Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Huu ni utani mbaya! Kama huna jibu ni heri ukanyamaza kuliko kuingiza utani wa jinsi hiiUkikosa kabisa unaweza ukajisevia hata wewe tu (joke)
Huu ni utani mbaya! Kama huna jibu ni heri ukanyamaza kuliko kuingiza utani wa jinsi hiiUkikosa kabisa unaweza ukajisevia hata wewe tu (joke)
hapa kunatatizo kubwa sana hawa watu wanachafuana.
Nimeconnect dots nikagundua nyie mnajuana aidha mlikuwa wapenzi na mmekorofishana.
watu wanatofautiana na kuachana bila kuchafuana na bila kuwapa wa2 wasousika taarifa huu ni utaira na lazima tuupige vita humu sio mahali pakuongelea mambo binafsi ya wa2
Mkuu kuna wanawake pasua kichwa. achana naye. wanajua kupepeta mdomo hao. mi nakuomba utulize hasira. vitabu vinasema tukae nao kwa akili.
Mkuu pale kurasini inabidi uwe makni unaweza kunyang'anywa dog kama ulimtoa kule. wale kikosi cha mbwa wanapoteza sana mbwa. be careful kama vpi nipm nikupe maujanja.
Mwagaaaaahivi uckii nilichokwambia? au unataka nimwage mboga hapa mana naona tunatishiana nyau. Kwanini uckae kmya mpaka hyo cku ukweli utakapojulikana? Kelele za nini? tangaza biashara yako kama ulivyofanya.
MAISHA KUTAFUTA SIO KUTAFUTANA/KUCHAFUANA
yy kakosa mume sasa anamwonea wivu mbwa kutafutiwa bwana tena wa deiwaka