleza kajua id yako jf bac anaona ndo sehemu ya kumwaga pumba zake m2 kaajiriwa afanyi kazi za ofc mda wote kufwatlia maisha yangu nakula nn, navaa nn, natoka na demu gani nk toomuch sasa nitamshugulikia ipasavyo
 
hapa kunatatizo kubwa sana hawa watu wanachafuana.
Nimeconnect dots nikagundua nyie mnajuana aidha mlikuwa wapenzi na mmekorofishana.
 
Back
Top Bottom